Marais Wastaafu, Mawaziri Wakuu wastaafu watembelea Bwawa la Nyerere la mto Rufiji
Hili bwawa ni uchafu na wizi wa Shetani Magufuli Halitakua na tija yoyote tayari hapo lilipo ni white elephant.
CCM tunatumia nguvu nyiiingi kulibrand ila kiukweli ni uchafu wa kimataifa. Hapo ni kupaka rangi jeneza tuuu.
Hasira za kutumbuliwa hazijaisha tu!!!
 
Waache kuna mmoja masaa yake yanahesabika-Mark my words
Waache kuna mmoja masaa yake yanahesabika-Mark my words
Hizi roho za dizaini hii ndizo zinasababisha watu wawapotezee halafu mnakimbilia kuomba katiba mpya( naamini kabisa wewe ni miongoni mwa wanaopiga kelele za katiba mpya)
Sasa hapo kosa lao ni lipi sasa mpaka uwaombee mauti?
 
Hizi roho za dizaini hii ndizo zinasababisha watu wawapotezee halafu mnakimbilia kuomba katiba mpya( naamini kabisa wewe ni miongoni mwa wanaopiga kelele za katiba mpya)
Sasa hapo kosa lao ni lipi sasa mpaka uwaombee mauti?
Wapi nimetaja umauti? Umerogwa wewe ndomaana unakata mauno boya wee!
 
Bwawa = Tsh 7 trilioni
Bagamoyo = Tsh 23 trilioni

Wanasema,
Daraja kigamboni = Tsh 160 bilioni(Nasikia wakapinga kuwa ni kubwa, wakatawanywa)
Daraja kigamboni = Tsh 260 bilioni ikatumika, wenye wizara wakarudishwa, nasikia.

ESCROW ni pesa za nani, wakasubiri jibu akitua.
Akatoa elimu ya tezi dume na kusema, upepo mbaya, utapita.

Wakatoka bungeni, tukapitisha ile hati ya dharula usiku, na sasa tunaandaa port ya kuuzia mali ile.

Mkwere katika ubora wake wa kuhamisha goli.

Hivi JK alishawahi kurudi kwa wazee wa DSM akina Mkali na kuwaambia mwenye pesa za Escrow ni TANESCO au kawaacha na ubofu wao?
 
Hivi JK alishawahi kurudi kwa wazee wa DSM akina Mkali na kuwaambia mwenye pesa za Escrow ni TANESCO au kawaacha na ubofu wao?
Mtoto wa mjini huyo hao wazee na yeye ni kama waarabu wa pemba wanaojuana kwa ufungaji wa vilemba vyao
 
Back
Top Bottom