akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
Taifa tengwa ni lipi?Wajaribu waone moto wa myahudi taifa teule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa tengwa ni lipi?Wajaribu waone moto wa myahudi taifa teule
Aende frontline,Mvaa kobazi wa Madaba katika ubora wake
Daah sema unahasira tu ila mimi ni mdau wa jukwaa hili sana tu nipo hapa 24/7Kwanini ulete leo na habar hii tu. Mnaonyesha mlivyo vilaza. Hiv ni kwamba hamuwez kuwa na akili timamu hata kwa lisaa tu?
Nachosema ni kuwa kila siku umekuwa ukituasa tuache kusoma media za western coz zipo kipropaganda na pro Israel so leo naona wewe ndio msomaji mkuu huoni unatuchanganya kwa kuishi nje ya mtizamo wako?Daah sema unahasira tu ila mimi ni mdau wa jukwaa hili sana tu nipo hapa 24/7
Nimekwambia nime quote vyombo ambavyo mtaamini kuwa ni taarifa za kweli. Tatizo Nini sasa?Nachosema ni kuwa kila siku umekuwa ukituasa tuache kusoma media za western coz zipo kipropaganda na pro Israel so leo naona wewe ndio msomaji mkuu huoni unatuchanganya kwa kuishi nje ya mtizamo wako?
Tatizo,ndani ya vikosi vya usalama vya iran,kuna double agent wengi wa mossad,hata kuuwawa kwa nasralah ni hao wairan ndo walichoma kwa mossad,hezibollah imewauma sana,na wameapa kutotoa mipango ya siri kwa vikosi vya usalama vya iran.Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.
Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.
Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.
Chanzo: Yediot News Tel Aviv.
Iran ameshaanza kuangusha vyombo Tel AvivTatizo,ndani ya vikosi vya usalama vya iran,kuna double agent wengi wa mossad,hata kuuwawa kwa nasralah ni hao wairan ndo walichoma kwa mossad,hezibollah imewauma sana,na wameapa kutotoa mipango ya siri kwa vikosi vya usalama vya iran.
Gaidi ni huyo Nasrallah, hawa wajukuu wa Yakobo wata wawahisha sana hawa majama kwenye mito ya pombe na mabikra kama hawatakuwa makini.Wewe hapo kwako ulijuaje Nasrallah kauliwa na magaidi ya IDF?
Kwanini quote hii tu ndio swali langu maana habar zipo nyingiNimekwambia nime quote vyombo ambavyo mtaamini kuwa ni taarifa za kweli. Tatizo Nini sasa?
Israel ni kama Yanga. SC. Haimwogopi yeyoteSiti ya mbele kabisa😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥🔥🚨🚨🚨🚨🚨🚨Tel aviv kuna waka mabomu!!!