Manyara: Simanjiro walia kwa uhaba wa mvua, mifugo 62,500 imekufa

Serkali iweke mipango mahususi kila kijiji kila mtaa kwa mwaka walau kila kijiji kipande miti laki moja la sivyo tutakuwa km somalia
Naamini Tutajifunza the hard way. Tuwe na mipango mahususi kila mwaka wa kupanda Mamilioni ya Miti kila wilaya. Hii sio dalili nzuri kabisa kwa siku zijazo.
 
hao mbona wachache aisee wamasai wana ng'ombe acha kabisa kule umasaini kule
 
Ilete mvua mkuu. Hali mbaya sana watu hawajaanza kulima wakati saa hii watu wangekuwa wanavuna mazao ya mwanzo... Nasikia malaysia zipo mvua za kutengeeza,, tufuate wataalamu huko waje kutuletea mvua[emoji125][emoji125][emoji125]
Dubai walitengenezaga mvua kama ni mfuatiliaji mzuri
 
Hali ya ukame inayoendelea Baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Manyara inatisha !HaI Sasa Simanjiro pekee ng'ombe 35,000 + wamekufa,mbuzi 10,000,kondoo 15,000 !
Hili ni janga!
Hivi Serikali imekosa mbinu za kuwaokoa wanyama Hawa!
Siyo Simanjiro pekee hata Longido, Monduli na baadhi ya maeneo ya jirani. Hali ni mbaya Kwa ujumla.
 
Asante mkuu kwa kutujuza hii habari ya kusikitisha. Jua ni kali. Upepo mkali. Na Watu wanalia njaa. Na mifugo inakufa. Na bei za vitu zimepanda bei maradufu. Mungu ibariki Tanzania
 
Asante mkuu kwa kutujuza hii habari ta kusikitisha. Jua ni kali. Upepo mkali. Na Watu wanalia njaa. Na mifugo inakufa. Na bei za vitu zimepanda bei maradufu. Mungu ibariki Tanzania
Itoshe tu kusema hali ni mbaya kuliko maelezo😭
 
Bahati mbaya sana waliokalia viti wanawaza uchaguzi na kujutajirusha
Naamini Tutajifunza the hard way. Tuwe na mipango mahususi kila mwaka wa kupanda Mamilioni ya Miti kila wilaya. Hii sio dalili nzuri kabisa kwa siku zijazo.
 
Tunaomba na takwimu za kiteto,kilindi na Handeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…