Marekani imetuma Wanajeshi 4,000 nchini Israel

Nyuma ya keyboard kuna watu wanajua sana historia na uchambuzi wa masuala ya kijeshi tena ya Marekani, Europe na Middle East kuliko hata wataalam wenyewe. Mtu anaandika utafikiri ni Mossad au CIA msataafu kumbe lijamaa flani tu la Buza huko story tu limeskia kwenye gahawa ila inaandikwa kwa kushupaa utadhani ndo linashikilia mifumo. Subiri watu waanze kushenyentana ndo tutajua nani best kwa sasa sisi tusubiri. Hakuna anayejua target za mmoja dhidi mwenzie kati ya Iran na Israel
 
Nakwambia hivi kaulize USA na Iraq 1980-1988 kwanini walishindwa vita walipovamia Iran!?
Nasubiri jibu.
Haya maneno tumeanza yaongea muda sana jamaa wanajigongea tu. Walimuua mpaka msaidizi wa hayatollah hawa manyang'au.
 
We kuku, elewa ķupigana na myahidi ni sawa na kupigana na Dunia- maana wamesambaa kote hata hapa Africa wapo kibao.
weusi au weupe mkuu
 
kwanini USA anapeleka majeshi mapema hivi? wachambuzi wekeni comments za kivita
 
Vita ilishatokea mara nyingi na haikuwahi kuwa religious war.Na kama itakuwa religious war basi waarabu watamgeuka Mshia kwa kigezo cha u sunni.
Uislam pale asiye muislam akiingilia kati madhehebu yanakaa pembeni.
Ikitokea vita ya kidini Sunni na shia wanakua kitu kimoja kwaajili ya uislamu.
Incase you don't know.
 
Viongozi wa dini? 😅😅
Serikali ndio inamiliki jeshi, na nchi nyingi za kiarabu serikali zao zimekuwa vibaraka wa Israel thru USA
Waarabu washaanza kuwa wajanja.
Hivi unajua mkuu waarabu wameanza kuunda vikundi vya wanamgambo na serikali zao ndio zinafadhili hao wanamgambo!?
Bahrain imeundwa kundi jipya la wanamgambo na Bahrain yenyewe ndio inalilisha hilo kundi.
Ila chambo wa kuwa kiongozi atakua Iran kwasababu hilo kundi limehusishwa na axis of resistance.
Embu mkuu define briefly Kepler's laws of motion halafu usolve equation.
 
Hili nitalifuatilia.
Ila hata uhuru wa hiyo USA ilipiganiwa na hao Irish.
Nakubali matajiri wakubwa wa USA ni wayahudi ila sio UNIDANGANYE 70% ya raia 300 millions of USA ni wayahudi.
Hapo usinidanganye.
 
Hili nitalifuatilia.
Ila hata uhuru wa hiyo USA ilipiganiwa na hao Irish.
Nakubali matajiri wakubwa wa USA ni wayahudi ila sio UNIDANGANYE 70% ya raia 300 millions of USA ni wayahudi.
Hapo usinidanganye.
Ni wapi nimekuambia 70% ni Wayahudi?

Unajua kusoma?

Nimekuambia katika jimbo la California kuna watu wenye asili ya Ireland (Irish Ancentry) asilimia 70% na New Harmpshare wapo 20%

Wayahudi walikuwepo even before na waliasisi mapinduzi makubwa ya American Technology na Ulaya pia.
 
Hivi bila wazungu hawa wajinga wanaweza savaivu?
 
Idadi wa wayahudi US ni only 2% hizo story zako za uwongo pelekea walokole wenzako
 
Basi ugomvi wangu mimi na huyo ni kudai kuwa USA imesimamishwa na wayahudi kiuchumi na pia asilimia 70 ya raia wa Marekani ni wayahudi.
Hizo ndizo nilizozikataa mimi.
Misingi ya kukua USA haikujengwa na myahudi.Japo ukuaji wa kibiashara na technology myahudi kahusika ila foundation is not him.
 
Hili nitalifuatilia.
Ila hata uhuru wa hiyo USA ilipiganiwa na hao Irish.
Nakubali matajiri wakubwa wa USA ni wayahudi ila sio UNIDANGANYE 70% ya raia 300 millions of USA ni wayahudi.
Hapo usinidanganye.
Well sijui wewe umesoma Historia ipi?

Walioisaidia U.S.A katika revolution mpaka Independence ni FRENCH PEOPLE (Wafaransa) kuanzia Uniform za jeshi, matibabu, Silaha na wanajeshi kwasababu waliahidiwa kupewa eneo la Virginia lote na Pia French alikuwa hasimu mkubwa wa Muingereza aliyeifanya USA koloni

Ndio maana ni vigumu sana kusikia USA ikikinzana na France...Na baadae ili kuweka alama ya Umoja wao, Mhandisi mbobevu AUGUSTE BATHOLDI Mfaransa akabuni na kujenga Statue of liberty na Wamarekani na Wafaransa wakala kiapo cha kutopigana milele
Hili nitalifuatilia.
Ila hata uhuru wa hiyo USA ilipiganiwa na hao Irish.
Nakubali matajiri wakubwa wa USA ni wayahudi ila sio UNIDANGANYE 70% ya raia 300 millions of USA ni wayahudi.
Hapo usinidanganye.
 
Mkuu mkuu hii historia nitaifuatilia.
Kumbe FRANCE NDIO ALIKUA MFADHILI WA UHURU WA USA!??
Basi ngojea tukadadavue zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…