Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Kwa kutambua umuhimu wa mradi wa kufua umeme wa Mto rufiji Marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu wametembelea bwawa la kuzalisha umeme la NYERERE
Hii ni hatua kubwa za kuenzi legacy ya JPM Ndio maana tunasema JPM rest in power
===
Viongozi wakuu wastaafu Rais Ali Hassan Mwinyi na Jakaya Kikwete,wameongozana na mawaziri wakuu wastaafu Cleopa Msuya, John Malecela na Mizengo Pinda kutembelea utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere.
PICHA: Marais Wastaafu Mzee Kikwete upande wa kulia na Mzee Mwinyi kushoto
PICHA: Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda
Hii ni hatua kubwa za kuenzi legacy ya JPM Ndio maana tunasema JPM rest in power
===
Viongozi wakuu wastaafu Rais Ali Hassan Mwinyi na Jakaya Kikwete,wameongozana na mawaziri wakuu wastaafu Cleopa Msuya, John Malecela na Mizengo Pinda kutembelea utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere.
PICHA: Marais Wastaafu Mzee Kikwete upande wa kulia na Mzee Mwinyi kushoto
PICHA: Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda