Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao



😄😄😄😄😄

Nipigeni mniue ukweli nishausema
 


😄😄😄😄

Acha wazae ili tupate vibarua katika viwanda vyetu. Ndivyo matajiri wanavyotuwazia hivyo
 
Mungu akiwa upande wako huwa tunajawa viburi, majivuno na kejeli za kila aini. Amini amini nakwambia Mungu akigeuza shingo na asikutazame tena, huwa nimajuto yasio na ukomo.

Hekima, busara na utu ndio Jambo jema kuliko pesa.


Mimi sina pesa Mkuu ninaye Mungu.

Hekima, busara na utu ni pamoja na kusema ukweli na haki.

Sisi masikini Kwa kweli hatustahili kujenga nyumba mjini zitakuwa ni takataka tuu
 
Mtaongea yote ila ukweli Utabaki pale pale sisi masikini maeneo yetu ndio changanyikeni Nyumba hazina parking. Ukipita unatokea chooni kwa watu.
 
Naomba ufafanuzi kama kuna tofauti kati ya Masikini na Wenye kipato cha chini/kidogo.

Maana kuna hata zile flats zikijengwa kwa ajili ya Kada fulani ya Serikalini baada ya muda zile flats huwa kama stoo za Mkaa...tofauti kabisa na zile flats zinazojengwa na kupangishiwa Wanaolipa 1m kwa mwezi.
 
Umekosea kumtaja Mungu na uhusiano uliopo baina ya maskini na matajiri.je umesahau kwamba yeye aliwachagua masikini wa dunia hii kuwa matajiri wa imani.na Imani ndo kila kitu..maskini Ana mchango wake kwenye maendeleo ya mji husika halafu Huu Ushauri uwe kwenye majiji makubwa na sio tawala zetu hizi za mikoa
Andiko zuri Kiasi chake nali rate 3 star
 
Serikali ipi? Hii ya NSSF ya kujenga nyumba za vyumba viwili kwa 25M na kutaka kuwauzia masikini kwa 45M?
 
Kama kuna masikini, basi ni hiyo serikali unayotaka iwahamishe wananchi, tena masikini wa fikra.
Ukisema wasiruhusiwe kujenga, kwangu ina maana wana ardhi. Sasa mwenye ardhi ni masikini kweli?
Hiyo serikali na taasisi za kifedha, kwa kutumia ardhi kama dhamana, ingeratibu mpango wa kuwakopesha raia wake, liporomoshwe jengo la hadhi unayotaka ili isionekane ni takataka, sehemu ya jengo ikapangishwa na kurejesha mkopo na sehemu ikawa makazi ya mwenye ardhi, kila mtu angeyafurahia maisha haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…