barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mama anaupiga mwingiUjanjaujanja Umerudi Tena Kwa Kasi Ya Kimbunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama anaupiga mwingiUjanjaujanja Umerudi Tena Kwa Kasi Ya Kimbunga
😆😅😄😃😂😁😀Anaupiga Mwingi Tokea Dar es Salaam&DodomaMama anaupiga mwingi
Hakuna la maana alikofanya MWENDAZAKE zaidi ya kuharibu baioanuai ya Selous kwa kufueka miti yenye ukubwa sawa na Mkoa wa DSM.
Megawatt 2100 angezipata kwa gesi ya Mtwara tu.
Sioni kwa nini mnamtukuza yule kichaa ambaye alikuwa hasikii ushauri wa wataalamu. Alivyo bounce kwenye KOROSHO na COVID-19 ndiyo atakavyo bounce na kwenye umeme wa Stiglers japo tayari amekwisha kufa
njia pekee ya kuwakomesha hawa Bavicha ni kumuenzi JPM, Mama anaupiga mwingi mnoo, bado kuifanya Chato kuwa mkoa wataharishaexpand...
Hakuna la maana alikofanya MWENDAZAKE zaidi ya kuharibu baioanuai ya Selous kwa kufueka miti yenye ukubwa sawa na Mkoa wa DSM.
Megawatt 2100 angezipata kwa gesi ya Mtwara tu.
Sioni kwa nini mnamtukuza yule kichaa ambaye alikuwa hasikii ushauri wa wataalamu. Alivyo bounce kwenye KOROSHO na COVID-19 ndiyo atakavyo bounce na kwenye umeme wa Stiglers japo tayari amekwisha kufa
njia pekee ya kuwakomesha hawa Bavicha ni kumuenzi JPM, Mama anaupiga mwingi mnoo, bado kuifanya Chato kuwa mkoa wataharishaexpand...
Hivi unajua kusoma na ukaelewa ulichosoma..!!
Mimi nimesema, Ni mito, bahari, anga, maziwa na aridhi zitasimlia matendo ya JPM na siyo wewe...! Eboh!!
njia pekee ya kuwakomesha hawa Bavicha ni kumuenzi JPM, Mama anaupiga mwingi mnoo, bado kuifanya Chato kuwa mkoa wataharishaexpand...
Chezea akili kubwa?Deception plan...kupunguza minong'ono
JK mtoto wa mjini
Hakuna la maana alikofanya MWENDAZAKE zaidi ya kuharibu baioanuai ya Selous kwa kufueka miti yenye ukubwa sawa na Mkoa wa DSM.
Megawatt 2100 angezipata kwa gesi ya Mtwara tu.
Sioni kwa nini mnamtukuza yule kichaa ambaye alikuwa hasikii ushauri wa wataalamu. Alivyo bounce kwenye KOROSHO na COVID-19 ndiyo atakavyo bounce na kwenye umeme wa Stiglers japo tayari amekwisha kufa
[/QUOTE
Na hao ndio mawaziri wakuu.Wapi Warioba, Sumaye, na Lowassa. Salim tunajua hali yake ya kiafya siyo nzuri
Hakuna kitu yule boya alifanya zaidi ya uharibifu tuHivi unajua kusoma na ukaelewa ulichosoma..!!
Mimi nimesema, Ni mito, bahari, anga, maziwa na aridhi zitasimlia matendo ya JPM na siyo wewe...! Eboh!!
Vikojozi hawakosekani....Meko ameacha pia legacy ya kuteka na kupiga risasi wapinzani wake..
MUNGU ahimidiwe sana kwa kulifyekelea mbali hili jamaa.
Leta wewe wivu wa kiume basi! Acheni kumtukuza yule pimbi muuajiAcha wivu wa kike, tuonyeshe jambo lako moja tu ili sisi tukumwagie sifa
Msilazimishe uwongo, Mwendazake hamna la maana kafanya zaidi yabkuharibu uchumi wetu. Ni misukule yake tu ndiyo imebaki inamsifiaVikojozi hawakosekani....
kama huyu
Mkuu, Kichwani mwako zimo lakini?? au......0Msilazimishe uwongo, Mwendazake hamna la maana kafanya zaidi yabkuharibu uchumi wetu. Ni misukule yake tu ndiyo imebaki inamsifia
Hivi mtu anakaa kwa shemeji alikoolewa dadake, hajui bei ya unga, mchele sukari wala luku,. Huyo mtu akili anatoa wapi mkuu?Mkuu, Kichwani zimo lakini?? au......0
Lisu anaacha legacy ya kushikishwa ukuta na rob amsterMeko ameacha pia legacy ya kuteka na kupiga risasi wapinzani wake..
MUNGU ahimidiwe sana kwa kulifyekelea mbali hili jamaa.
Kwan hata kama ni za Serikali kwan asipojenga utamfanya nini?Alitoa hela yake mfukoni?
Kwahiyo hamuwezi kuacha kumsema jk hata akienda kunya?Deception plan...kupunguza minong'ono
JK mtoto wa mjini
Mkuu, unahangaishwa na watu wenye mawazo finyu.Kwan hata kama ni za Serikali kwan asipojenga utamfanya nini?