mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Aingie mfukoni kwake tuone Kama anaweza toa hiyo B3.Kwani miaka yote Serikali haikuwepo? Acha wivu
Achen kumpa sifa zisizo zake, hiyo B3 hana, isipokuwa hela ya Kodi na tozo za wavuja jasho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aingie mfukoni kwake tuone Kama anaweza toa hiyo B3.Kwani miaka yote Serikali haikuwepo? Acha wivu
Hivi ilitelekezwa na nani? Uzuri utoto huu waanza kuporomoka.===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,
Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,
Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,
"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,
View attachment 2046954View attachment 2046956
View attachment 2046952
View attachment 2046955
jamaa hawanaga code😂 ukiwa kada ni kutupia tu jezi ya chama mwaka mzima,kazi yako wewe ni kushona suruali nyeusi kama mbili tu (nazo nahisi wanapewaga vitambaa bure)Mbona wote wamevaa jezi za chama
Khaaaa, Kweli watu wanamiliki Serikali wawe hivyo,jamaa hawanaga code😂 ukiwa kada ni kutupia tu jezi ya chama mwaka mzima,kazi yako wewe ni kushona suruali nyeusi kama mbili tu (nazo nahisi wanapewaga vitambaa bure)
Ukiona wilaya haipati maendeleo jaribu kuangalia wazawa na viongozi wazawa wa hiyo wilaya, acheni kulaumu viongozi, kuna baadhi ya wilaya wazawa wamejaa Majungu na hawapendi kuona watu wakifanikiwa unategemea nani atakuja kuwachangamsha mpate maendeleo?===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,
Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,
Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,
"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,
View attachment 2046954View attachment 2046956
View attachment 2046952
View attachment 2046955
Rais ni taasisi, Ushauri wa bure jaribu kujifunza mambo mbalimbaliHizo hela anatoka kwenye mshahara wake au ni Jasho la watanzania?
Masahihisho plz.. sio rais kujenga ❌ Ni serikali kujenga ✔️ Mnapotosha sana kizazi hiki.===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,
Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,
Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,
"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,
View attachment 2046954View attachment 2046956
View attachment 2046952
View attachment 2046955
Duuh,hizi akili za wapi?Kwani miaka yote Serikali haikuwepo? Acha wivu
Niko CCM kabla hata hujapata hela ya kununua smartphonekaribu CCM mjomba
Hahahaha khaaa, Sawa CrdeNiko CCM kabla hata hujapata hela ya kununua smartphone
Anajenga kwa pesa zake?Daaaah!!!
Huyu Samia huyu, kwakweli tukiacha roho mbaya huyu mama anafanya kazi kubwa sana ya kuijenga upya nchi yetu
Manyoni imewahi kuwa Ikungi? shame on you, all in all maendeleo hayaletwi na Mbunge pekee na wakati hapo kuna DED, DC, DAS na Mwenyekiti wa halmashauri, hawa wote kazi yao nini?Hilo si ndo lilikuwa Jimbo la mke wa Robert Amsterdam?,hongera kwa serikali ya CCM kwa kuwakumbuka wananchi waliotelekezwa na Mrs Robert Amsterdam
mnapeleka shule kwenye Hilo jangwa la kitinku ili iwe nini??? mmekosa maeneo mazuri ikungi, puma, ihanja huko??? kama ni hivyo iiteni manyoni girls na sio singida girls wapuuzi nyieee, Kwanza huko makutupora kitinku ni Dodoma Hiyo Sisi hatuihesabu kama ni singida Hiyo.===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961
Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,
Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,
Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,
"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,
View attachment 2046954View attachment 2046956
View attachment 2046952
View attachment 2046955
Daaah wanayaturu kibokomnapeleka shule kwenye Hilo jangwa la kitinku ili iwe nini??? mmekosa maeneo mazuri ikungi, puma, ihanja huko??? kama ni hivyo iiteni manyoni girls na sio singida girls wapuuzi nyieee, Kwanza huko makutupora kitinku ni Dodoma Hiyo Sisi hatuihesabu kama ni singida Hiyo.
Hata mleta mada haoni aibu kuandika " baada ya kutelekezwa"..............serekali za ccm zinatelekeza.Mbona wote wamevaa jezi za chama
Ashukuru hera za UVIKO..mkopo zingekuwa kodi za kukusanya angekuwa analiaDaaaah!!!
Huyu Samia huyu, kwakweli tukiacha roho mbaya huyu mama anafanya kazi kubwa sana ya kuijenga upya nchi yetu