Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Ni kiasi gani kweni mkuu ni DM
Ni kiasi gani kweni mkuu ni DM
Ukishapata offer letter Yako utajua ni kiasi gani usiwe hata na pressure ila don't expect too much utakua disappointed...kuwa tu kawaida kupokea any figure utakayoikuta ikiwa Zaid ya expectations zako utafurah ikiwa below utasikitika...so be normal tu!
 
Mimi sijapata ushindani ulikuwa mkubwa japo nilifika mpaka oral.
 
Achana na EWURA wengine hata hatujisumbui kuomba ajira huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…