Mapato sherehe ya Mavuno Jimbo Katoliki Dar ni Tsh. Bil. 4.5

Huduma Bora ni Gharama,
Hakuna ubaguzi kwenye ada wote sawa
 
Juu hapo ulikiri kuwa michango ni lazima mtu asipo changa kwenye jumuiya hapakaliki. Sio wewe uliesema?

Hizo tabia za kususia misiba kisa mtu haji kwenye jumuiya mnayo sana. Naziona sana Kwa majirani zamgu
Tafadhali nionyeshe wapi mimi nilipoandika maneno hayo?

Halafu sahihisha siyo kususia msiba haususwi kinachofanyika ni ”marehemu muhusika hafanyiwi ibada” ila vingine vyote vinafanyika na kama nilishindwa kumkiri Mungu nikiwa na pumzi aliyonipa ninyi Kanisa ni nani hata mkusanyike mje kuilazimisha maiti yangu imkiri?

Wakatoliki sisi siyo wanafiki,imani sahihi ni ile nianze nayo mimi nikifa ninyi mnaobaki muitimilize kwa kuniombea heri siyo muanze nayo nyie mimi niitimize nikiwa mfu huko ni kupoteza wakati.
 
Wajinga ndio......
Na waliochanga wataendelea kuwa maskini, limbukeni, fukara na kuendelea kutapeliwa kiroho!🤣😂😅
 
Wajinga ndio......
Na waliochanga wataendelea kuwa maskini, limbukeni, fukara na kuendelea kutapeliwa kiroho!🤣😂😅
Usijifariji bro,maskini utaendelea kuwa wewe wanaotoa hawawezi kuwa maskini.nakuonyesha kitu hapo chini kitizame kisha jitafakari yupi maskini wewe au wanaojitoa kwa kazi ya Mungu?

Hii tulifanya harambee ya ujenzi wa nyumba ya Mapadre inatakiwa 200mill sasa unaweza ukahisi watu kama hawa wapo wangapi na zitapatikana bei gani?
 
Maendeleo ya hii taasisi yapo wazi. Na sasa linajengwa kanisa la kimataifa huko Gezaulole. Na nguvu ni zao pekee. Huku wakiwa na taasisi zao za Elimu anzia awali mpaka chuo kikuu, mahospital n.k. Hivyo uwekezaji wao hauna mashska kabisa mkuu.
Kabisa na mapato yanawekwa wazi tofauti na wenzetu
 
Mbona mnaombea wafu, mnauhakika wanawasikia..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…