Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Sawa mvaa rozari.Hilo nikama onyo tu.. Iran kama akijibu Atapigwa show kamili
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mvaa rozari.Hilo nikama onyo tu.. Iran kama akijibu Atapigwa show kamili
Mbona za makobazi hazina makelele kama za sisi wayahudi wa kujipendekeza
View: https://www.instagram.com/reel/DBkn1wTOUnL/?igsh=MTdoOGlkMm5zN216cA==
#YNWA
#YANGA_BIN
Tuweke video tuone mkuu.Kasema!
Sisi tunataka video tuone, kama tulivyoona vimondo vya Iran vikishuka Tel Aviv, Hatutaki blah blah
Mbona hatuoni hizo video Bali tunonyeshwa milipuko ya Lebanon.Hawana huo uwezo kwa Sasa...
Ila ulinzi wa Israel imara sana mkuu.Hili shambulio la Israel japo halijaleta madhara makubwa ila ni taa nyekundu kwa mamullah wa Iran, ulinzi wao wa anga dhaifu sana.
Au ndio Sababu vinu vya nyuklia vimejengwa chini ya ardhi na chini ya milima ?
Hamna madhara kwa sababu ya ulinzi imara wa anga mbona unajifanya huna akili?Hili shambulio la Israel japo halijaleta madhara makubwa ila ni taa nyekundu kwa mamullah wa Iran, ulinzi wao wa anga dhaifu sana.
Au ndio Sababu vinu vya nyuklia vimejengwa chini ya ardhi na chini ya milima ?
Kuingia siyo tatizo je zimeingia zimefanya Nini? Tuineshe moto ukiwaka kama tulivyoona Iran akiipiga IsraelBasi tufanye ndege saba haya zimeingia au hazikuingia?
Hakuna ndege ya Israel iliyoingia Iran,wametumia anga la Iraq na SyriaYaani ndege za Israel zimetimba hadi kwenye anga la Tehran kibabe, zimeshambulia na kuondoka kibabe, hakuna hata ndege moja iliyoshushwa
🤣Wafuasi wa buludoza ni lazma mlie tu maana Air defense ya muajemi kumbe ndio iko stable by 100%... Imekuwa suprise sana maana walitegemea wangeshusha vimondo vya kutosha.Israel katutia aibu sana sisi wafuasi wa kiboko ya wachawi maana hadi kufikia sasa hakuna hata kavideo kuonesha madhara ya vimondo vyao.
Nilichoshuhudia ni kwamba Air defense za Iran zilikuwa zinameza vimondo vya Mazayuni kama komodo anavyomeza mnyama yeyote kirahisi.
Halafu wanaume wa IRGC wakatoa video ya dhihaka wakiwa wanatafuta wapi lilipo shambulizi la Israel maana hakuna shambulizi lolote linaloonekana Iran. 😅😅
Raia tu wamekesha juu ya mapaa ya nyumba kuangalia makombora ambayo hawakuyaonaAyatolah kalala kwenye shimo kaibuka leo asubuhi.😆
Tuonesheni na hizo ndege zilivyojamba kwenye anga la Irani. Maana juzi nasrallah mlionesha hadi dakika zake za mwisho 😁! Tuonesheni na ndege au ndo mnaedit mzigo kwanza kwenye fotoshop.🤣Sinwar si mlioneshwa? Nasrallah si mlioneshwa? Subiri na hili mtaoneshwa.
Mimi jana nilikuwa juu ya paa hapa Tehran na sijaona lolote 😁! Huenda Israel wakawa wanaota juu ya kushambulia IranMossad wapo kila kona iran
Kama kungekuwa na madhara video zingeonekana
Ni kama shambulizi lililopita lilijaa propaganda
Aibu kwa irani ni kwamba ndege ziliingia kwenye angalao na hawajazishusha.
Na kwa israel ndege zimeingia iran lakini mabomu hayajafanya madhara
Kufanya zinavyotaka halafu amna madhara, au system za kuachia makombora zilikuwa jammed🤣Hiyo ni report ya upande mmoja!
Lakini kama ndege 100 zimepenya anga ya Iran na kufanya zinavyotaka basi Iran itegemee mashambulizi zaidi ya mara kwa mara!
Mbona za makobazi hazina makelele kama za sisi wayahudi wa kujipendekeza
View: https://www.instagram.com/reel/DBkn1wTOUnL/?igsh=MTdoOGlkMm5zN216cA==
#YNWA
#YANGA_BIN
Show kamili ipi kwa namna vyuma vilivyokuwa intercepted hapo Israel ndio atakayefyata mkia😁Hilo nikama onyo tu.. Iran kama akijibu Atapigwa show kamili
Israel imeshambulia Millitary Bases, Israel haina ugomvi na Raia wa Iran.Raia tu wamekesha juu ya mapaa ya nyumba kuangalia makombora ambayo hawakuyaona