Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
life is not fair at all kikubwa ukipata nafasi ya kumuonesha mtu upendo fanya hivyo mpaka atakapoona yeye inatosha aidha kwa kusema yeye mwenyewe au kwa mienendo/tabia zake.Cha kushangaza kuna wale ambao tunawapenda hivyo hivyo bila kujali wana pesa au hawana,wana Mali au hawana,yani tunawapenda jinsi tu walivyo bila kuangalia madhaifu yao,lkn Hawa ndio wale ambao hata hawaelewe na hawathamini upendo wetu kwao,wanatuona wajinga na hatuna pa kwenda,life is not fair at all
hii ni theory tu, practical sasa😅 hakuna mbabenakazia, unaumia bure wakati mwenzio ndio kwanza hata hawazi kama kuna wewe.
ukishatambua we ni wa muhimu na pekee haya mambo hayawezi kukusumbua, kuwa na misimamo yako na uisimamie hutoyumbishwa na mapenzi.hii ni theory tu, practical sasa😅 hakuna mbabe
itabidi siku moja tushiriki hiyo karamu pamoja😋🤣🤣🤣 Wewe tunafanana
sasa mbona kesi haziishi😅ukishatambua we ni wa muhimu na pekee haya mambo hayawezi kukusumbua, kuwa na misimamo yako na uisimamie hutoyumbishwa na mapenzi.
kujiendekeza tu, asiekupenda hatokupenda hata uzaliwe upyasasa mbona kesi haziishi😅
ukiona mapenzi bado yanakusumbua basi jua yatakusumbua na utateseka sana. Vijana wenzio wanaumizwa na hustling za mtaa kumake chapaa wewe unaumizwa na mapenzi si ukuda huo.sasa mbona kesi haziishi😅
Ukikua utaelewahii ni theory tu, practical sasa😅 hakuna mbabe
Kwakweli tufanye mpango best😋😋itabidi siku moja tushiriki hiyo karamu pamoja😋
nauhusudu sana
zitokee wapi mda mwingine huwa ni njaa tu sio stress za mapenzi 😂Kwakweli tufanye mpango best😋😋
Tukitoka hapo tumeshiba ndii stress za mapenzi zitaanzia wapi
Njaa mbaya sana🤣🤣zitokee wapi mda mwingine huwa ni njaa tu sio stress za mapenzi 😂
ukishashiba unakua poa kabisa.
mnooo, ukishajishibia kitu cha ndondo +my wetu kama ni mlaji ukamalizia na kumwagilia moyo kidogo inatosha sana.Njaa mbaya sana🤣🤣
Fifi Moto anamfaa...nahis anajua sana sanaa ya malavidavi..anaikatikia nyuzi 360...kakiuno nyigu nyama nyingi chini😋..sasa sisi mashangazi kifuani tu unatoa kilo 7 ..ukijichetua uiname unaangukia KOMWE kwisha habar yako
Usingizi uko wapi, unalala zako🤗mnooo, ukishajishibia kitu cha ndondo +my wetu kama ni mlaji ukamalizia na kumwagilia moyo kidogo inatosha sana.
hayo ndio maisha sasa 😂Usingizi uko wapi, unalala zako🤗
Aliyekukataa unampenda au unamtamani huwezi mpenda mtu Kama hakuwai nayeye kukupenda unless uwe umemaanisha kuachwaUshawahi kukataliwa na mtu ambaye unampenda kindakindaki?