Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20

🤣Wafuasi wa buludoza ni lazma mlie tu maana Air defense ya muajemi kumbe ndio iko stable by 100%... Imekuwa suprise sana maana walitegemea wangeshusha vimondo vya kutosha.

Sasa awamu inayofata mfuga ndevu ameahidi kuwashushia wazayuni boloconi 1000 ili waseme nazo.
 
Mimi jana nilikuwa juu ya paa hapa Tehran na sijaona lolote 😁! Huenda Israel wakawa wanaota juu ya kushambulia Iran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…