peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Majina ya walioitwa kwenye usaili yako wapi?Vipi kama walishaita watu kwenye usahili na kuajiri tayari!
My dear naomba nikuulize kitu kama htojali kuhusu hizi nafasi za kaziHaya bana
Ndio.Huweka picha..?
Ewura wanafanya mchakato wao wa ajira wenyewe na hazipitiagi utumishi mbona..kwaio kuna uwezekano ilishafanyikaMajina ya walioitwa kwenye usaili yako wapi?
Majina ya walioajiriwa yako wapi?
Waliajiriwa lini ?
Waziri wa utumishi anslifahamu hili?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha simple uki ya target vizuri.
Connection na further tyuuuh.
Wee 2.3m jaman ni nyingi mnooo. Khaaaah
Kwa tangazo hili tunaiomba iweke majina ya walioitwa kwenye usaili wazi. Kuna harufu ya RushwaEwura wanafanya mchakato wao wa ajira wenyewe na hazipitiagi utumishi mbona..kwaio kuna uwezekano ilishafanyika
Ofisi gani?Kuna mtu nipo nae ofisini ni Technical Assistant analamba 2.4m ila kuna nafasi ameomba ya 3.6m per month ndio anaskilizia interview hapa mamiii...!
😍
Daaaah huku nilipo inabidi niondoke aiseee maisha hayako fair kabisaKuna mtu nipo nae ofisini ni Technical Assistant analamba 2.4m ila kuna nafasi ameomba ya 3.6m per month ndio anaskilizia interview hapa mamiii...!
[emoji7]
Uliza mydearMy dear naomba nikuulize kitu kama htojali kuhusu hizi nafasi za kazi
Ameeeeeen.Asante Sana,, ntajitahidi kwa uwezo wa Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kumbe nn?TRA Scale 4 ni 2.3 M watu huku kweli tunadanganyana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri mwaya ukisign offer letter Yako utajua ila usisikilize maneno ya mtandaoni wanapotosha
Yaan pesa zipo bhana, further tyuu kuipata.Kabisa kabisa my dear kuna watu wanavuta mpunga mrefu sana juzi kuna position ilitoka Ireland Embassy nikamtumia sister aombe aisee, jamaa waliweka na salary yao kabisa per annum, tulivyokuja kuigawa tukakuta kwa mwezi salary anayotakiwa kulipwa ni almost 9m my lovely.
Acha kabisa my dear...!
YesSure my...!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anataka pakubwa zaidi lol.Kuna mtu nipo nae ofisini ni Technical Assistant analamba 2.4m ila kuna nafasi ameomba ya 3.6m per month ndio anaskilizia interview hapa mamiii...!
[emoji7]
Ni ofisi ya umma au binafsi?Kuna mtu nipo nae ofisini ni Technical Assistant analamba 2.4m ila kuna nafasi ameomba ya 3.6m per month ndio anaskilizia interview hapa mamiii...!
😍
TRAS 4 ni kiasi gani naomba kufahamishwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kumbe nn?