Marekani: Ndani ya siku 100 tu deni la taifa la Marekani lafikia $35 trillion kutoka $34 trillion

Marekani: Ndani ya siku 100 tu deni la taifa la Marekani lafikia $35 trillion kutoka $34 trillion

National debt ina public debt (deni la serikali) na private debt (madeni ya wananchi).
US National debt imegawanyika sehemu mbili
  • Debt held by the public​
  • Intragovernmental debt​

Hapo kwenye debt held by public ndio kuna
  • Domestic holders of federal debt​
  • Foreign holders of federal debt​
Domestic holders of federal debt hawa ni creditors wa ndani kama mutual funds, commercial banks, pension funds, insurers, corporations na private investors.

Foreign holders of federal debt ni creditors wa nje hapa unazungumzia foreign central banks na foreign private investors walionunua bonds za Marekani. Ambapo kwa sasa mataifa yanayoshikilia sehemu kubwa ya deni la Marekani ni Japan na China wakifuatiwa na mataifa mengine
.

Intragovernmental debt ni deni la ndani ya serikali ya Marekani ambalo ni sehemu moja ya serikali inadaiwa na nyingine
 
Sasa wanashindwa nini kufanya hivyo wakati access wanayo ya kufanya hivyo kama kiranja mkuu wa Dunia na ndiyo mwenye dola yake!!
Bila kusahau machine za kuhesabia hizo dollar zipo controlled na mfumo wao uitwao SWIFT yaani USA kuwa na deni ni kiini macho wanazuga kwamba na sisi wajinga tuone kwamba tunalingana nao kumbe changa la macho
 
Sehemu kubwa ya hiyo mikopo ipo kwenye secured loans (mortgages) na sehemu ya pili credit (mikopo ya Visa cards, car loans and other credits madukani).
Marekani wanapozungumzia deni la taifa mambo kama deni la mortgages na la credit card huwa hawahesabii kwenye national debt yao.
 
US National debt imegawanyika sehemu mbili
  • Debt held by the public​
  • Intragovernmental debt​

Hapo kwenye debt held by public ndio kuna
  • Domestic holders of federal debt​
  • Foreign holders of federal debt​
Domestic holders of federal debt hawa ni creditors wa ndani kama mutual funds, commercial banks, pension funds, insurers, corporations na private investors.

Foreign holders of federal debt ni creditors wa nje hapa unazungumzia foreign central banks na foreign private investors walionunua bonds za Marekani. Ambapo kwa sasa mataifa yanayoshikilia sehemu kubwa ya deni la Marekani ni Japan na China wakifuatiwa na mataifa mengine
.

Intragovernmental debt ni deni la ndani ya serikali ya Marekani ambalo ni sehemu moja ya serikali inadaiwa na nyingine
Ndio maana mwisho wa post yangu nikasema kunielewa inataka uwe na abc za uchumi.

National debt lina sehemu mbili tu;

Moja

Government debt/public debt (ni kitu kimoja). Government ni madeni ya serikali kuu pamoja na madeni mengine ya serikali (usually yana guarantee ya serikali).

Mbili

Private debt haya ni madeni ya wananchi sehemu kubwa ni secured loans ukipekuwa ndio percentage kubwa ya (private loans), credit loans ni kama 30% ya private debt.

Sasa ukishaelewa hayo mambo ndio utajua how investors assess deni la nchi kama marekani na kuwa makini na macro economic data za uchumi wao.
 
Ndio maana The Federal Reserve na The US Treasury wanapambana sana kuuza bonds za serikali kuraise pato la serikali
Na hilo ndilo linaongeza deni maana wanaonunua wengi ni foreign nations, sijui kwa sasa ila china na uk ndio walikuwa wanaoongoza kununua hizo bonds
 


Marekani wanapozungumzia deni la taifa mambo kama deni la mortgages na la credit card huwa hawahesabii kwenye national debt yao.
Sio swala la mtu kuchagua deni la taifa lina formuła zake za accumulation.

Ndio maana economic data ni indicator za sustainability ya deni.

Hii ndio shida ya mijadala ya JF unakuta mtu ana anzisha mada halafu hana hata hizo abc za topic husika.

Nenda ka google deni la US utaona kwenye hizo $35 trillion of that 46% ni private debt. From there to asses sustainability of the debt you got to think macro economically if it’s sustainable (that’s when you have to get into the nitty gritty of the data).
 
Sio swala la mtu kuchagua deni la taifa lina formuła zake za accumulation.

Ndio maana economic data ni indicator za sustainability ya deni.

Hii ndio shida ya mijadala ya JF unakuta mtu ana anzisha mada halafu hana hata hizo abc za topic husika.

Nenda ka google deni la US utaona kwenye hizo $35 trillion of that 46% ni private debt. Fron there to asses sustainability of the debt you got to think macro economically if it’s sustainable.
Bado deni la USA sio himilivu ndio maana hata rating agencies zipo ukakasi meingi(kumbuka hivi ni vyombo vyao pia). Mwaka mmoja na nusuthresh hold ya mkopo wao ilikuwa USD 31 trillion baadae ikwa reviewed 33 trillion na top USD 35 trillion. Kumbuka kwa mwaka wanalipa deni over 1trillion kutoka kwenye mapato yao.

Mbaya zaidi mataifa makubwa yanavoid kununua bonds na instrument zingine kwa Dola. Hapo ndio ugumu imekuja kwa USA
 
Bado deni la USA sio himilivu ndio maana hata rating agencies zipo ukakasi meingi(kumbuka hivi ni vyombo vyao pia). Mwaka mmoja na nusuthresh hold ya mkopo wao ilikuwa USD 31 trillion baadae ikwa reviewed 33 trillion na top USD 35 trillion. Kumbuka kwa mwaka wanalipa deni over 1trillion kutoka kwenye mapato yao.

Mbaya zaidi mataifa makubwa yanavoid kununua bonds na instrument zingine kwa Dola. Hapo ndio ugumu imekuja kwa USA
Soma post yangu #18 kwanini unadhani nikasema macro economic data kama unemployment matters.

Kwa sababu reduction in unemployment means growth in economy, growth in economy means increase in tax revenue, increase in tax revenue means the ability of government to pay to pay its debt (for the most part US bonds yield are between 3%-5%).

On the other side of the debt (private) similarly growth in economy means, citizens and businesses can afford to pay their mortgages, they can also pay their credit debts. This is why markets anticipate economic data na zina influence loans and investments appetite.

Sasa kusema US aiwezi kulipa madeni yake bila ya kuongelea macro economics za taifa ni mjadala wa kitoto.

Ni hivi hiyo NHC ya Tanzania inatakiwa kupewa watu wenye uelewa na serikali iwekeze kwenye mortgage ambazo affordable housing market ni sector insyokuuza uchumi. NHC ya akili za Jakaya Kikwete ni disaster.
 
Na hilo ndilo linaongeza deni maana wanaonunua wengi ni foreign nations, sijui kwa sasa ila china na uk ndio walikuwa wanaoongoza kununua hizo bonds
Kwa sasa mwenye deni kubwa la Marekani katika bonds ni Japan

China walikuwa wanaongoza miaka kadhaa iliyopita sasa hivi wako nafasi ya pili. Wameamua kuuza baadhi ya bonds za Marekani na kuwekeza zaidi kwenye dhahabu
 
Deni la taifa la Marekani au kama wao wanavyoliita Federal Debt, Government Debt, National Debt, U.S Public Debt linapaa kwa kasi sana limefikia $35 trillion ambalo ni sawa na $104,082 kwa kila mtu anayeishi Marekani.​

View attachment 3067380
Deni la taifa la Marekani linakua kwa kasi zaidi kuliko uchumi.

Kuna sababu kadhaa zinazotajwa kuifanya serikali ya Marekani au unaweza kuiita the Federal Government ifikie hatua ya kukopa kutoka kwa wakopeshaji (creditors) wa ndani au wa nje ni kuongezeka matumizi ya serikali kuliko mapato yanayokusanywa.

Hii imepelekea Marekani iwe na ufinyu wa bajeti (deficit budget), bajeti ya serikali inapokuwa kubwa kuzidi mapato yake. Kwa mfano:

Mwaka wa fedha wa 2023 serikali ya Marekani ilitumia $6.13 trillion na kukusanya $4.44 trillion tu.
–The Fed


Mara ya mwisho Marekani kuwa na ziada ya bajeti (surplus budget) yaani matumizi ya serikali yanapokuwa chini ya mapato yanayokusanywa kupitia kodi, ilikuwa ni 2001.

Kwa sasa kwa wastani Marekani inatengeneza deni la $1 trillion kila baada ya siku 100 au $10 billion kwa siku.
Wanahudumia si nchi yao tu bali hata na huku kwetu kutujengea barabara na kutununulia vyandarua, wachilia kupeleka misaada ya kivita kwenye nchi zenye mapigano.
 
Kwa sasa mwenye deni kubwa la Marekani katika bonds ni Japan

China walikuwa wanaongoza miaka kadhaa iliyopita sasa hivi wako nafasi ya pili. Wameamua kuuza baadhi ya bonds za Marekani na kuwekeza zaidi kwenye dhahabu
Unaona kuna dalili za kulipa hili deni... maana deni lao linaathiri sekta yote ya kifedha duniani
 
Wanahudumia si nchi yao tu bali hata na huku kwetu kutujengea barabara na kutununulia vyandarua, wachilia kupeleka misaada ya kivita kwenye nchi zenye mapigano.
Hizo vita hasa ndio zinamgharimu, hata mataifa mengine pia yanatoa misaada
 
Back
Top Bottom