Palmoni
JF-Expert Member
- Jun 13, 2024
- 1,968
- 3,760
Wenzetu wako Mbali mnoo Acha tuendelee kuwasingizia NgedereDah,
Yaani hilo manowari ni kama kijiji kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu wako Mbali mnoo Acha tuendelee kuwasingizia NgedereDah,
Yaani hilo manowari ni kama kijiji kabisa
Ni mashoga kama hapo nyumbani kwenu kumbe...nani kakwambia ana wasi wasi?iran washasema wazi wazi kisasi cha ki historia kitalipwa na waungane hao mashoga
Waende sasa hao waarabu na shetani allah wakutane na hao unaowaita mashoga kama hapo nyumbani kwakohutakuja sikia kitu kama hicho waarabu washaamua ubaya ubwela,unganeni mashoga wote duniani ila lazma mchezeshewe dyudyu
😀😀😀Pale mvulana anapo changia mada za wanaume
Sijui una Elimu gani,very sadAtatiaje mguu na wakati yeye mwenyewe anaomba na kusaidiwa Silaha na Iran,China na Korea
Haya maneno tumeanza yaongea muda sana jamaa wanajigongea tu. Walimuua mpaka msaidizi wa hayatollah hawa manyang'au.Nakwambia hivi kaulize USA na Iraq 1980-1988 kwanini walishindwa vita walipovamia Iran!?
Nasubiri jibu.
weusi au weupe mkuuWe kuku, elewa ķupigana na myahidi ni sawa na kupigana na Dunia- maana wamesambaa kote hata hapa Africa wapo kibao.
Uislam pale asiye muislam akiingilia kati madhehebu yanakaa pembeni.Vita ilishatokea mara nyingi na haikuwahi kuwa religious war.Na kama itakuwa religious war basi waarabu watamgeuka Mshia kwa kigezo cha u sunni.
Waarabu washaanza kuwa wajanja.Viongozi wa dini? 😅😅
Serikali ndio inamiliki jeshi, na nchi nyingi za kiarabu serikali zao zimekuwa vibaraka wa Israel thru USA
Hili nitalifuatilia.Irish Men au watu wa Irish Ancentry wapo Carlifornia kwa asilimia 70% na New Hampshire wapo kwa 20%
Namba ya Jews Ancentry waliopo U.S.A ni kubwa sana na wanamiliki Uchumi mkubwa wa Marekani hasa katika Technology Field kwa karne nyingi
Hawa waliwatangulia watu kutoka visiwa vya British Isles ambao ni pamoja na Irish na Scotish Men
Unachotaka kubisha ni kipi?
Empty headInategemeana Israel asilimia kubwa wapo mareken na wanafanya kazi sekta nyeti sana na mungu amewapa uwezo sana hasa upande wa kutengeneza silaya na maabar
Ni wapi nimekuambia 70% ni Wayahudi?Hili nitalifuatilia.
Ila hata uhuru wa hiyo USA ilipiganiwa na hao Irish.
Nakubali matajiri wakubwa wa USA ni wayahudi ila sio UNIDANGANYE 70% ya raia 300 millions of USA ni wayahudi.
Hapo usinidanganye.
Idadi wa wayahudi US ni only 2% hizo story zako za uwongo pelekea walokole wenzakoIrish Men au watu wa Irish Ancentry wapo Carlifornia kwa asilimia 70% na New Hampshire wapo kwa 20%
Namba ya Jews Ancentry waliopo U.S.A ni kubwa sana na wanamiliki Uchumi mkubwa wa Marekani hasa katika Technology Field kwa karne nyingi
Hawa waliwatangulia watu kutoka visiwa vya British Isles ambao ni pamoja na Irish na Scotish Men
Unachotaka kubisha ni kipi?
Basi ugomvi wangu mimi na huyo ni kudai kuwa USA imesimamishwa na wayahudi kiuchumi na pia asilimia 70 ya raia wa Marekani ni wayahudi.Ni wapi nimekuambia 70% ni Wayahudi?
Unajua kusoma?
Nimekuambia katika jimbo la California kuna watu wenye asili ya Ireland (Irish Ancentry) asilimia 70% na New Harmpshare wapo 20%
Wayahudi walikuwepo even before na waliasisi mapinduzi makubwa ya American Technology na Ulaya pia.
Well sijui wewe umesoma Historia ipi?Hili nitalifuatilia.
Ila hata uhuru wa hiyo USA ilipiganiwa na hao Irish.
Nakubali matajiri wakubwa wa USA ni wayahudi ila sio UNIDANGANYE 70% ya raia 300 millions of USA ni wayahudi.
Hapo usinidanganye.
Hili nitalifuatilia.
Ila hata uhuru wa hiyo USA ilipiganiwa na hao Irish.
Nakubali matajiri wakubwa wa USA ni wayahudi ila sio UNIDANGANYE 70% ya raia 300 millions of USA ni wayahudi.
Hapo usinidanganye.
kwanini wazungu wapo nao bega kwa bega sana?Hivi bila wazungu hawa wajinga wanaweza savaivu?
Mkuu mkuu hii historia nitaifuatilia.Well sijui wewe umesoma Historia ipi?
Walioisaidia U.S.A katika revolution mpaka Independence ni FRENCH PEOPLE (Wafaransa) kuanzia Uniform za jeshi, matibabu, Silaha na wanajeshi kwasababu waliahidiwa kupewa eneo la Virginia lote na Pia French alikuwa hasimu mkubwa wa Muingereza aliyeifanya USA koloni
Ndio maana ni vigumu sana kusikia USA ikikinzana na France...Na baadae ili kuweka alama ya Umoja wao, Mhandisi mbobevu AUGUSTE BATHOLDI Mfaransa akabuni na kujenga Statue of liberty na Wamarekani na Wafaransa wakala kiapo cha kutopigana milele