Nchi haipo kwenye maomboleze
Tv,media wanapiga misingeli amapiano tu+ misomisondo tu
Watu hawana habari na huko hanang

Any way poleni

Ova
 
Hawajui, mafuriko hayana cha bondeni Wala Nini, kama hayo ya Manyara ni yanatokea juu ya mlima yanashuka na mawe na miti, haijalishi umejenga kwenye muinuko au bondeni
 
Mafuriko yamesomba Kijiji, nyumba zimepotea na maisha ya watu, watu hawajui pa kulala, watoto wamelala njaa, asubuhi unawaambia rais kasema pole!!
Nimekumbuka yule aliyewaambia wenye njaa " nendeni muote Moto mshibe"
 
Kilichotokea ni landslide, siyo mafuriko (flooding), wala siyo mudflow.

Mudflow inasababishwa na kufurika kwa maji na kisha yale maji kuwa na uwezo wa kuondosha udongo wa juu na kuufanya tope.

Landslide and mudslide ni movement ya ardhi inayoweza kusababishwa na mvua kubwa ambapo layer moja ya ardhi hutembea juu ya layer nyingine kwa sababu contact inakuwa saturated na maji.

Kwa kawaida madhara ya landslide huwa ni makubwa kuliko mudflow kutokana ukubwa wa mzigo unaosababishwa na landslide.

Hawa got it right.

At least 47 people killed and 85 injured by landslides in Tanzania

The Guardian, UK.
 
Picha za mlima Hanang umeziona au umetumia video za Katesh kusema ni mudflow?
 
Jamaa katoa ushauri mzuri, wewe sijui mambo ya udini umetoa wapi, unataka uonekani wa tofauti.
Mungu awaangazie watu wa Hanang Tanzania.
Umeisoma post yake ukaimailiza?

Au na wewe ni watu mnaowaza kwa hisia, miladi ayo akipost kwa huzuni unakua na huzuni, akicheka unacheka pia, akilia unalia pia.??
 
Acha upumbavu , hao ni FFU .
We huoni mavazi hizo black beret na bullet proof vests ?
Zimamoto na black beret au bullet proof vests wapi na wapi ?
Na zimamoto nguo zao kijani yake ni tofauti na kijani ya FFU hata ukiziangalia huwa zipo tofauti ,na wanavaa beret nyekundu
 
Tz Kuna makanjanja hakuna wanahabari
 
Wewe mwenyewe mleta mada ni tatizo.

Ni kwanini unataka heading isomeke "Manyara" badala ya "Hanang'" wakati tukio limetokea Hanang' na siyo Manyara yote?
 
watu 63 waliokufa ni watu wachache sana katika idadi ya watu milioni 60 na zaidi waliopo tanzania kikubwa nchi hapa imedhalilika kwa miundo mbinu mibovu, pesa zipo ila matumizi mabaya na bado majanga mengine yanakuja na yatawaangamiza wengi tu mpaka tutakapokuwa waaminifu kwenye matumizi ya pesa za wananchi kupitia serikali viongozi wengi akili zao zimezubaa mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…