Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 80 na Majeruhii 133
Tawala za chi karibu zote za bara la Afrika (ukiondoa Afrika ya Kusini na Misri kwa kiasi fulani) zina udhaifu mkubwa sana katika kupambana au udhibiti wa majanga, aidha majanga ya asili au majanga ya kusababishwa na binadamu wenyewe, ziko dhaifu mno. There's an extremely Poor Risks Management Plans and Strategies, unatakiwa kuwa mwangalifu sana unapokuwa ktk hizi nchi zetu za ki-Afrika, The Regimes are not serious on dealing with such kind of issues, tawala nyingi zimeelekeza nguvu zaidi ktk kununua "silaha za kiulinzi" ili kulinda "Utawala" ili usiondolewe madarakani lakini siyo kununua "Vifaa vya Uokozi" kwa ajili ya "Utayari" wa kupambana na Majanga endapo kama yatatokea. Kila raia apambane kivyake ktk kuokoa nafsi yake kwenye majanga kama haya, it's none of the regime's business. Kwanza hata Serikali zenyewe za Afrika hazina mipango na wala hazijishughulishi na suala la utoaji wa Elimu ya Kupambana au Udhibiti wa Majanga (Risks Mgt & Control Education) mbalimbali kwa Raia wake, hilo ni suala ambalo linaonekana kama haliwahusu.

Kweli kabisa mkuu, watawala hata watanzania wapo kwaajili ya kulinda Utawala wao na hawana muda na Mahanga ya raia. Subiria ufike uchaguzi , uone Magari ya polisi yananunuliwa au silaha za kijeshi kisa tu kuwaogofya raia. Kule Zanzibar JWTZ wanajaza Kama wote , ila kwenye majanga Kama haya JWTZ inakuwa kigugumizi. Very stupid government.
 
Kwa mfano, wananchi wa Katesh wanataka wasaidiwe haya.
1. Walipwe fidia kwa hasara yote iliyotokana na mafuriko.
2. Waletewe Chakula cha kutosha, mavazi mapya na mazuri
3. Wahamishiwe kwa muda Dar mpaka watakaporekebishwa miundo mbinu, makazi yao na fidia kukamilika.


Sasa mheshimiwa yuko tayari kutekeleza hayo?

Sidhani Kama ana huo muda , na sidhani ana wazo la kutoka huo msaada ulioandika. Zaidi ya kudhibiti taarifa ya watu waliofariki sidhani Kama Kuna jipya.
 
😅😅 kazi kweli kweli.

...Mkuu in all fairness huwa panapotokea majanga kama haya napo panatokea fursa za kihalifu, wizi na uporaji.

...hiyo picha nayo inaweza kutafasiriwa mara elfu moja ikiwa ni kweli "a picture sayeth a thousands words". Naelewa fika ujumbe uliotaka kutuma na sina tatizo nalo na hewhimu maoni yako ila tukubaliane kuna janga.

...niongezee. Yawezekana pia wapo hapo juu ya mabati kufanya coordination na askari wengine walio chini, kufanya utambuzi wa maeneo yalioathirika, yaani wanafanya reccon katika kusaidia uokoaji, ukumbuke mbali yakuwa na majukumu yao, pia wamepewa maelekezo na Amri Jeshi mkuu na itoshe kusema kuna taarifa kuwa Raisi anasitisha ziara yake huko Dubai kurudi nyumbani kuongoza na kukabiliana na Janga hili, kwanini tusitegemee Askari Juu ya Paa na Virungu na Silaha za moto?

Anyways....

Kwa picha zilizo Kuja, mwanzoni kulikuwa na raia wamejibanza hapo juu ya bati kutokana na matope kujaa Chini, Sasa hao policcm wakaenda kuwafukuza.
 
Sawa, lakini haina maana kwamba askari wetu hawakuweza kufika eneo la ajali. Isitoshe, na kama sikosei walileta welders za chini ya maji.

Nadhani utakuwa unajishusha kwa kuidhalilisha nchi yako na hiyo ni kielelezo tosha kuwa unashindwa na uzalendo. Hatahivyo, sio kweli mambo ya uokozi ni sifuri. Hata wenzetu tunaofanyia mlinganisho mfano Marekani, walishindwa kabisa kufanya chochote wakati wa janga la Katrina[Failures in American Govt response]
Je hiyo imewafanya Wamarekani kuwa zero au sifuri kwenye "uokozi"? Nafikiri jibu ni hapana.

hayo uliyoyasema ndio yale wataalamu wanaita ukasuku. Ukiyachukua hayo maoni ya aliyoyaleta mbandika picha na kuyafanya ndio uhalisia bila hata ya kuperuzi na kudadavua picha na facts zingine, utayumba.

Ndugu yangu Mrangi, tuwe tunaitakia mema Serikali yetu na Jeshi letu nyakati hizi.

Nadhani kwenye mambo ya majanga bado tupo nyuma sana, kuanzia ajali ya Precision Air na hii ya Hanang. Tunahitaji kukiboresha kitengo Cha maafa na idara ya polisi zimamoto na uokoaji
 
Mlima hanang unashusha mafuriko ya matope, katesh inafunikwa.

Inahisiwa kwamba crater ya juu ya mlima imezidiwa na maji na kupasuka.

Video hapa chini ni karibu na stendi ya katesh.
View attachment 2832069

Aisee hii ilitokea pia Same miaka kadhaa nyuma. Poleni sana wana Hanang’ Mungu awakinge na majanga zaidi pia atoe moyo wa huruma kwa wengine kuwapatia msaada wa kibinadamu.
 
Mkuu huwa Wana zuiliwa wasipigi picha, mm nilishuhudia mafuriko ya Moro mwaka huu mkurugenzi akiwa msando, alizuia waandishi wa habari wasipige picha za drone eneo la kihonda IPO tokea mafuriko

Kweli kabisa. Nimeiona hata vyombo vya habari vimepigwa biti.
 
Serikali ina kosa gani?!
Unauliza swali la kijinga na kipumbavu Kwa kuwa hujui hata maana ya serikali na majukumu yake..!!

Upangaji wa makazi unafanywa na watu binafsi au na serikali?

Ina maana wewe hujui kuwa serikali ndiyo yenye jukumu la kuzuia watu kuweka makazi ktk maeneo hatarishi hata kabla ya maafa.?

Lakini kinachofanyika ni nini? Ni serikali kutoa vibali vya ujenzi hata katika maeneo ambayo inajua fika kuwa ni hatari Kwa maisha ya watu..!

Si hivyo tu, bali pia ni jukumu la serikali kuhakikisha inajenga miundombinu ya kuzuia mafuriko...

Lakini hebu nenda na angalia kwenye miji yetu mingi. Mambo yako hovyo hovyo sana, watu wanajijengea nyumba hovyo, hakuna mifereji ya kupitisha maji mengi...

Ukitaka kujua hatari inayokuja, nenda ktk mji wa Mwanza uone namna watu wanavyojijengea hovyo na kwenye maeneo hatarishi huku mamlaka za serikali zinazohusika na mipango miji zikiangalia tu...

Kwa hiyo, ni kweli Kwa kiasi kikubwa serikali inastahili kulaumiwa Kwa uzembe na kushindwa kuwajibika hata kutokea Kwa maafa haya..!!
 
Mungu awanusuru waja wake.

Serikali ya hovyo na mipango yake ya hovyo hovyo hugharimu maisha ya watanzania kila msimu wa mvua
Kwa hiyo huko ujerumani uchina na California ambako mafuriko hutokea wote ni wa HOVYO, ndio maana tunasemaga upinzani ni takataka hawana akili.
 
‼️Naweka kumbukumbu‼️
Machi 2023 Serikali kupitia kamati ya maafa ilipeleka msaada Malawi kufuatia maafa ya kimbunga Freddy


Msaada ulikuwa:
👉🏽Tani 1000 za unga wa mahindi (Tani 90 kutokea Dodoma na Tani 60 Iringa kuingia Malawi kila siku)
👉🏽Mablanket 6000, na mahema yasiyopungua 50
👉🏽gari la wagonjwa(Ambulance)
👉🏽karakana ya magari inayotembea(mobile workshop
👉🏽 malori makubwa ishirini yenye uzito wa tani 30
👉🏽 malori 10 yenye uzito wa tani zaidi ya kumi na nane(18)
👉🏽 Helikopta mbili
Katesh vipi mmeona hata ambulance huko?
@TZWaziriMkuu mpo?


#TutaelewanaTu lakini
 
Back
Top Bottom