kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Waandish hawafai hapo wao wako zao pemben wanasoma mchezoWala hakuna kesi hapo, na chuo hakitakiwi kuthibitisha jambo lolote, wahusika wameshakiri wenyewe, kinachofuatia hapo ni kuwafutia hayo matokeo yao.
Ujinga unaenda kuwaharibia future hao watoto, kama matokeo yakifutwa maana yake hata vyeti walivyopewa kwa kufaulu masomo havitakuwa valid tena, na kwasababu hiyo, hata kazini kama walipata kazi kwa qualification zao, wataenda kupoteza ajira zao/yao.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app