One day YES. Hakuna kukata tamaaHongereni sana wapambanaji.
Hakika kila mtu ana riziki yake,Sisi ambao hatujabahatika huenda riziki yetu bado, kwahiyo hatuna budi kukomaa.
Inshallaaah!! Kila mpambanaji Mungu atampa riziki yake..
Oya mtaani sio poa wazee..🥱[emoji3064]
TRANafasi za nini ?
Naomba pdf kiongozi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ayayaa Eyeyee// Dunia haina huruma na walimwengu vilevile hawana huruma sio sawa kabisa
Mkuu, naomba kuuliza, Hivi Kuweka Vyeti Ajira portal inatakiwa utoe copy ya Vyeti zipigwe Mihuri na mwanasheria au u scan Vyeti vionekane coloured ndio upeleke ukapge Mihuri Kwa mwanasheria?
Weka copies lakn ni better ziwe coloured na lazima ziwe certified.Mkuu, naomba kuuliza, Hivi Kuweka Vyeti Ajira portal inatakiwa utoe copy ya Vyeti zipigwe Mihuri na mwanasheria au u scan Vyeti vionekane coloured ndio upeleke ukapge Mihuri Kwa mwanasheria?
By certified unamaanisha nn mkuu? Viwe certified na Chuo au na Mwanasheria? Maana Cheti Pekee ambacho kinaweza kua na Muhuri wa Malaka ni Cha Kuzaliwa/kufa vingine ni Mihuri ya Chuo tu yakawaida.Weka copies lakn ni better ziwe coloured na lazima ziwe certified.
Mihuri wa mwanasheria vyooote mpaka cheti cha kuzaliwaBy certified unamaanisha nn mkuu? Viwe certified na Chuo au na Mwanasheria? Maana Cheti Pekee ambacho kinaweza kua na Muhuri wa Malaka ni Cha Kuzaliwa/kufa vingine ni Mihuri ya Chuo tu yakawaida.
Shukrani [emoji119]Mihuri wa mwanasheria vyooote mpaka cheti cha kuzaliwa
Copy unaweza kutoa yoyote iwe colored or uncolored kikubwa uthibitishe tuMkuu, naomba kuuliza, Hivi Kuweka Vyeti Ajira portal inatakiwa utoe copy ya Vyeti zipigwe Mihuri na mwanasheria au u scan Vyeti vionekane coloured ndio upeleke ukapge Mihuri Kwa mwanasheria?
Tumia option ya kuedit na sio kudelete.. Ajira portal ukiweka cheti ndo ujuwe imeweka hvyo hawataki kutoaJaman naomben kuuliza nimeweka certificate ila najaribu kuondoa niweke certified inagoma nifanyaje?
Asante, Mungu atusimamieUtumishi mwema comrade[emoji4]
Asante Sana,, ntajitahidi kwa uwezo wa MunguHongera sana, ukatimize majukumu yako kwa weledi na stahiki.
Hizi ajira zilitangazwa tangu mwezi August 2021 hadi sasa vijana hatujaitwa kwenye interview wala hakijulikani kinachoendelea.Habari wakuu, nimeona taarifa kadhaa kwenye mtandao hasa kwenye page ya HabariLeo ya kwamba TRA wameshaita vijana kazini. Hii inaukweli wowote? Na kama ni kweli wanawezaje kuita kimya kimya bila kutoa pdf?
======
#HABARINJEMA: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia Suluhu Hassan kuajiri vijana 1,000 zaidi ya idadi ya awali.
TRA ilipewa kibali cha kuajiri vijana 1,100 hata hivyo Rais Samia aliongeza idadi ili kuotoa msukumo mpya wa ukusanyaji mapato.
Kaimu Katibu Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Samwel Tanguye ameiambia Daily News Digital kuwa idadi ya watumishi wengine wa TRA wataajiriwa hivi karibuni. TRA sasa inafikisha idadi ya watumishi 5000.
Alisema katika ajira za TRA vijana takribani 66,000 walituma maombi na baada ya kuchujwa kulingana na vigezo vijana 13,800 waliitwa kwenye usaili na 8,586 ndio waliofika kwenye usaili uliofanyika Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar.
Imeandaliwa na Idd Mwema
Ulikua umejitolea/internship hapo TRA kabla mkuu?Asante Mungu nimebahatika,, nilikua sina imani na utumishi,, sasa nimeamini kweli inawezekana
Au uwongo wanatudanganya na TRSA 3 km ivo imekaajeTRA Scale 4 ni 2.3 M watu huku kweli tunadanganyana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]