Kuna watu wamekuwa disappointed baada kusikia ni kifo cha ajali..........what a world we are living.......
Hali ya corona ni mbaya.....lakini wanaopaza sauti wametanguliza maslahi ya kisiasa........badala yake badala ya kuomboleza wanafurahia vifo vya wapendwa wakidhani wanaikomoa serikali ambayo imeshatuacha kwenye mataa.......
Chanzo rasmi kinasema ajari hainabudi sisi kukubali hata ukuhoji it won't change anythingHabari za jioni wakuu
Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..
Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?
Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second
Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.
Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
Ni Kweli Mh. Nditiye alipata Ajali Afajiri maeneo ya 88 Nzuguni. Ajali imehusisha gari 3 na Pikipiki moja. Inavyoonekana Audi ambayo Mh. Nditiye alikuwepo ilikuwa inageuza u turn, Coaster ikaigonga ubavuni, then Audi ikaenda kugonga Voxy na Pikipiki. Gari zote zilikuwa Cetral Police, ila nafikiri hawakujua mapema kwamba mwenye Audi Black ni Mh. Nditiye. Apumzike kwa amani.Ni kweli alipata ajali. Mke wangu yuko kundi moja WhatsApp na mke wa Marehemu Nditiye na waliosoma wote shuke fulani hivi. Na aliwajulisha kuwa mume alipata ajali mbaya na alikuwa amelazwa ICU.
Hivyo tuwe waungwana siyo kila kifo ni Covid19. Yaani kama vile mnaipenda sana. Yaani kwanza ni afadhali usipende kuitajataja. Isikie kwa jina tu ila kivitende hujui itakuchakazaje.
Ni Kweli ajali ilitokea Alfajiri ilihusisha Audi black, Coaster, Toyota Voxy na Pikipiki, chanzo ni Audi ambayo Mh. Nditiye alikuwemo, gari zote zipo Central Police. I think hawakujua ni Mh. Nditiye hadi taarifa za Msiba wake zilipotolewa.Habari za jioni wakuu
Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..
Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?
Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second
Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.
Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
Maelezo yako ktk aya ya kwanza ni mazuri. Reaction ya wengi hapa jukwaani inaonyesha hawana imani namamlaka iliyotoa taarifa ya ajali.Ni kweli alipata ajali. Mke wangu yuko kundi moja WhatsApp na mke wa Marehemu Nditiye na waliosoma wote shuke fulani hivi. Na aliwajulisha kuwa mume alipata ajali mbaya na alikuwa amelazwa ICU.
Hivyo tuwe waungwana siyo kila kifo ni Covid19. Yaani kama vile mnaipenda sana. Yaani kwanza ni afadhali usipende kuitajataja. Isikie kwa jina tu ila kivitende hujui itakuchakazaje.
maneno mengi ya nini. wapi na liniNi kweli alipata ajali. Mke wangu yuko kundi moja WhatsApp na mke wa Marehemu Nditiye na waliosoma wote shuke fulani hivi. Na aliwajulisha kuwa mume alipata ajali mbaya na alikuwa amelazwa ICU.
Hivyo tuwe waungwana siyo kila kifo ni Covid19. Yaani kama vile mnaipenda sana. Yaani kwanza ni afadhali usipende kuitajataja. Isikie kwa jina tu ila kivitende hujui itakuchakazaje.
Nikiwaita wapuuzi hawa nanuniwa, upinzani hauwi hivyoMimi sikuelewi unataka kusema nini mkuu!
.
Mambo mengine hebu tuwe tunajaribu kupuuzia tu jamani, sio kila jambo tulitafutie kasoro. Watu makini hawawi namna hii [emoji1666]
Kwahiyo huko alikokimbilia hakuna corona?Ajali ya corona Mkuu, huoni jamaa kaikimbia Dodoma Mkuu? Anaogopa ajali ya kubamizwa BAAM!
Kwahiyo hii itakuwa senema kama ile ya Mbowe kulewa na kuteguka kwa kuanguka kisha kusingizia watu wasiojulikana?Unataka ndungai aseme nditie ameugua gafla amfurahishe mbowe na chama chake.
Umesahahu vita ya ndungai na mbowe last year.
Huu ni uongo wa mchana kabisa.
Mkuu hawa jama wakiongozwa na lile tahira kule twiter hata kesi zao za icc wameacha kuzifuatiliaNi kweli alipata ajali. Mke wangu yuko kundi moja WhatsApp na mke wa Marehemu Nditiye na waliosoma wote shuke fulani hivi. Na aliwajulisha kuwa mume alipata ajali mbaya na alikuwa amelazwa ICU.
Hivyo tuwe waungwana siyo kila kifo ni Covid19. Yaani kama vile mnaipenda sana. Yaani kwanza ni afadhali usipende kuitajataja. Isikie kwa jina tu ila kivitende hujui itakuchakazaje.
Hili I jibu sahihi kwa wapumbavu wote walioamini mbunge kafa kwa korona. Na siyo ajali na zaidi ya you're mbunge alikuwa anaendesha mwenyewe aka u turn akiwa high way Ndiyo akagongwa na coaster ubavuniNi Kweli Mh. Nditiye alipata Ajali Afajiri maeneo ya 88 Nzuguni. Ajali imehusisha gari 3 na Pikipiki moja. Inavyoonekana Audi ambayo Mh. Nditiye alikuwepo ilikuwa inageuza u turn, Coaster ikaigonga ubavuni, then Audi ikaenda kugonga Voxy na Pikipiki. Gari zote zilikuwa Cetral Police, ila nafikiri hawakujua mapema kwamba mwenye Audi Black ni Mh. Nditiye. Apumzike kwa amani.
Unao ushahidi?Jiwe kaagiza chanjo kaitumia yeye na watu wake wa karibu halafu anaacha wengine wafe , hata ibilisi ana nafuu .