Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

Mtoa mada wewe unakubali bandari iuzwe?
 
Hapa ndipo utajua mungu wa waislam na wakristo ni zuzu yaan siku zote nchi ilikuwa katika dhulma hawajasema mpka sehemu kwenye maslahi fulani ndipo wanajifanya wanasema unafki ulioje sisi wa Maisha ya duniani tunawaona Mungu wa wakristo na Mungu wa waislam ni mnafki sijapata kuona anachagua mambo ya kusemea dhambi za nchi zote zilizofanywa na serikali miaka yote walikuwa kimya huyu Mungu ni Mungu wa namna gani 😂😂😂
 
Inabidi Waislam tuongie kwenye siasa tukitaka tusitake.

Kwanza Waislam kura zetu zisiende kwa siyekuwa Muislam yoyote. Pili tupandishe wagombea wetu kila sehemu, tusiache mwanya
Waislamu wa Zanzibar kura zote ni ACT, huwapati kwenye chama chako cha CCM
 
Mbona watu wepesi wa kusahau?
Masheikh wakileta za kuleta Segerea inawasubiri. Hata wakiwa Pemba watanyanyuliwa na kuhifadhiwa Segerea.
TEC wanamaliza Mambo Yao bila kutumia masabufa.
 
Sasaa hivi udini ni wazi wazi, huwaoni maaskofu?
Maaskofu wameiandikia serikali waraka na si udini uwege na akili.Mbona wakati wa Nape,Makamba na Kinana walipokuwa wakimsema Magufuli watu hawakusema.wanamsema kwa kuwa ni Mkristo?Wanaojificha kwenye kivuli cha udini wanafahamika
 
Mbona hawafiki kumi ndugu yangu?Aliyegundua simu unayochezea saa hivi no dini gani?
 
Kwani waislamu hawatetei rasilimali za nchi? Tamko la TEC sio la kidini ni la kizalendo.
 
Kuna kitu kidogo tu CCM na Serikali yake mmepelekea kutufikisha huku, kwa kuwa Serikali inasema Bandari hii hawajaigawa au kuikodisha milele, basi mnalazimisha nini kuendelea na mkataba huo unaolalamikiwa? Wananchi na raia wenye nia njema wameona kabisa hatari ya Mkataba huo nyinyi mnakomas tu kuwa watu wanapotosha.
Hakuna swali la msingi CCM na Serikali yake imelijibu, Ukomo wa hayo mnayoita makubaliano ni wapi? Msitupige flash eti mikataba midogo midogo itaweka ukomo, Kwani Kuna dhambi gani hayo makubaliano yakasema kuwa kwenye mikataba tutakayoingia haitazidi miaka fulani? Pili, kama swala hili lina maslahi mapana kwa Taifa letu, tupeni sababu moja tu kwanini Bandari ya Malindi Unguja haipo? Kwa maana katika watu wasiotaka mkataba huo yupo Rais Mwinyi mnayeshinda naye kwenye vikao vyenu na baraza la Mawaziri, anzeni kumuelewesha huyo mwenzenu akubali hiyo faida ya DP WORLD.
Mimi sijawahi kuwa upande wa TEC ila kwenye hili la DP nawaunga mkono, na kama mnataka kuwaona kama ni wanafiki rekebisheni hizo kasoro tuone unafiki wao.
Lakini CCM mmetutia aibu kubwa mno, yaani utetezi wenu eti Bandarini Kuna wapigaji...hivi nyie watu mna akili timamu kweli? Hao wapigaji wapo nchi gani? Kwa maana yake nyinyi mmeshindwa kudhibiti rushwa? Mmeweza kumkamata Mdude ila mmeshindwa kuwadhibiti wezi Bandarini Sasa mnataka msaidiwe na DP WORLD...idiots!
CCM mmeacha Rais aingie kwenye hili la udini, na Waislamu wenye akili washajitenga na hii dhambi kwa kisingizio cha udini.
Kuna waarabu na Uislam, waarabu wapo malaghai pia, msihusishe huu ujinga wao na dini.
Hakuna sehemu Uislam unaruhusu unyonyaji na waarabu sio watakatifu kiasi kwamba tuingie mkenge kwenye huu ulaghai wao.
Hapa sio Uislam dhidi ya Ukristo bali ni ulaghai wa CCM dhidi ya Nchi yetu, CCM hata ikiongozwa na dini gani inabaki kuwa adui na kichaka cha wizi. Samia abaki kuwa Muislam na nchi yetu ibaki kuwa Tanzania.
 
Watoe matamko hamna aliyewakataza
 
Ahadi za tende na nyama ya ngamia mkuu ndio inawapa shida ndugu zetu.
 
Chama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.

Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Kuna masheikh Wana hizo PhD zako kibao,usifikiri elimu ya dini ya kiislamu ukiisoma utashindwa kutawala sehemu yeyote duniani...mfano mdogo Ni hao kina Mazinge akisimama kwa hoja Baraza Zima la Tech linakalishwa na hizo PhD zenu za hovyo.
 
Hao wote uliowasema na huo utajiri wao walivyoupata, kwa hakika tajiri kuuona ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupita tundu la sindano ,bila sisi kula hizo chapati zao na kupikia gas zao si nao wangekuwa malofa tu sisi ndio tumewatajirisha mkuu.
 
Hao wote uliowasema na huo utajiri wao walivyoupata, kwa hakika tajiri kuuona ufalme wa mbinguni ni sawa na ngamia kupita tundu la sindano ,bila sisi kula hizo chapati zao na kupikia gas zao si nao wangekuwa malofa tu sisi ndio tumewatajirisha mkuu.
Huna hoja,Bakheresa akisitisha uzalishaji,Mo,Azania na hao wengine waliotajwa na Nani ataathirika.
 
Ukitaka kujua RC in taasisi imara inaongozwa kisomi angalia mifumo yao na jinsi inavyojiendesha.Kwaio tuache kujadili udini tuangali hili swala kwa maslahi mapana ya taifa.
Eti kisomi,msomi anaabudu sanamu la mtu,kwa akili ya PhD kabisa unaweza kuabudu sanamu la yule mama mnaemwita Bikira Maria, na Mwanae mnaemwita Yesu?
Miaka 2000 iliyopita Kamera man gani? Aliendikwa kwenye biblia aliyempiga picha Yesu na Mama yake na nani aliyehifadhi zile picha mpaka leo,mpaka mnatengeneza na masanamu yao mnayoyaabudu na PHD zenu?
 
Haya njooni enyi kondoo mliopotea mtuambie hizi picha mnazoziweka makanisani mwenu na kwenye Rozali Nani alizipiga au kuzichora?
Mtupe ushahidi wa ngazi ya PHD Kama huyu Ni Yesu na Mama yake Maria mnao waabudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…