bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Huduma Bora ni Gharama,Ni kweli kanisa katoliki linatumia Sadaka kujenga shule nyingi sana zenye majina makubwa
Mfano St francis mbeya
Marian bagamoyo
St joseph dar es salaam
Swali kubwa ni JE KWENYE HIZO SHULE ZA KATOLIKI WATOTO WA WAUMINI WALIOTOA SADAKA KUZIJENGA HUWA WANASOMESHWA BURE ? WANAPEWA DISCOUNT YA ADA AMA WANALIPA SAWA SAWA NA WATOTO WA DINI ZINGINE..
MFANO WAISLAM WANAOSOMA ST FRANCIS WANALIPA ADA KIASI TOFAUTI NA WAKATOLIKI WANAOSOMA ST FRANCIS AMA WOTE ADA NI SAWA ?
Hao ni wafata mkumbo na Sio wauminiSafi sana! Ila waumini wanalalamika michango imezidi hadi inafikia wanakacha ibada
Wagalatia NuksiDuh aiseee
Wagalatia Nuksi
Tafadhali nionyeshe wapi mimi nilipoandika maneno hayo?Juu hapo ulikiri kuwa michango ni lazima mtu asipo changa kwenye jumuiya hapakaliki. Sio wewe uliesema?
Hizo tabia za kususia misiba kisa mtu haji kwenye jumuiya mnayo sana. Naziona sana Kwa majirani zamgu
Nuksi mkuu watu tumetoa hela zetu hatujakabwa hatujashikiwa bunduki?Wagalatia Nuksi
Pole MkuuNuksi mkuu watu tumetoa hela zetu hatujakabwa hatujashikiwa bunduki?
Kuwa fair bro.
Wajinga ndio......Hongera wana Jimbo, hongera kanisa moja la mitume.
Kumbuka haya ni mapato ya sherehe ya mavuno tu, na ni kwa jimbo moja tu.
View attachment 2833300
Ukijumlisha vyanzo vingine vya mapato mfano:
1. Tegemeza jimbo
2. Miito mitakatifu
3. Sadaka za kawaida
4 mchango wa pili
5. Bahasha za Noeli/Pasaka
6.
7.
8.
9.
Kisha kadiria kwa Nchi nzima. Nadhlimani utakubaliana na mimi ukubwa wa hii taasisi.
Ni tofauti kabisa na "ndugu zetu wa upande wa pili". Heko kanisa, heko watoaji.
PS
Sijajua matumizi ya hizo pesa maana kama kuna ujenzi basi itaanzishwa account ya kuchangia.
🤣😃😄😅😅😀Wajinga ndio......
Na waliochanga wataendelea kuwa maskini, limbukeni, fukara na kuendelea kutapeliwa kiroho!🤣😂😅
Uzuri wa nchi yetu tuna uhuru mpana wa kuabudu,wawahishe mkuu wakaongee na babu zao wapate baraka zao nao.Pole Mkuu
Najua Neno Nuksi Limekukwaza Sana Hapa Nami Nina Ticket Ya BM Safari Moshi Naipeleka Family Ikafanye Matambiko Yao
Fanya na wewe hio biashara ya dini kwani umekatazwaNimeongea kama mfanyabiashara.
Wewe umeongea kama muumini hivyo wote tupo sahihi.
Kiuchumi, Dini ni biashara. Na hicho alicholeta mtoa mada ndio nikasema ni biashara nzuri yenye faida.
Usijifariji bro,maskini utaendelea kuwa wewe wanaotoa hawawezi kuwa maskini.nakuonyesha kitu hapo chini kitizame kisha jitafakari yupi maskini wewe au wanaojitoa kwa kazi ya Mungu?Wajinga ndio......
Na waliochanga wataendelea kuwa maskini, limbukeni, fukara na kuendelea kutapeliwa kiroho!🤣😂😅
HapanaNaskia mnazipeleka Vaticano
#Hollysea.
Kabisa na mapato yanawekwa wazi tofauti na wenzetuMaendeleo ya hii taasisi yapo wazi. Na sasa linajengwa kanisa la kimataifa huko Gezaulole. Na nguvu ni zao pekee. Huku wakiwa na taasisi zao za Elimu anzia awali mpaka chuo kikuu, mahospital n.k. Hivyo uwekezaji wao hauna mashska kabisa mkuu.
Mbona mnaombea wafu, mnauhakika wanawasikia..?Tafadhali nionyeshe wapi mimi nilipoandika maneno hayo?
Halafu sahihisha siyo kususia msiba haususwi kinachofanyika ni ”marehemu muhusika hafanyiwi ibada” ila vingine vyote vinafanyika na kama nilishindwa kumkiri Mungu nikiwa na pumzi aliyonipa ninyi Kanisa ni nani hata mje kuilazimisha maiti yangu imkiri?
Wakatoliki sisi siyo wanafiki,imani nianze nayo mimi nikifa ninyi mnaobaki muitimilize siyo muanze nayo nyie mimi niitimize nikiwa mfu huko ni kupoteza wakati.
Nifanye mara ngapi?Fanya na wewe hio biashara ya dini kwani umekatazwa
Acha kulalamika na majungu
Cheza na Italian Mafia.Naskia mnazipeleka Vaticano
#Hollysea.