Kenya 2022 Mapingamizi ya uchaguzi wa Rais Kenya: Yanayoendelea Mahakama ya Juu

Kenya 2022 General Election
Wakumbushe hao kuwa amani ya Kenya inamtegemea sana Raila kuliko mtu yeyote.
Jaluo ni kitu ingine kabisa wakiamuaga
Wakenya wamekataa vurugu za lile lizee baaada ya kushtuka ni tapeli

Alikuwa anasem Uhuru mwizi na watu wengi kuandamana na kuuliwa na kujeruhiwa kisha anakuja kushikana nae mkono na kumsifu. Conman
 
Wakenya wamekataa vurugu za lile lizee baaada ya kushtuka ni tapeli

Alikuwa anasem Uhuru mwizi na watu wengi kuandamana na kuuliwa na kujeruhiwa kisha anakuja kushikana nae mkono na kumsifu. Conman
Wapi wewe wakati huko anakotokea Odinga hakulalika? Walichoma matairi usiku kucha na BBC walikuwa wakirusha?

Odinga aliwatuliza kuwa wasifanye fujo ndipo utulivu ukarejea
 
Wapi wewe wakati huko anakotokea Odinga hakulalika? Walichoma matairi usiku kucha na BBC walikuwa wakirusha?

Odinga aliwatuliza kuwa wasifanye fujo ndipo utulivu ukarejea
Huko kwa Waluo labda, ila kwingine hakuna mtu anayejali,
 
Acha urongo
 
Mawakili Fred Ngatia na Kithure Kindiki wakati wa pingamizi la uchaguzi wa Urais.

 
Ksh30 bilioni zilitumika katika uchaguzi lakini hivi ndivyo tulivyo - Zehrabanu Janmohamed.

 
Tunaomba Chebukati asipigwe marufuku kuendesha uchaguzi mwingine wowote - Zehrabanu Janmohamed.
 
Mawakili wa Kenya Kwanza Kithure Kindiki na Kioko Kilukumi katika Mahakama ya Juu ya Kenya.
 
Hakuna nafasi kama msimamizi wa uchaguzi wa Rais - Paul Nyamondi.
 
Ufikiaji wa seva 8 za IEBC haujatolewa - James Orengo.
 
Raila Odinga akiongea na simu huku akifuatilia pingamizi la Urais katika Mahakama ya Juu ya Kenya.
 
Wakili Otieno Willis anayemuwakilisha Mlalamikaji wa Nne akitokwa na jasho jingi akiwasilisha kesi yake katika mahakama ya Juu.
Your browser is not able to display this video.
 
Uchaguzi wa urais uliendeshwa na mtu asiyekuwa huru - Willis Otieno.

 
Wakili Otieno Willis: Piki piki ponki...

Jaji Smokin Wanjala: Kuwa mwangalifu, lugha hiyo ni ngeni kwa mahakama hii.
Your browser is not able to display this video.
 
Watu walikuwa na maoni yao lakini IEBC ilikuwa na njia yao - Otieno Willis.

 
Hatuwezi kuzingatia nambari - Otieno Willis.
 
Ripoti ya ukaguzi inaonyesha kuwa kuna vitambulisho feki 638,814 vilivyosajiliwa - Willis Otieno.
 
Githu Muigai alipokuwa anapinga wasilisho la Tom Ojienda:
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…