Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti anaamini kutumia nguvu tu bila maridhiano ni tatizo kubwa sanainasemekana ni kwasababu inaongozwa na kibaka na tapeli wa siasa 🐒
naona pwaguzi na pwaguzi mnapeana moyo na kupotoshana kindezi sana, dah!
Vp uchaguzi mliyofanya nyie ccm wa kumpitisha mgombea wenu unaona hau hitaji maridhiano?Gentleman,
mimi ni mtaalamu mbobevu na mshauri muandamizi wa masuala ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa,
lipo tatizo chadema na panahitajika maridhiano ya haraka sana kuvunja makundi ya kabla ya uchaguzi na kuwaleta pamoja viongozi waandamizi wa chama.
Je, huo ni ushauri mbaya gentleman?🐒
Wewe unawaonaga wapi hao wajumbe wa Kamati Kuu ya CDM na nyuso zao? Wacha kutesekaBody languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema.
Lakini pia jana pale Ikungi Singida tumeshuhudia kwa uwazi zaidi kwamba umoja ni changamoto ndani ya uongozi mpya wa chadema, kuaminiana kwa viongozi wapya wa chadema kuna tia mashaka sana, na nikama kuna kamgomo baridi hivi kwa baadhi ya viongozi wa kanda jirani, wilaya na mikoa jirani katika kujitolea kwenye shughuli za chama hususani kwenye kuhudhuria tukio kubwa kama la kumpokea kiongozi wa chadema taifa pale Singida.
Kuna mnyukano na kushughulikiana kimya kimya kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhujumiana au kususiana kwenye kufanikisha agenda za chama. Bilashaka kwenye uchaguzi, hii itakua fimbo muhimu ya kukomoana chadema.
Ni mwendo wa kulazimisha furaha na smile za kinafiki miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema. Unaona kabisa kiongozi wa chadema kashika mike anaongea but mwili uko pale but moyo unawaza kwingineko kabisa.
Ni muhimu sana hatua za makusudi za maridhiano zikachukuliwa ili kuepusha kuumizana wenyewe kwa wenyewe, kitu ambacho pia kitawaharibia na kuwarudisha nyuma wao wenyewe.
Wasione aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr.Samia Suluhu Hassan zitawasaidia sana kua pamoja.Chadema kuna changamoto ya ummoja.
Una maoni gani ndugu mdau?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Kama sikosei umejiita mshauri wa vyama vya siasa, lakini nimekuuliza kuhusu vp ccm naona umeruka. Au wewe unashauri CDM tu? Kwa mtu mwenye akili hata za kuvukia barabara tu ameshajua wew ni mtu wa aina ganigentleman,
ungeandika uzi mahususi ingependeza zaidi 🐒
kama mtaalamu mshauri wa masuala mbalimbali ya kisiasa nchini,Kama sikosei umejiita mshauri wa vyama vya siasa, lakini nimekuuliza kuhusu vp ccm naona umeruka. Au wewe unashauri CDM tu? Kwa mtu mwenye akili hata za kuvukia barabara tu ameshajua wew ni mtu wa aina gani
Mbowe anasemaje?hilo ni tatizo ambalo hana mpango mkakati nalo kabisa, tegemeo lake kubwa ni mabwenyenye ya magharibi yanayombackup, but yataingizaje hizo pesa?🐒
Hao hawakuwa CDM, yalikuwa matapeli wenzio.ni rafiki zangu,
ni ndugu zangu,
nipo nao mtaani, mikutanoni, vijiweni na hata humu JF wapo na tunajuana vyema gentleman 🐒
Kwani uchaguzi upi ulianza kati ya Ccm na Cdm kwamba mpaka leo madudu ya Ccm hujayaona ila ukaona ya Cdm kwanza? Jitafakari hata kama ni uchawa basi tumia akili usijifanye Lucas Mwashambwakama mtaalamu mshauri wa masuala mbalimbali ya kisiasa nchini,
siwezi kuwachanganya wadau kwa kuhamisha mjadala dhidi ya uliopo jukwaani,
bado nasisitiza kuandika uzi mahususi, na ofcoz bila mbambamba yoyote nitaeleza kinagaubaga dhidi ya unachotaka kufahamu kutoka kwangu,
kwasasa ni muhimu kujikita zaidi kwenye hoja mahususi mezani na itapendeza zaidi 🐒
halafu gentleman,Kwani uchaguzi upi ulianza kati ya Ccm na Cdm kwamba mpaka leo madudu ya Ccm hujayaona ila ukaona ya Cdm kwanza? Jitafakari hata kama ni uchawa basi tumia akili usijifanye Lucas Mwashambwa