Baniani mbaya kiatu chake dawa brother..Jamani si ni shujaa wa watu huyu,kuna watu wanamshangilia na wamekuwa wakimtumia kama msemaji wao tangu enzi za mwendazake........ tulikataa na kupinga yale yote ila tukaonekana hajujielewi.........acha aendelee kuwapapasa sharubu maana mbwa ukimdekeza sana atakufuata hadi Msikitini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]π π π π π π π π π π π
Baba yake nani tenaIla mtu ambae baba yake alifanyiwa ufirauni, akadhalilika kiasi kile unadhani ana utu,, hana Cha kupoteza anahisi kwa kufanya hivyo anapunguza machungu ya kile alichotendewa baba yake mpk akajiua
Aisee, Ze Utamu alicheza vibaya sana......Siku akiweka connection ya no1 ndo utajua kwamba Serikali ipo ila haijaamua tu. Yuko wapi yule jamaa wa Ze Utam aliyeingia kwenye anga za JK?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Toba yalaaa aisee mbona kaja na bonge la business maana watu wanapenda kunyanduanaUnalipia, kwa mwezi buku
umemalizaa kama enzi za mwendazake alipofungia twitterSuluhisho ni watu kuacha kuitumia.
Kama ipo maana yake kuna wateja
Serikali ilishachukua hatua ikaifungia
Wanaongalia wanatumia VPN (Virtual Private Network)
Ukitumia mtandao wa kawaida huoni
Sasa kama mpk mtu anainstall VPN maana yake tatizo lipo kwa walaji
Atajenga yulee, akili anazo haswaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna siku atapost mjengo wa maana kwa 1000 zetu labda kama hana akili ila sio kwa yule mparee..
alifanyaje mkuu??Aisee, Ze Utamu alicheza vibaya sana......
Nimewaza ile ya Dr K? Lakini ile ilivuja sauti, sio videoalifanyaje mkuu??
Hao hawawazi, ukipost mule ni kama umepromote biashara. Shida ni kwa dada zetu maana ndio wahanga, anatongozwa leo, anatangaza shida na jamaa anasupply kumbe kashapiga hesabu za mtonyo wa mange.. Nani atapona mzeeDah kweli mwana umeona mbali sasa nikuwindana tuu. Jamani tahadhari warembo savannah zitawaponza sana.
Hawa warembo wa telegram sasa naona watakuwa na offa lukuki za threesome
Mdogo wangu kwa heshima ya Mkuu wa Nchi (Mzee Kikwete) siwezi hata kusimulia hapa.alifanyaje mkuu??
π π πila kilinukaaaaMdogo wangu kwa heshima ya Mkuu wa Nchi (Mzee Kikwete) siwezi hata kusimulia hapa.
Nakazia.Ila kwanini urekodi au urekodiwe hizo video?
Kwanini usifike chumbani kila mtu aweke simu yake sehemu moja?
Utasingizia ulevi, je kuna ulazima wa kulewa hadi kutojitambua?
Tupo pamoja mkuuAisee bonge la fursa....ngoja nimpelekee video zangu za threesomes
Hapana hakikunuka, maana hakukuwa na ukweli wowote ule.π π πila kilinukaaaa