Radio media zote wako bize na miziki
Mipira umbea tu

Ova
 
Asilimia kubwa Usimba na Uyanga umetuharibu sana Watanganyika, ndio maana ata mambo ya msingi kuhusu sisi hatufuatilii kabisa.
Ongezea zuchu umondi konde
Uchawa mwijaku bBa level

Ova
 
Watanzania zaidi ya 70% vichwani mwao wameathirika na upuuzi wa Simba na yanga. Hata viongozi nao wameathirika na upuuzi huo. Bila utani wa Simba na yanga mahali pa kazi mambo hayaendi.
Media zote zinajadili mondi kuibiwa
Kofia

Ova
 
Watanzania zaidi ya 70% vichwani mwao wameathirika na upuuzi wa Simba na yanga. Hata viongozi nao wameathirika na upuuzi huo. Bila utani wa Simba na yanga mahali pa kazi mambo hayaendi.
Tanganyika packers leo kuna tamasha misondo sijui

Ova
 
Wanasaikolojia wanahitajika Hanang' Kwa ajili ya ushauri na kuwapa faraja waliopoteza ndugu
 
Hongereni na mnastahili kuwezeshwa kwani jambo mnalolifanya lina faida na umuhimu mkubwa sana katika kujaribu kurejesha fikra za wahanga zikae sawa na kurejea katika hali ya kawaida ili maisha yaendelee.


Cc Dkt. Gwajima D
 
Mamlaka ya hali ya hewa iliposema kuna elnino tukadharau.

Kwengine huku kimenuka:

Your browser is not able to display this video.
 
Wapigaji epukeni kudonoa pesa ya msaada Kwa waathirika Hanang' mtaishia pabaya.

NB: pesa za misaada kama michango ya msiba CAG hakagui Ila ikibidi tutapiga kelele akague
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…