SIKU zote nasemaga humu taifa la tanzania sahvi limekuwa la wakata
Mauno tu

Ova
 
wewe mtoa mada huna akili yaani tukio dogo sana hilo ndio unakuja kuleta ujinga hapa yaani watu 63 waliokufa ndio unataka vyombo vya habari vishike mabango ikiwa Tanzania tuna watu milioni 60 na zaidi.. wangekufa watu elfu 10 na zaidi walau ila watu 63?
 
Hiyo ni landslide! Volcano ni mlipuko wa matope ya moto na landslide ni maporomoko ya mlima uliozidiwa na maji kutokana na mvua!
Hii sio maana halisi ya landslide Kama ulivyofafanua!
 
Wachache ingekufaa familia yako yote labda ndo ingekuwa watu wachache...!!
 
Watu wanasema Mud flow sijui shule ya wapi...!!
 
Wachache ingekufaa familia yako yote labda ndo ingekuwa watu wachache...!!
ujinga tu wa watanzania hadi leo tunashangaa kifo ikiwa ni Nature tayari ipo toka dunia kuumbwa na Mungu aliye hai. fungua ubongo huo acha ujinga
 
Tatizo ccm.
Hata Mwenezi anajali mambo yake tu.
 
Nikikurudishia utajiua, tatizo mama yako slikuwa anapenda sana kula ashua za mabeberu akakuzaa panya wewe.
Kama unashindwa kuthamini roho ya mtu mmoja, majeruhi na waliopotelewa na ndugu zao kisa uchache wao! Unatatizo.
Nimepinga kushupalia mambo ambayo yapo toka dunia kuumbwa hivi unajua kila dakika wanakufa watu wangapi mpaka uanze kushupalia jambo la hanang kama sio ujinga ni nini ikiwa unajua unachoandika ni ujinga.. bado hata hujafika kwenye level za upumbavu.. kifo kipo na lazima uende ulie usilie, usikitike usisikitike kifo kipo pale pale sasa ukiandika mambo kama haya kana kwamba tuna haki ya kuishi milele hapa duniani huo ndio ujinga sasa..
 
Nmewaza sana unajua huu ni msiba wa Taifa zima ila kama hakuna kilichotokea sijui hadi itokee Dar au Mwanza hata waandishi wetu hawawajbiki km ipaswavyo
 
Mmeletewa mpira wa simba na yanga ili muendelee kuwa wajinga zaidi
 
Nmewaza sana unajua huu ni msiba wa Taifa zima ila kama hakuna kilichotokea sijui hadi itokee Dar au Mwanza hata waandishi wetu hawawajbiki km ipaswavyo
mkuu hivi unajua kila siku hapa tanzania wanakufa watu wangapi? ina maana vifo vyote vitangazwe kwenye media sio?
 
mkuu hivi unajua kila siku hapa tanzania wanakufa watu wangapi? ina maana vifo vyote vitangazwe kwenye media sio?
Lile la Manyara sio tukio ni janga ,macho yote ya serkali na media ilibdi wawe pale Manyara watu wanateseka wengne wala hawana habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…