Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Kamleteni mzungu aje awekeze halafu andikeni mkataba kama ulivyo huu wa Dubai uone kama kuna muislam yeyote ataupinga. Kwenye hilo tushapita, huko. Wether mchina au mjapani au mzungu sisi hatuna shida nao.Tatizo uislamu unawasumbua kwenye mkataba huu sijaona mwislamu anaupinga there something hidden
Sijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar, sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.
Lakini kwa akili Yako iyoiyo bdo unaamini bdo unamwami I mwamposa kuwa ndio kiongozi wako wakukufikisha mbiguni asalaleeeSijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar, sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.
Na huu wa DP ndio umeshapitishwa na Bunge , utajiju Kama ulivyojijuu mkataba wa Muungano 😜😜😜😜Not related, utajiju!
Lakini unamwamini , Yahudi Zelensky 😭😭😭Sijawahi kumwamini mwanamke, sijawahi kumwamini mwarabu, sijawahi kumwamini mzanzibar, sijawahi kumwamini muislamu kwenye mambo yoyote yanayohitaji matumizi makubwa ya akili.
Kuna alternatives nyingi za kuondoa hili zimwi TanganyikaNa huu wa DP ndio umeshapitishwa na Bunge , utajiju Kama ulivyojijuu mkataba wa Muungano 😜😜😜😜
Zimetajwa wapi hizo bandari
Kuna alternatives nyingi za kuondoa hili zimwi Tanganyika
Hapana, usipotoshe.Ukisema humjui mwanasheria wa Ujerumani maana yake umeingia kwenye uzi bila kusoma hoja na video za muanzisha uzi😇😇
Wamekubaliana nani na nani na wapi,; kwa taratibu zipi?Sasa ni hivi kwa mujibu wa Makamu wa pili wa Raisi wa Zanzibar mh Hemed anasema wamekubaliana masula ya Bandari kila upande usimamie Bandari zake ndio maana zanzibar wana ZPC yaani Zanzibar port coparation na huko bara wana TPA Tanzania port Athority wapi wamekutana wameyaondoa vipi hayo masula ya Bandari hayo hajasema
Kwani hiyo "mantiki" ni mali yako? Unayo hati mililki juu ya hayo "maono" ambayo wengine hawawezi kuyadai?Mtu akija na maoni tofauti na ya kwako tayari keshakengeuka. Wengine hatuangalii sura tunaangalia mantiki ya anachokisema kama inalifaa taifa.
Tunaangalia maono ya hicho anachokiongea kama yanalifaa taifa. Prof Assad kaongea kisomi hakuongea kama msela wa mtaani anayeendesha mkokoteni.
Umeziangalia hizo IGA nyingine zilizopitishwa Bungeni ukaziona nazo zina mashartiya kipuuzi kama haya ya Dubai?Kwani IGA nyingine zipo kwa sababu zipi haswa?. Ni mkataba kama mingi tu inayopitishwa bungeni na umefuata taratibu zile zile za siku zote.
Huo udhaifu mnaouona nyinyi wachache, wataalam wameshautolea ufafanuzi mpaka wamechoka tena kifungu kwa kifungu.
Maneno ya mkosaji haya. Umeandika ukiwa na uso ulionuna na hakuna wa kukusaidia.Umeziangalia hizo IGA nyingine zilizopitishwa Bungeni ukaziona nazo zina mashartiya kipuuzi kama haya ya Dubai?
Kama ilivyo kawaida yako siku zote humu: "wachache", umetuhesabu lini ukakuta sie ni wachache?
Nilishakueleza mara kadhaa humu, na hainipi shida kurudia tena, kwa hili jambo la Bandari, mmeanzisha kitu ambacho hamna uwezo wa kukizuia kuwafagilia mbali.
Profesa mwenye uzoefu wa masuala ya kiuchumi anao uelewa kuliko sisi wengine wengi humu JF na juzi alitahadharisha kwamba huko Mbeya mnakwenda kushindwa kwa uelewa wenu mdogo wa masuala ya uwekezaji.Kwani hiyo "mantiki" ni mali yako? Unayo hati mililki juu ya hayo "maono" ambayo wengine hawawezi kuyadai?
Andiko la kijinga sana hili uliloweka hapa.
Wamekubaliana viongozi wa serikali mbili halali zenye mandate za halali za kushughulikia matatizo ya watu.Wamekubaliana nani na nani na wapi,; kwa taratibu zipi?
Huu upuuzi unaofanywa siku hizi ndio wanaotakiwa waTanzania wauelewe vizuri.
Wapumbavu fulani tu, hawawezi kuzinduka usingizini na kuanza kupangua maswala mazito yanayohusu muungano. Huu ni upumbavu.
Zitto alivyo na mbwembwe bingwa wa kujenga hoja lakini kuhusu bandari UNAWEZA DHANI HAYUPO DUNIANI na hapo ndo utagundua kuwa mfadhiri mkuu wa chama chake ni nani yaani jamaa yupo kimya utadhani tulishakula ubwabwa wake.Assad na Zitto ni wadini sn achana nao, nina 100% mkataba hajauona achilia mbali kuusoma
Unarudia yale yale, sijui huyo 'mkenya' alikupa kitu gani.Maneno ya mkosaji haya. Umeandika ukiwa na uso ulionuna na hakuna wa kukusaidia.
Zile juhudi zote za kumtafuta yule wakili Mkenya kwenye kipindi chako maalum zimegonga mwamba.
Inawezekana hata baada ya kukudokeza mara kadhaa bado hujaelewa nilivyokutambua wewe ni mtu wa aina gani hasa. Mbali ya kuwa fisadi, msukumo wako unategemea imani yako, kama inavyomsukuma huyu mzee na wengi wengine na kusahau kuwa jambo muhimu zaidi kwetu sote ni nchi yetu Tanzania.Profesa mwenye uzoefu wa masuala ya kiuchumi anao uelewa kuliko sisi wengine wengi humu JF na juzi alitahadharisha kwamba huko Mbeya mnakwenda kushindwa kwa uelewa wenu mdogo wa masuala ya uwekezaji.
Mmelikoroga na mtalinywa. Safari hii kwisha kazi yenu.Wamekubaliana viongozi wa serikali mbili halali zenye mandate za halali za kushughulikia matatizo ya watu.
Hili ni tatizo la harakati uchwara mnazo fanya, kudhani mna akili na uelewa kuliko kila mtu.
Maneno haya yanaweza kueleweka humu JF walipo wanaharakati wengi wenye juhudi zisizoyagusa maisha ya kila sikua ya mtanzania, huko mitaani wala hawana hisia kama hizi za kwako.Mmelikoroga na mtalinywa. Safari hii kwisha kazi yenu.
Najua maneno haya yatakuchoma moyo sana, lakini utayakana hapa hapa, na haitasadia chochote.
Mmewadharau sana waTanzania kwa muda mrefu, sasa mtaona matokeo ya kuvuruga kwenu huku.
Inatosha. Sitakukumbusha tena juu ya hili.
Mkataba wa DP World ni sehemu muhimu katika kuelekea kuneemeka kwa Tanzania yetu. Tatizo ni nyinyi mnaojaribu kuipotosha jamii juu ya kinachokusudiwa kufanyika, labda kwa kutegemea malipo fulani kutoka kwa hao wanaohisi kuzibiwa riziki zao pale TPA kupitia mifumo mipya ya ushushaji na upakiaji wa makontena.Inawezekana hata baada ya kukudokeza mara kadhaa bado hujaelewa nilivyokutambua wewe ni mtu wa aina gani hasa. Mbali ya kuwa fisadi, msukumo wako unategemea imani yako, kama inavyomsukuma huyu mzee na wengi wengine na kusahau kuwa jambo muhimu zaidi kwetu sote ni nchi yetu Tanzania.
Tanzania ikineemeka, sisi sote tunaneemeka bila kujali hizo imani zinaofanya baadhi yenu kusukumwa zaidi na ushiriki wenu katika imani hizo.