Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Wafanye ushoga Wao huko wasituletee kwenye jamiii yetu na kizazj chetuNilishaleta Uzi miaka 2 imepita.
Nilisema kuwa ili uwe maarufu kwenye usanii wowote lazima umsujudu Ibilisi kwa kuwa na matendo ya ushoga
DuhHamna la kufanya..
Mnapewa misaada na nchi za upinde.
Hatari sanaZipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".
Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.
Hii video Haina mahusiano yoyote na HABARI hii.
View attachment 3019596
HATARI SANAIndustry ya ubunifu wa mavazi bongo inaongozwa na mashoga. Hao jamaa ukiacha uchafu wao ila kiukweli ni wabunifu mno!
Siyo bongo tu hata huko njeIndustry ya ubunifu wa mavazi bongo inaongozwa na mashoga. Hao jamaa ukiacha uchafu wao ila kiukweli ni wabunifu mno!
Kuliko rushwa? Wizi? Ujambazi etc?siku ukija kuona mwanao anapumuliwa ndiyo utakuja kuona kumbe hili suala ni hatari katika jamii
Boraa usemee wee!!! Watu wamevurugwaaa!!!Huoni hatari kukosa maji, umeme, huduma bora ila unakaa kuwaza mambo ya faragha ya mtu mwingine. Bado wajinga wengi sana hii nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasaSiyo bongo tu hata huko nje
Unakuta mtu anaupingq ushoga
Huku kavaa dolce cabana
Ova
kwa hiyo unaunga hoja ya ushogaBoraa usemee wee!!! Watu wamevurugwaaa!!!
ukiwa na kizazi cha mashoga unategemea niniKuliko rushwa? Wizi? Ujambazi etc?
Ila cha ujambazi, wizi na rushwaa? Unategemea nn?ukiwa na kizazi cha mashoga unategemea nini
Kwa mikono yote miwiliii.kwa hiyo unaunga hoja ya ushoga
tofautisha haiba ya kike na haiba ya kishogaKila mtu atumie mwili wake vile anataka. Asiwepo mtu wa kupangia mwingine.
Hairuhusiwi kupangia mwingine matumizi.
Noeli anaingiza pesa na anaishi vizuri hata kama ana haiba ya kike. Muhimu ni maokoto yasome kwenye bank account.
Kuna faida gani unajifanya kidume huku unashindia mihogo na chachandu!!?? 😁
Wacha Noeli achape kazi. Hajaomba ugali wa mtu.
Cc: Lamomy Poor Brain Yohimbe bark cocastic
Unakubaliana na ushoga sio kwa sababu unasagana.Wenzenu hapo Kenya waandamana juu ya serikali yao ya kidhalimu, nyie mnaongelea makalio ya watu, umeme unakatwa katwa hovyo, hapa ninavyoandika wamekata tangu saa mbili usiku, ishu za msingi za kuishinikiza serikali tunakua kimya ila likija suala la kunusa makalio ya watu mnatanua pua kama nguruwe pori
HATARI SANA MKUUUnakubaliana na ushoga sio kwa sababu unasagana.
Anasagana huyo.HATARI SANA MKUU