Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Wala hawafanani,mmoja sura yake pana kuliko mwenzake.
 
Halafu pia wameharibu credibility ya chuo.
 
Baba levo haijui Supplementary
 

Mbwembwe tu hizi kuwapoza wananchi lakini hizo degree wataendelea kuwa nazo.

Unafikiri wataweza kuthibitisha kama kweli?..

Mfano hao mabinti wakisema walikuwa wanafurahisha baraza..?

Subiri uone.
 
Chuo kitawezaje kuthibitisha hili?
Hao wanaweza kukataa tu kirahisi kwamba walikuwa wameongopa kutafuta umaarufu.
Ila hawana akili na wasafi FM pia hawana mhariri wa vipindi ni uhuni na utoto tu.
Ona Sasa wanaenda kuwaharibia maisha hao wajinga. Wawape Ajira hapo wasafi wakifutiwa degree zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…