Marais Wastaafu, Mawaziri Wakuu wastaafu watembelea Bwawa la Nyerere la mto Rufiji
Hakuna la maana alikofanya MWENDAZAKE zaidi ya kuharibu baioanuai ya Selous kwa kufueka miti yenye ukubwa sawa na Mkoa wa DSM.

Megawatt 2100 angezipata kwa gesi ya Mtwara tu.

Sioni kwa nini mnamtukuza yule kichaa ambaye alikuwa hasikii ushauri wa wataalamu. Alivyo bounce kwenye KOROSHO na COVID-19 ndiyo atakavyo bounce na kwenye umeme wa Stiglers japo tayari amekwisha kufa
expand...
njia pekee ya kuwakomesha hawa Bavicha ni kumuenzi JPM, Mama anaupiga mwingi mnoo, bado kuifanya Chato kuwa mkoa wataharisha

Quote Reply
Report
 
Hakuna la maana alikofanya MWENDAZAKE zaidi ya kuharibu baioanuai ya Selous kwa kufueka miti yenye ukubwa sawa na Mkoa wa DSM.

Megawatt 2100 angezipata kwa gesi ya Mtwara tu.

Sioni kwa nini mnamtukuza yule kichaa ambaye alikuwa hasikii ushauri wa wataalamu. Alivyo bounce kwenye KOROSHO na COVID-19 ndiyo atakavyo bounce na kwenye umeme wa Stiglers japo tayari amekwisha kufa
expand...
njia pekee ya kuwakomesha hawa Bavicha ni kumuenzi JPM, Mama anaupiga mwingi mnoo, bado kuifanya Chato kuwa mkoa wataharisha

Quote Reply
Report
 
Hivi unajua kusoma na ukaelewa ulichosoma..!!

Mimi nimesema, Ni mito, bahari, anga, maziwa na aridhi zitasimlia matendo ya JPM na siyo wewe...! Eboh!!
expand...
njia pekee ya kuwakomesha hawa Bavicha ni kumuenzi JPM, Mama anaupiga mwingi mnoo, bado kuifanya Chato kuwa mkoa wataharisha

Quote Reply
Report
 
Acha wivu wa kike, tuonyeshe jambo lako moja tu ili sisi tukumwagie sifa
Hakuna la maana alikofanya MWENDAZAKE zaidi ya kuharibu baioanuai ya Selous kwa kufueka miti yenye ukubwa sawa na Mkoa wa DSM.

Megawatt 2100 angezipata kwa gesi ya Mtwara tu.

Sioni kwa nini mnamtukuza yule kichaa ambaye alikuwa hasikii ushauri wa wataalamu. Alivyo bounce kwenye KOROSHO na COVID-19 ndiyo atakavyo bounce na kwenye umeme wa Stiglers japo tayari amekwisha kufa
[/QUOTE
 
Hivi unajua kusoma na ukaelewa ulichosoma..!!

Mimi nimesema, Ni mito, bahari, anga, maziwa na aridhi zitasimlia matendo ya JPM na siyo wewe...! Eboh!!
Hakuna kitu yule boya alifanya zaidi ya uharibifu tu
 
Wamekwenda kwa usafiri gani maana nasikia ni masafa marefu
 
Back
Top Bottom