Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Watz sijui wana akili gani, kwamba kusoma hawajui hata picha hawaoni.Bwana kama huna uwezo wa kupigana kivita na marekani au mfalme charlse, wee kelele zako za ushoga ni just empty threats tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo uko ktk vazi jinginee? WoiiiiiihMalaya wa jamiiforums wanamuonea gere Noeli anavyolifaidi hogo la baba Tiffah [emoji16][emoji16]
Wizo we huogopi? [emoji81]
Waambie hao straight uchwara wa Bongo, maisha yamewachapaa na hawana Pa kushika, wanabaki kuhaha na mashoga, utadhani ndo wanaowanyima ridhiki zao .Bwana kama huna uwezo wa kupigana kivita na marekani au mfalme charlse, wee kelele zako za ushoga ni just empty threats tuu
[emoji8][emoji39]Ukionana na mie mchana utataka jioni ubani uchomwe watu wale ubwabwa [emoji81]
Athubutuuuu 😁😁😁😁😁😁😁Ukionana na mie mchana utataka jioni ubani uchomwe watu wale ubwabwa 😹
Hahaha,mbona gay activist.Ngoja apite hapa gay activist, utamsikia inawauma nini mtu mwili wake pambe tyuuuu.
Cc cocasticNgoja apite hapa gay activist, utamsikia inawauma nini mtu mwili wake pambe tyuuuu.
Dogo kumbe hupogo ulipoteaga hapa kati hadi braza Maghayo akawa anakuuliziaAsante ndugu mwandamizi 😂
Hatali sanana zembwela siku moja,alizungumzia hao watoto maisha yao kwa boss wao,kutwa kuongelea ngondo,na kwamba wanafumuana, zembwela akasema tunaishi nao hivyohivyo baasi tu
Na humu sasa jf wanaume kwa wanawake wanavyowaentertain hawa mashoga utadhani jambo zuri yani mmmh, kweli hii ni msiba wa jirani, hauhusu.
JAMAA ANAWAFUMUA TU AISEKuna haka kachawa ka WCB sinza pazuri kutwa kumsifia bwana yao Diamond.
Anaona kawaida kama yupo na mashost zake inasikitisha sanaKuna mtu anaitwa wema sepetu nilishakutana and yupo na kundi la mashoga
Kama ni hivyo tumefikia nyakati mbaya sanaWanawake wanapenda kulipa kisasi! Akiona mwanaume akigalagazwa kama yeye anafurahia ajabu. Ndiyo maana mwanamke akimuona bikra huwa anaona uchungu, atafanya chini juu wambikiri ili afanane naye ili amcheke