Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 80 na Majeruhii 133
Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig

Kwa kuanza mm nitatoa 50k

Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
 
Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig

Kwa kuanza mm nitatoa 50k

Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀hivi wabongo shida nini
 
Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig

Kwa kuanza mm nitatoa 50k

Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
Kufa kufaana

Ova
 
Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig

Kwa kuanza mm nitatoa 50k

Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
Weka hapa majina yako halisi, picha yako halisi na mali unazomiliki na zilipo hizo mali iloi ukila hela za wadau wa jamiifoums tugawane hizo collateral zako.
 
Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig

Kwa kuanza mm nitatoa 50k

Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
Sisi tunalipa kodi,wakiwemo watu wa Qartesh,hizo kodi zinaingia serikalini,serikali inatenga fungu la maafa kupitia ofisi ya waziri mkuu,kwanini hizo pesa zisifanye kazi,nawewe unakuja hapa unataka utuchangishe?
Siyo fair,mkuu.
 
Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig

Kwa kuanza mm nitatoa 50k

Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
nimetuma buku umeiona?
 
Kwa hiyo huko ujerumani uchina na California ambako mafuriko hutokea wote ni wa HOVYO, ndio maana tunasemaga upinzani ni takataka hawana akili.
Ningelikuwa nimekosea ningefuta ama kuondoa ujumbe.

Nimeongea tofauti na ulichotafsiri
 
Back
Top Bottom