Marekani: Ndani ya siku 100 tu deni la taifa la Marekani lafikia $35 trillion kutoka $34 trillion

Marekani: Ndani ya siku 100 tu deni la taifa la Marekani lafikia $35 trillion kutoka $34 trillion

Elezea kwa kiswahili basi
Screenshot_20240812-103437_X.jpg
 
Hili taifa limeharibiwa na washenzi ambao wameishia kudivert pesa za umma kufanya mambo ya kipumbavu , sehemu kubwa ya deni hilo ni gharama za vita za kipumbavu ambazo zinagharimu maisha ya raia na kuongeza gharama kugharamia shughuli za jeshi na foreign operations za CIA .
Huku raia wakizidi kutopea kwenye umasikini , living standards za raia wa Marekani zinazidi kushuka huku wapuuzi wa military contractors na taasisi za kifedha wakiogelea kwenye utajiri usioelezeka .
Military industry complex mafioso ni watu wanaoogopwa sana pale Marekani hata majina yao hutaka utasikia kwenye mainstream media .
Hizo bonds kuna nchi kama China na Japan wataanza kufanya liquidation na itakuwa ni mwanzo wa anguko mkubwa la uchumi wa Marekani , maana wamefanya hii scam ya kiexport inflation kwa kucreate hizo fiat dollars ambazo haziko tied na uzalishaji au valuable background .
Lizards kabisa hawa
 
USA Ameshalalamikiwa sana kwa kuchapisha pesa kuongeza kwnye mzunguko
Dola ni makaratasi tu yakipungua watu wanachapisha mengine, siyo kama madini yakipungua ni kweli yamepungua na wala uwezi kuyaongezea yajae huko chini aridhini!!
 
Kwa hiyo dawa ni kuchapisha dollars sio?

Kwa hiyo the U.S Treasury na Federal Reserve waiamuru the Bureau of Engraving and Printing iprint notes walipe madeni?
Wwe tatizo lako umekariri sana elimu ya makaratasi, toka huko and think out of the box!! Kumbuka kua vita ya Uchumi ni ngumu sana!!
 
Unamaanisha watachapisha Dola nyingi ili kulipa hilo deni?
Hata hawahitaji kuchapisha dola nyingi kulipa deni. Kufanya hivyo kuta devalue dola.

As long as wao ndio wana hela yenye nguvu duniani na ndio wanao control uchumi wa dunia, hilo deni linakuwa halina impact.

Serikali ya Marekani inaweza kukopa kutoka global financials at very low interest rates.

Pia, deni hili linashikiliwa na entities nyingi. Federal government ya US, pamoja na Social Security Trust Fund inashikilia kama 20% tu ya deni hili. Sehemu nyingine 40% inashikiliwa na US savers, pensions, mutual funds na financial institutions, sehemu nyingine zinashikikiwa na wawekezaji wa nje kama Japan na UK.

Hili deni liko convoluted sana kiasi kwamba si deni la kudai straight up, ukilidai hivyo hata wewe unayedai uchumi wako unaweza kuanguka.

Paul Krugman aliandika article kueleza kwa nini deni la taifa la Marekani sio big deal.

Kaeleza kirefu kuliko ninavyoweza, this is a Nobel laureate (Economics, 2008)

 
Msisahau kuwa hata Tz deni limeongezeka kwa siku miamoja kwa kiasi cha trillion 37.0
Tatizo deni la TZ linadaiwa kwa US dollars ambazo TZ haina control nazo. TZ inakuwa rated na rating institutions za US ambazo haina control nazo. Kifupi TZ haina control na deni lake kama US.
 
Kwa hiyo dawa ni kuchapisha dollars sio?

Kwa hiyo the U.S Treasury na Federal Reserve waiamuru the Bureau of Engraving and Printing iprint notes walipe madeni?

Hapana.

Angalia post #66
 
Deni la taifa la Marekani, lililo katika dola za Kimarekani, wanazozi control na kuzichapisha Wamarekani, halina usawa na deni la taifa la nchi nyingine.

Kwa sababu wao ndio wana control na kuchapisha dola za Kimarekani.

Ni sawa na serikali ya Tanzania idaiwe katika shilingi za Kitanzania, hela ambazo ina uwezo wa kuzichapisha.

Kitu muhimu ni ku control inflation tu.

Kuchapisha pia ni pesa au unatumia photocopy , copy tu ambayo nayo pia ni pesa ??
 
As long as wao ndio wana hela yenye nguvu duniani na ndio wanao control uchumi wa dunia, hilo deni linakuwa halina impact.
Hauwezi kusema hilo deni halina impact unakosea sana

Kila mwaka Marekani wanalipa billions of money kama interest payments kwa investors walionunua bonds.

Screenshot_20240812-130554_Chrome.jpg
 
Deni la taifa la Marekani, lililo katika dola za Kimarekani, wanazozi control na kuzichapisha Wamarekani, halina usawa na deni la taifa la nchi nyingine.

Kwa sababu wao ndio wana control na kuchapisha dola za Kimarekani.

Ni sawa na serikali ya Tanzania idaiwe katika shilingi za Kitanzania, hela ambazo ina uwezo wa kuzichapisha.

Kitu muhimu ni ku control inflation tu.

Umemjibu pepo Mchafu Chawa kisomi .
 
Hauwezi kusema hilo deni halina impact unakosea sana

Kila mwaka Marekani wanalipa billions of money kama interest payments kwa investors walionunua bonds.

View attachment 3067704

Inalipa kwa hela gani?

Hela yake mwenyewe Mmarekani haim cost chochote.

Serikali ya Marekani ndiyo inayochapisha hela za Marekani halafu unasema kulipa interest kwa hela inayochapisha yenyewe, kwa interest rate inayo control yenyewe, kuna impact?

Huelewi wapi?
 
Pia, deni hili linashikiliwa na entities nyingi. Federal government ya US, pamoja na Social Security Trust Fund inashikilia kama 20% tu ya deni hili. Sehemu nyingine 40% inashikiliwa na US savers, pensions, mutual funds na financial institutions,
Zisipolipwa ni pigo lingine kwa uchumi wa nchi kwa hiyo lazima walipwe kwa ajili ya economy stabilization.

Kwa hiyo kusema tu deni limeshikwa na entities nyingi bado haujafanya analysis kiuchumi

 
Zisipolipwa ni pigo lingine kwa uchumi wa nchi kwa hiyo lazima walipwe kwa ajili ya economy stabilization.

Kwa hiyo kusema tu deni limeshikwa na entities nyingi bado haujafanya analysis kiuchumi

Hakuna pigo lingine kwa uchumi kwa sababu hata wanaodai hawataki uchumi wa Marekani uanguke, ukianguka na wao utaanguka. Marekani ni "too big to fail".

Na kulipwa wanalipwa, hakuna siku Marekani ime default kulipa deni.

Na wadai wanajua Marekani haiwezi ku default kulipa deni. Ndiyo maana hata deni likizidi, watu hawana pressure.

Soma makala ya Paul Krugman nimeiweka hapo juu ujielimishe.

Paul Krugman ni mchumi aliyepata nishani ya Nobel ya Uchumi ya mwaka 2008. Kaelezea vizuri sana kuhusu hili jambo.

Naweka tena link hapa.

 
Na kulipwa wanalipwa, hakuna siku Marekani ime default kulipa deni.
Unaongea kishabiki sana

Unajua mpaka kufikia mwaka 2023 Marekani imesha-raise debt ceiling mara ngapi?

Kwa nini kila mara inapofika ukomo wa kukopa (debt ceiling) wanaongeza kiwango cha ukomo wa kukopa?
 
Unaongea kishabiki sana

Unajua mpaka kufikia mwaka 2023 Marekani imesha-raise debt ceiling mara ngapi?

Kwa nini kila mara inapofika ukomo wa kukopa (debt ceiling) wanaongeza kiwango cha ukomo wa kukopa?

Nimekuwekea makala ya mchumi msomi Nobel laureate Paul Krugman, umeshindwa ku argue kupinga article.

Debt ceiling is a political problem, it is not an economic problem.

In fact, ukimsoma Paul Krugman, utaona kuwa, for the US, the national debt itself is primarily a political problem, it is not primarily an economic problem.

Nimekuambia hivi, hakuna siku Marekani ilipo default kulipa deni.

Hicho ndicho kitu muhimu kiuchumi.

Hizo habari za debt ceiling ni drama za kisiasa tu, kwanza kiuchumi debt ceiling haitakiwi hata kuwapo, ni kitu walichojiwekea wenyewe tu.

Ushasikia siku Tanzania, Japan au Uingereza wanaongelea debt ceiling?

Paul Krugman is making the same point I am making, by saying.

"But haven’t there been many debt crises in history? What about Latin America in the 1980s, southern Europe in 2010-12 and others? Well, almost every debt crisis I’ve been able to find in the historical record involved a country that borrowed in someone else’s currency, which left it vulnerable to a liquidity crunch when lenders for some reason ran for the exits and it couldn’t print cash to pay them off until the panic subsided. In fact, the euro crisis rapidly faded away after Mario Draghi, then the president of the European Central Bank, said three words — “whatever it takes” — implying that the bank would provide cash to debtor nations under stress."

Did anyone read this?
 
Hizo habari za debt ceiling ni drama za kisiasa tu, kwanza kiuchumi debt ceiling haitakiwi hata kuwapo, ni kitu walichojiwekea wenyewe tu.
Hahaha kweli wewe kujiita Kiranga haukukosea
 
Back
Top Bottom