Maridhiano yanahitajika haraka sana ndani ya uongozi mpya wa chadema, hali inaweza kua mbaya zaidi mbeleni hilo lisipo tiliwa maanani

Maridhiano yanahitajika haraka sana ndani ya uongozi mpya wa chadema, hali inaweza kua mbaya zaidi mbeleni hilo lisipo tiliwa maanani

Umekuwa bwana mshauri , post ya ngapi hii? Waandikie barua
sio mshauri tu gentleman,

ni mwanasiasa mwandamizi mtaalamu mbobevu wa masula ya siasa za ndani ya vyama vya siasa nchini.

mambo haya ni kwa manufaa ya vyama vyote vya siasa, wakishipaza shingo ni hiyari yao 🐒
 
Hakuna ansyekusanya watu bure. Mbowe alikuwa anatoa hela. Nyie mnadanganyana eti wanakuja wenyewe. Lazima muisome namba. Na bado
okay sawa gentleman 🐒
 
Kuna wanaoamini hatakama No reform tukapambane hivyo hivyo.
ni muhimu kujiepusha na imani potofu unaweza kuvujika miguu bure kabisa mateso na mzigo yakawa kwa wazazi na familia 🐒
 
Kwani covid 19 hawajasamehewa tuu?
msamaha na maridhiano na uongozi mpya wa chadema upo wazi kabisa, tayari mawasiliono yasiyo rasmi yameshafanyika na uelekeo ni mzuri sana.

ni wazi baadhi ya wabunge wa viti maalumu maarufu kama COVID-19 watapokelewa chadema baada ya bunge kuvunjwa mwezi June,

wanarudi chadema huku wakipewa nafasi mbalimbali za uongozi wa kitaifa. Tayari wengine wamewasilisha michango kwaajili ya chama iliyoombwa na kiongozi mkuu wa chama 🐒
 
Huna hadhi ya kujadili mambo ya cdm.
Ungejikita kufanya uchawa tu huko uliko maana ndio unachoweza.
ni kweli kabisa gentleman,
sina hadhi wala sistahili chochote ndani ya chadema,

ila nina haki na uhuru kusema ukweli na kushauri mambo muhimu ya kuwaleta pamoja viongozi waandamizi wa chadema ili kunusuru kuumizana, uharibifu na pengine maafa miongoni mwao maana uhasama na chuki bado ni mkubwa 🐒
 
Body languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema.

Lakini pia jana pale Ikungi Singida tumeshuhudia kwa uwazi zaidi kwamba umoja ni changamoto ndani ya uongozi mpya wa chadema, kuaminiana kwa viongozi wapya wa chadema kuna tia mashaka sana, na nikama kuna kamgomo baridi hivi kwa baadhi ya viongozi wa kanda jirani, wilaya na mikoa jirani katika kujitolea kwenye shughuli za chama hususani kwenye kuhudhuria tukio kubwa kama la kumpokea kiongozi wa chadema taifa pale Singida.

Kuna mnyukano na kushughulikiana kimya kimya kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhujumiana au kususiana kwenye kufanikisha agenda za chama. Bilashaka kwenye uchaguzi, hii itakua fimbo muhimu ya kukomoana chadema.

Ni mwendo wa kulazimisha furaha na smile za kinafiki miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema. Unaona kabisa kiongozi wa chadema kashika mike anaongea but mwili uko pale but moyo unawaza kwingineko kabisa.

Ni muhimu sana hatua za makusudi za maridhiano zikachukuliwa ili kuepusha kuumizana wenyewe kwa wenyewe, kitu ambacho pia kitawaharibia na kuwarudisha nyuma wao wenyewe.

Wasione aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr.Samia Suluhu Hassan zitawasaidia sana kua pamoja.Chadema kuna changamoto ya ummoja.

Una maoni gani ndugu mdau?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Nadhani Ccm ndio inahitaji maridhiano sababu hata fom hamkutoa,utaratibu ukakanyagwa,ukiuliza unafkuzwa kilingeni!
Wengi wanagugumia tu!
 
Ona hili punga. Maneno mengi lakini zero content.
Ameshindwa kutoa uthibitisho au hata mfano mmoja tu wa huo upuuzi aliouandika.

Kwa mada puuzi kama hizi, hata hiyo book 7 anayolipwa, hastahili.
Gentleman,
ushauri na mawaidha yangu ni kwa manufaa ya umoja na ustawi wa chadema,

kama nimesema vibaya tafadhali niwie radhi gentleman, but kuna mgomo baridi dhidi ya kiongozi mkuu wa chadema, hii ikimaanisha hakuna umoja ndani ya chadema.

Napendekeza pawepo maridhiano ya kuvunja makundi ya kabla ya uchaguzi na kuwaleta pamoja viongozi waandamizi wa chadema, vinginevyo chama kitapasuka na kuendeleza migawanyiko zaidi 🐒
 
Body languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema.

Lakini pia jana pale Ikungi Singida tumeshuhudia kwa uwazi zaidi kwamba umoja ni changamoto ndani ya uongozi mpya wa chadema, kuaminiana kwa viongozi wapya wa chadema kuna tia mashaka sana, na nikama kuna kamgomo baridi hivi kwa baadhi ya viongozi wa kanda jirani, wilaya na mikoa jirani katika kujitolea kwenye shughuli za chama hususani kwenye kuhudhuria tukio kubwa kama la kumpokea kiongozi wa chadema taifa pale Singida.

Kuna mnyukano na kushughulikiana kimya kimya kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhujumiana au kususiana kwenye kufanikisha agenda za chama. Bilashaka kwenye uchaguzi, hii itakua fimbo muhimu ya kukomoana chadema.

Ni mwendo wa kulazimisha furaha na smile za kinafiki miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema. Unaona kabisa kiongozi wa chadema kashika mike anaongea but mwili uko pale but moyo unawaza kwingineko kabisa.

Ni muhimu sana hatua za makusudi za maridhiano zikachukuliwa ili kuepusha kuumizana wenyewe kwa wenyewe, kitu ambacho pia kitawaharibia na kuwarudisha nyuma wao wenyewe.

Wasione aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr.Samia Suluhu Hassan zitawasaidia sana kua pamoja.Chadema kuna changamoto ya ummoja.

Una maoni gani ndugu mdau?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Mbowe naye ni kama kajiengua
 
Tlaatlaa na mwashambwa huu mwaka mtakonda mtaisha na tutawawekea mawe mfukoni ili msibebwe na upepo, chadema haina mgawanyiko na haupo
 
Nadhani Ccm ndio inahitaji maridhiano sababu hata fom hamkutoa,utaratibu ukakanyagwa,ukiuliza unafkuzwa kilingeni!
Wengi wanagugumia tu!
hebu andikia uzi mahususi gentleman,

ni muhimu chadema watazingatia mawaidha yangu vinginevyo migawanyiko ya kabla ya uchaguzi itaendelea kukipasua zaidi chama chao 🐒
 
sio mshauri tu gentleman,

ni mwanasiasa mwandamizi mtaalamu mbobevu wa masula ya siasa za ndani ya vyama vya siasa nchini.

mambo haya ni kwa manufaa ya vyama vyote vya siasa, wakishipaza shingo ni hiyari yao 🐒
Ungekuwa na sifa hizo usingekuwa jf kwa fake id unatoa mourn na kutoa unneccesary rants, doesnt work like that man

Proper way ku kuwaandikia barua. Jf doesnt help
 
Tlaatlaa na mwashambwa huu mwaka mtakonda mtaisha na tutawawekea mawe mfukoni ili msibebwe na upepo, chadema haina mgawanyiko na haupo
ntafurahi sana kupungua hata kilo 5 gentleman maana kitambi halafu mtu mrefu naona ni mateso tupu, mazoezi naona yananichosha na kuninenepesha zaidi..

una maoni gani kuhusu mawaidha yangu mujarabu dhidi ya uongozi mpya wa chadema ambao dhairi unaonyesha hakuna umoja miongoni mwa viongozi waandamizi kana kwamba wana uchaguzi mwingine ndani ya chama?

maridhiano hayafai kweli?
au wanaona aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr Samia Suluhu Hassan?🐒
 
Ungekuwa na sifa hizo usingekuwa jf kwa fake id unatoa mourn na kutoa unneccesary rants, doesnt work like that man

Proper way ku kuwaandikia barua. Jf doesnt help
mie sina fake id gentleman,
nawafahamu vizuri sana chadema HQ tangu kipindi cha Mzee Slaa, hawaamini kabisa katika barua za wadau hususani za kuwashauri.

Infact,
viongozi wote waandamizi wa chadema wapo humu jukwaani na tunafahamiana vizuri, na nadhani hii ni njia muhimu sana kuwafikishia ujumbe,

hata hivyo nadhani sote tunaona maridhiano yanahitaji kwa haraka sana chadema.hakuna muunganiko wa dhati wa viongozi waandamizi 🐒
 
mie sina fake id gentleman,
nawafahamu vizuri sana chadema HQ tangu kipindi cha Mzee Slaa, hawaamini kabisa katika barua za wadau hususani za kuwashauri.

Infact,
viongozi wote waandamizi wa chadema wapo humu jukwaani na tunafahamiana vizuri, na nadhani hii ni njia muhimu sana kuwafikishia ujumbe,

hata hivyo nadhani sote tunaona maridhiano yanahitaji kwa haraka sana chadema.hakuna muunganiko wa dhati wa viongozi waandamizi 🐒
Kumbe kijana mdogo sana, ww umekujia chama dk slaah akiwa kwenye peak? Halaf unajidai unaijua chadema HQ ipi hiyo?

Once again ounguza blah blah. Badala ya kujaza server waandikia barua.
 
Dada chawa umeingia chooni😂 Lissu sasa mwenyekiti na hakuna drama. Mwezi ujao tuna anza kutafuta pesa za kusaidia taifa hili. Mambo yanasonga mbele
mnaanza kutafuta pesa au kuomba na kuwatapeli wananchi maskini?

una maoni gani dhidi ya mawaidha yangu mujarabu dhidi ya maridhiano ikatumika kuwaleta pamoja viongozi waandamizi wa chama hicho?🐒
 
Kumbe kijana mdogo sana, ww umekujia chama dk slaah akiwa kwenye peak? Halaf unajidai unaijua chadema HQ ipi hiyo?

Once again ounguza blah blah. Badala ya kujaza server waandikia barua.
sina haja kujisifia,
but nimewashauri sana chadema mambo mbalimbali nyakati hizo na akina Samson na yalifanikiwa sana ila tamaa ya pesa ikaingilia kati chama kikapoteza uelekeo,

but uongozi mpya wa Chadema taifa kutokua na umoja ni muendelezo wa migawanyiko yenye sura ya chuki ndani ya chadema,

ni muhimu pakawepo maridhiano ya kuwaleta pamoja viongozi waandamizi na kuwa na uelekeo moja 🐒
 
Back
Top Bottom