Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnaanza kutafuta pesa au kuomba na kuwatapeli wananchi maskini?
una maoni gani dhidi ya mawaidha yangu mujarabu dhidi ya maridhiano ikatumika kuwaleta pamoja viongozi waandamizi wa chama hicho?🐒
Kwa hali ya sasa ni ngumu kushawishi maandamano na ukapata watu, ngoja tuone ushawishi wa TAL.ni muhimu kujiepusha na imani potofu unaweza kuvujika miguu bure kabisa mateso na mzigo yakawa kwa wazazi na familia 🐒
mimi ni rafiki, mtaalamu na mshauri wa kisiasa wa vyama vyote vya siasa nchini,Gentleman ni lini ww umeanza kuwa mwema kwa chadema? Au akili zako zimerudi ?
unakumbuka kabla ya uchaguzi wa ndani ya chadema viongozi na wanachama walishupaza shingo hivyo hivyo na baadae kwa fedhaha sana wakaja kukiri kwamba chadema sio tu kuna migawanyiko bali pia mpasuko na uhasama wa kiwango kibaya sana?🤣Hakuna mpasuko wowote chaguzi zimeisha juzi tu na kunaundwa team ya pamoja. Wenyeviti waliokuwa wanamuunga mkono Mbowe ambao ni bonny yai na sugu walikuwepo kwenye mkutano juzi. Wenje yupo canada ambako familia yake ipo. Sasa mpasuko uko wapi? Mngejikita kwenye sera zaidi maana Lissu na Heche sio Mbowe mkiwapuuza mtajuta na tutaona hapa siku zijazo
Kama hayo yanatokea si ndio vizuri kwenu ccm?!!!Body languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema.
Lakini pia jana pale Ikungi Singida tumeshuhudia kwa uwazi zaidi kwamba umoja ni changamoto ndani ya uongozi mpya wa chadema, kuaminiana kwa viongozi wapya wa chadema kuna tia mashaka sana, na nikama kuna kamgomo baridi hivi kwa baadhi ya viongozi wa kanda jirani, wilaya na mikoa jirani katika kujitolea kwenye shughuli za chama hususani kwenye kuhudhuria tukio kubwa kama la kumpokea kiongozi wa chadema taifa pale Singida.
Kuna mnyukano na kushughulikiana kimya kimya kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhujumiana au kususiana kwenye kufanikisha agenda za chama. Bilashaka kwenye uchaguzi, hii itakua fimbo muhimu ya kukomoana chadema.
Ni mwendo wa kulazimisha furaha na smile za kinafiki miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema. Unaona kabisa kiongozi wa chadema kashika mike anaongea but mwili uko pale but moyo unawaza kwingineko kabisa.
Ni muhimu sana hatua za makusudi za maridhiano zikachukuliwa ili kuepusha kuumizana wenyewe kwa wenyewe, kitu ambacho pia kitawaharibia na kuwarudisha nyuma wao wenyewe.
Wasione aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr.Samia Suluhu Hassan zitawasaidia sana kua pamoja.Chadema kuna changamoto ya ummoja.
Una maoni gani ndugu mdau?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Tatizo lake ni moja tu, mbinafsi mno na mwenye uchu na urais pekee, hababaiki na wala hajishughulishi na udiwani wala ubunge wa wengine 🐒Kwa hali ya sasa ni ngumu kushawishi maandamano na ukapata watu, ngoja tuone ushawishi wa TAL.
Body languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema.
Lakini pia jana pale Ikungi Singida tumeshuhudia kwa uwazi zaidi kwamba umoja ni changamoto ndani ya uongozi mpya wa chadema, kuaminiana kwa viongozi wapya wa chadema kuna tia mashaka sana, na nikama kuna kamgomo baridi hivi kwa baadhi ya viongozi wa kanda jirani, wilaya na mikoa jirani katika kujitolea kwenye shughuli za chama hususani kwenye kuhudhuria tukio kubwa kama la kumpokea kiongozi wa chadema taifa pale Singida.
Kuna mnyukano na kushughulikiana kimya kimya kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhujumiana au kususiana kwenye kufanikisha agenda za chama. Bilashaka kwenye uchaguzi, hii itakua fimbo muhimu ya kukomoana chadema.
Ni mwendo wa kulazimisha furaha na smile za kinafiki miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema. Unaona kabisa kiongozi wa chadema kashika mike anaongea but mwili uko pale but moyo unawaza kwingineko kabisa.
Ni muhimu sana hatua za makusudi za maridhiano zikachukuliwa ili kuepusha kuumizana wenyewe kwa wenyewe, kitu ambacho pia kitawaharibia na kuwarudisha nyuma wao wenyewe.
Wasione aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr.Samia Suluhu Hassan zitawasaidia sana kua pamoja.Chadema kuna changamoto ya ummoja.
Una maoni gani ndugu mdau?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
mimi ni mtaalamu mbobevu na mshauri muandamizi wa masuala ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, natekeleza wajibu wangu wa kitaalamu tu, tafadhali ndrugu zangu msijenge chuki 🐒Wewe ni ccm
Mambo ya chadema yanakusumbua na nini?
Yale ndio Maisha Yao, Acha waenjoy Maisha yao
Mambo ya CDM waachie wao. Wew jikite zaidi kwenye uchawa wakoBody languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema.
Lakini pia jana pale Ikungi Singida tumeshuhudia kwa uwazi zaidi kwamba umoja ni changamoto ndani ya uongozi mpya wa chadema, kuaminiana kwa viongozi wapya wa chadema kuna tia mashaka sana, na nikama kuna kamgomo baridi hivi kwa baadhi ya viongozi wa kanda jirani, wilaya na mikoa jirani katika kujitolea kwenye shughuli za chama hususani kwenye kuhudhuria tukio kubwa kama la kumpokea kiongozi wa chadema taifa pale Singida.
Kuna mnyukano na kushughulikiana kimya kimya kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhujumiana au kususiana kwenye kufanikisha agenda za chama. Bilashaka kwenye uchaguzi, hii itakua fimbo muhimu ya kukomoana chadema.
Ni mwendo wa kulazimisha furaha na smile za kinafiki miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema. Unaona kabisa kiongozi wa chadema kashika mike anaongea but mwili uko pale but moyo unawaza kwingineko kabisa.
Ni muhimu sana hatua za makusudi za maridhiano zikachukuliwa ili kuepusha kuumizana wenyewe kwa wenyewe, kitu ambacho pia kitawaharibia na kuwarudisha nyuma wao wenyewe.
Wasione aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr.Samia Suluhu Hassan zitawasaidia sana kua pamoja.Chadema kuna changamoto ya ummoja.
Una maoni gani ndugu mdau?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Sawa Afisa Habari Mteule wa CHADEMA!Body languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema.
Lakini pia jana pale Ikungi Singida tumeshuhudia kwa uwazi zaidi kwamba umoja ni changamoto ndani ya uongozi mpya wa chadema, kuaminiana kwa viongozi wapya wa chadema kuna tia mashaka sana, na nikama kuna kamgomo baridi hivi kwa baadhi ya viongozi wa kanda jirani, wilaya na mikoa jirani katika kujitolea kwenye shughuli za chama hususani kwenye kuhudhuria tukio kubwa kama la kumpokea kiongozi wa chadema taifa pale Singida.
Kuna mnyukano na kushughulikiana kimya kimya kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhujumiana au kususiana kwenye kufanikisha agenda za chama. Bilashaka kwenye uchaguzi, hii itakua fimbo muhimu ya kukomoana chadema.
Ni mwendo wa kulazimisha furaha na smile za kinafiki miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema. Unaona kabisa kiongozi wa chadema kashika mike anaongea but mwili uko pale but moyo unawaza kwingineko kabisa.
Ni muhimu sana hatua za makusudi za maridhiano zikachukuliwa ili kuepusha kuumizana wenyewe kwa wenyewe, kitu ambacho pia kitawaharibia na kuwarudisha nyuma wao wenyewe.
Wasione aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr.Samia Suluhu Hassan zitawasaidia sana kua pamoja.Chadema kuna changamoto ya ummoja.
Una maoni gani ndugu mdau?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Gentleman,Mambo ya CDM waachie wao. Wew jikite zaidi kwenye uchawa wako
Sawasawa, zije mapemaDada chawa umeingia chooni😂 Lissu sasa mwenyekiti na hakuna drama. Mwezi ujao tuna anza kutafuta pesa za kusaidia taifa hili. Mambo yanasonga mbele
Bajeti inaruhusu?Tatizo lake ni moja tu, mbinafsi mno na mwenye uchu na urais pekee, hababaiki na wala hajishughulishi na udiwani wala ubunge wa wengine 🐒
Uko SawasawaGentleman,
mimi ni mtaalamu mbobevu na mshauri muandamizi wa masuala ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa,
lipo tatizo chadema na panahitajika maridhiano ya haraka sana kuvunja makundi ya kabla ya uchaguzi na kuwaleta pamoja viongozi waandamizi wa chama.
Je, huo ni ushauri mbaya gentleman?🐒
CHADEMA YA SASA HAINA MVUTOBody languages, tones na facial expressions za viongozi waandamizi wa chadema hususani wa kamati kuu, zinaonyesha kabisa bado kuna migawanyiko na uhasama ndani ya chadema.
Lakini pia jana pale Ikungi Singida tumeshuhudia kwa uwazi zaidi kwamba umoja ni changamoto ndani ya uongozi mpya wa chadema, kuaminiana kwa viongozi wapya wa chadema kuna tia mashaka sana, na nikama kuna kamgomo baridi hivi kwa baadhi ya viongozi wa kanda jirani, wilaya na mikoa jirani katika kujitolea kwenye shughuli za chama hususani kwenye kuhudhuria tukio kubwa kama la kumpokea kiongozi wa chadema taifa pale Singida.
Kuna mnyukano na kushughulikiana kimya kimya kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuhujumiana au kususiana kwenye kufanikisha agenda za chama. Bilashaka kwenye uchaguzi, hii itakua fimbo muhimu ya kukomoana chadema.
Ni mwendo wa kulazimisha furaha na smile za kinafiki miongoni mwa viongozi waandamizi wa chadema. Unaona kabisa kiongozi wa chadema kashika mike anaongea but mwili uko pale but moyo unawaza kwingineko kabisa.
Ni muhimu sana hatua za makusudi za maridhiano zikachukuliwa ili kuepusha kuumizana wenyewe kwa wenyewe, kitu ambacho pia kitawaharibia na kuwarudisha nyuma wao wenyewe.
Wasione aibu kutumia falsafa ya 4Rs za Dr.Samia Suluhu Hassan zitawasaidia sana kua pamoja.Chadema kuna changamoto ya ummoja.
Una maoni gani ndugu mdau?🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Usijichoshe huyo ni chawa kitambo sana hata kwenye payroll hayupo ni kima yule wa mbozi mwoshambwa!WEWE unavichekesho sana, kama siyo mwendawazimu!!!!!!!!!!
Wewe ni CCM halafu Lumumba buku 7, uanze kuto mawaidha mazuri kwa CDM; my neck
sihusiki na masuala ya habari za chama chochote cha siasa gentleman,Sawa Afisa Habari Mteule wa CHADEMA!