Manyoni : TZS 3.5BL za Rais Samia kujenga shule ya "Singida Girls"

Manyoni : TZS 3.5BL za Rais Samia kujenga shule ya "Singida Girls"

===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961

Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,

Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,

Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,

"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,

View attachment 2046954View attachment 2046956

View attachment 2046952

View attachment 2046955
Hivi ilitelekezwa na nani? Uzuri utoto huu waanza kuporomoka.
 
jamaa hawanaga code😂 ukiwa kada ni kutupia tu jezi ya chama mwaka mzima,kazi yako wewe ni kushona suruali nyeusi kama mbili tu (nazo nahisi wanapewaga vitambaa bure)
Khaaaa, Kweli watu wanamiliki Serikali wawe hivyo,
 
===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961

Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,

Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,

Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,

"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,

View attachment 2046954View attachment 2046956

View attachment 2046952

View attachment 2046955
Ukiona wilaya haipati maendeleo jaribu kuangalia wazawa na viongozi wazawa wa hiyo wilaya, acheni kulaumu viongozi, kuna baadhi ya wilaya wazawa wamejaa Majungu na hawapendi kuona watu wakifanikiwa unategemea nani atakuja kuwachangamsha mpate maendeleo?
 
===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961

Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,

Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,

Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,

"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,

View attachment 2046954View attachment 2046956

View attachment 2046952

View attachment 2046955
Masahihisho plz.. sio rais kujenga ❌ Ni serikali kujenga ✔️ Mnapotosha sana kizazi hiki.
 
Hilo si ndo lilikuwa Jimbo la mke wa Robert Amsterdam?,hongera kwa serikali ya CCM kwa kuwakumbuka wananchi waliotelekezwa na Mrs Robert Amsterdam
Manyoni imewahi kuwa Ikungi? shame on you, all in all maendeleo hayaletwi na Mbunge pekee na wakati hapo kuna DED, DC, DAS na Mwenyekiti wa halmashauri, hawa wote kazi yao nini?
 
===
Kihistoria,Wilaya ya Manyoni ndio Wilaya ya kwanza Tanzania kuwa na DC wa kwanza Mwafrica|Mtanzania kwa lugha nyepesi Manyoni ni miongoni mwawilaya za kwanza kwanza kuasisiwa kabla hata ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961

Nikweli kwamba,Wilaya hii kongwe imesahaulika karibu na awamu zote zilizowahi kutawala nchi hii yaani tangu ile ya Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere hata ile ya Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli zote ziliitupa Wilaya ya Manyoni kwani iko duni sana kimaendeleo hata sasa,

Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan unaipa Manyoni tumaini jipya la kupata maendeleo kwa kasi hasa baada ya kutoa zaidi ya TZS 3.5BL kwaajili ya Ujenzi wa shule ya wasichana ya mkoa "Singida Girls Sec School " inayotarajiwa kujengwa Kata ya Makutupora Tarafa ya Kintinku,

Awamu hii ya Sita ikichagizwa na uwepo wa Uongozi mahiri wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya chini ya Mwenyekiti hodari na Shupavu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe Jumanne Makanda ( J4 ) kwa kushirikiana na DC Rahabu pamoja na viongozi wengine kasi ya Ukuaji wa Wilaya hii inaanza kukuna wadau wengi wa maendeleo ndani na nje ya mkoa wa Singida kwani kila kijiji kuna mradi wa Rais Samia Suluhu Hassan unaendelea,

"Mhe Rais Samia Suluhu Hassan tunamkaribisha Manyoni Sisi tuko na YeYe mpaka 2030 kwa kudra za mwenyezi Mungu " alisema Saidi mkazi wa Maweni,

View attachment 2046954View attachment 2046956

View attachment 2046952

View attachment 2046955
mnapeleka shule kwenye Hilo jangwa la kitinku ili iwe nini??? mmekosa maeneo mazuri ikungi, puma, ihanja huko??? kama ni hivyo iiteni manyoni girls na sio singida girls wapuuzi nyieee, Kwanza huko makutupora kitinku ni Dodoma Hiyo Sisi hatuihesabu kama ni singida Hiyo.
 
mnapeleka shule kwenye Hilo jangwa la kitinku ili iwe nini??? mmekosa maeneo mazuri ikungi, puma, ihanja huko??? kama ni hivyo iiteni manyoni girls na sio singida girls wapuuzi nyieee, Kwanza huko makutupora kitinku ni Dodoma Hiyo Sisi hatuihesabu kama ni singida Hiyo.
Daaah wanayaturu kiboko
 
Daaaah!!!

Huyu Samia huyu, kwakweli tukiacha roho mbaya huyu mama anafanya kazi kubwa sana ya kuijenga upya nchi yetu
Ashukuru hera za UVIKO..mkopo zingekuwa kodi za kukusanya angekuwa analia
 
Mnatukata tozo, next mapato yake yanaenda kwenye sera na ilani ccm
Eti maushungi katoa 3bilion za kuchangia elimu ya kumdanganyia mnyonywaji
 
Back
Top Bottom