Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Fungu la maafa linatoka lini, siku kuu zimekaribia bana 😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀hivi wabongo shida niniWakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig
Kwa kuanza mm nitatoa 50k
Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
Kufa kufaanaWakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig
Kwa kuanza mm nitatoa 50k
Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
Weka hapa majina yako halisi, picha yako halisi na mali unazomiliki na zilipo hizo mali iloi ukila hela za wadau wa jamiifoums tugawane hizo collateral zako.Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig
Kwa kuanza mm nitatoa 50k
Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
Sisi tunalipa kodi,wakiwemo watu wa Qartesh,hizo kodi zinaingia serikalini,serikali inatenga fungu la maafa kupitia ofisi ya waziri mkuu,kwanini hizo pesa zisifanye kazi,nawewe unakuja hapa unataka utuchangishe?Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig
Kwa kuanza mm nitatoa 50k
Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
Mzee unaogopa kupigwa [emoji1]Weka hapa majina yako halisi, picha yako halisi na mali unazomiliki na zilipo hizo mali iloi ukila hela za wadau wa jamiifoums tugawane hizo collateral zako.
Inshort huko hali ni mbayaMbona kama vile mpaka Muda huu hukuna mwenye uhakika na kilichotokea?????.
Kutoa ni moyo, hata Elfu moja unaweza kutoa ,kama Kuna account au njia Rasmi ya kutoa misaada kwa wahanga.Mimi ningekuwa celebrity wa bongo kama Diamond, Ali Kiba au harmonize
Ningeenda Hanang kutoa misaada
Hata kama nitakopa
nimetuma buku umeiona?Wakuu iko hv siyo vyema kukaa Hapa na kupashana habar za katesh bila kuchukua hatua yoyote ya kuibinadamu watu wanateseka kule hawana makazi ,hawna chukula Wala maji ya kunywa hawana chochote hivi Sasa na siyo vyema kuachia serekali wenyewe hili jambo Ni vyema na sisi tufanye kitu ili kuonesha upendo kwa shemeji zangu wale wabarbaig
Kwa kuanza mm nitatoa 50k
Michango itumwe kwangu nami nitawasilisha ofisi ya waziri mkuu kitengo Cha maafa
0767454567
Ningelikuwa nimekosea ningefuta ama kuondoa ujumbe.Kwa hiyo huko ujerumani uchina na California ambako mafuriko hutokea wote ni wa HOVYO, ndio maana tunasemaga upinzani ni takataka hawana akili.
Ishapanda zaidi ya 40's sasa. May their soul rest in peaceSo sad pole kwa wahanga wote, idadi ilikua 5 now 17 duh🙄
Tofautisha!Nadhani ni Mudslide...!!
Hapana hiyo siyo volcano! Ingekuwa volcano pia moshi na moto vingeonekana!Kwenye mahojiano kuna mwananchi amesema waliona mvuke, haiwezi kuwa volcano ? Au landslide inamvuke wa moto pia??
Tofautisha!Mudflow to be precise
Tofautisha!Hiyo sio land slide inaitwa Mudslide
So sad Mungu awasidieIshapanda zaidi ya 40's sasa. May their soul rest in peace