Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Maswali kwa Profesa Musa Assad kuhusu mkataba wa Bandari

Umejibu kwa kuzingatia tumbo.Ndiyo maana nchiza kiafrika Zina Kila rasilimali lakini watu wake Wengi ni masikini wa kutupwa kwa sababu ya ubinafsi wa tumbo
 
Nimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)

1. Kama mkataba una manufaa , kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)

2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?

3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu
Kwanza umesema hoja mbili halafu naona kwenye maswali zimekuwa tatu.

1) Wapi kwenye IGA paliposema "Bandari za Zanzibar hazipo"?

Binafasi sijaona kifungu hicho, tafadhali kinukuu hapa.

2) Hilo la pili vile vile umeleta uongo wako, hakuna pahala Assad alipotaja jina wala kuyasema hayo unayodanganya watu hapa.

3) Nini ambacho aliulizwa hajakijibu? Kwani ulisikia Assad kasimama pale kuwa yeye anahoja au aliulizwa maswali na akawa anajibu anachoulizwa tu?

Wewe unaonesha ni mtu muongo wa kutupwa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Acha kutembelea nyota ya member mwenzako, jitegemee. Yaani mwekezaji asilazimishwe kwa jambo la maslahi la taifa? Kwa hiyo asilazimishwe kuajiri baadhi ya wafanyakazi wazawa kwa kazi wanazoziweza, hata akiamua kuja na vibarua waarabu iwe sawa tu?
Kwahiyo wewe unaweza kumlazimisha muwekezaji akwekeze sehemu ambayo haina maslahi kwake ila ina maslahi kwako???

Kumtaja Faizafoxy siyo nimetembelea nyota yake bali ndio muasisi wa huo msemo hivyo nimempa credit zake.
 
Hili la DPW limekwisha chacha hata liungwe namna gani halitakuwa na ladha ya kuvutia. Mhe. Rais amekwishashauriwa na Wasomi, Wazee wenye busara kama mzee Butiku na Mzee Kinana na Katibu Mkuu wa CCM wameshauri kuwa kama kuna kasoro zirekebishwe ili tusonge mbele. Sauti ya wengi ni sauti inayotoka kwa Mungu. Hata hukumu ikitoka kuwa Serikali imeshinda, hili suala bado mbichi sana.
 
Kwahiyo wewe unaweza kumlazimisha muwekezaji akwekeze sehemu ambayo haina maslahi kwake ila ina maslahi kwako???
Ndio, asipotaka atakuja mwingine, na wala sio lazima muwekezaji aje, mahitaji yake ya hela ndio yanamleta. Kwani ardhi inaoza?
 
Amejivunjia tu heshima yake kwa maslahi ya kulinda wa dini yake. Kumbe hana mana huyu Mzee. Tumemdharau kwa kweli..
 
Mkataba hauna shida yoyote. Twenye shida sisi wasomaji wa mkataba. Wewe unadhani DPW wataendeza kila Bandari kama mnavyoaminishwa na akila TL? Yaani akajenge Bandari kisorya au Lindi?? Kwani wanaosema maeneo ya kipaumbele unadhani ni yepi? Ushasikia popote duniani DPW anaendeleza na kuendesha Bandari za kuvulia dagaa tonge? Unajua baadhi ya mambo inabidi mtumie akili zenu hata za kuzaliwa basi! Believe me, tunaaminishana ujinga mkubwa sana mitaani kuliko uhalisia wa jambo lilivyo.
Dan Zwangendaba tafadhali ikiliza clip hii halafu unipe maoni yako
 
Nimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)

1. Kama mkataba una manufaa , kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)

2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?

3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu



Wa DINI yetu!! hakosei wala hali rushwa
 
Nimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)

1. Kama mkataba una manufaa , kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)

2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?

3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu


Ngoja na mimi nisubiri majibu yake
 
Kuhusu bandari za zanzibar Makamo wa pili wa Raisi wa Zanzibar mhe Hemed anasema wamekubaliana masula ya Bandari kila upande usimamie Bandari zake ndio maana zanzibar wana ZPC yaani Zanzibar port coparation na huko bara wana TPA Tanzania port Athority
Wamekubaliana wapi na lini na kwa utaratibu upi. Katiba iko wazi kwenye namna ya kuondoa mambo ya muungano. Ni jambo linalofanyika bungeni kwa kura theluthi mbili kutoka Zanzibar na Tanganyika kukubali. Sasa hilo limefanyika lini kuliondoa jambo la bandari katika mambo ya muungano?
 
Profesa Njaa huyo
achana naye
Hapana.
Katika jambo hili inaonekana wazi kwamba ni zaidi ya "njaa" inayowasukuma baadhi ya watu kufunga akili zao upande fulani.
Hili lipo wazi tokea mwanzo, na lipo kwa muda mrefu.
Kwa baadhi ya watu, ukiweka kwenye mizani na kupima uTanzania wao na dini zao wanazoziamini wao, dini zinakuwa ni kila kitu kwao, na kusahau kwamba Tanzania ipo siyo kwa manufaa ya dini yoyote bali kwa waTanzania wote.

Kama ni mungu wanayemwamini ndiye aliyeiweka hapo Tanzania na kuwaweka wengine wote waliomo humo na kuwapenda, wao hilo hawalioni kabisa.

Huu ni upumbavu mkubwa sana, bila kujali kiwango cha usomi alionao mhusika.
 
alisifiwa sana and he was very professional! alisthili sifa hizo, Leo kwa sababu mama ni mzanzibar, akili imekufa
Mnampiga gubu profesa wa watu.. ana watoto mjue😀😀😀😀
 
Hapana.
Katika jambo hili inaonekana wazi kwamba ni zaidi ya "njaa" inayowasukuma baadhi ya watu kufunga akili zao upande fulani.
Hili lipo wazi tokea mwanzo, na lipo kwa muda mrefu.
Kwa baadhi ya watu, ukiweka kwenye mizani na kupima uTanzania wao na dini zao wanazoziamini wao, dini zinakuwa ni kila kitu kwao, na kusahau kwamba Tanzania ipo siyo kwa manufaa ya dini yoyote bali kwa waTanzania wote.

Kama ni mungu wanayemwamini ndiye aliyeiweka hapo Tanzania na kuwaweka wengine wote waliomo humo na kuwapenda, wao hilo hawalioni kabisa.

Huu ni upumbavu mkubwa sana, bila kujali kiwango cha usomi alionao mhusika.
Nimeona wasomi wanasaliti taaluma zao ili wapate vyeo. Njaa ni laana
 
Nimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)

1. Kama mkataba una manufaa , kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)

2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?

3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu



Mariaspace?!Unategemea nini kitoke huko?
 
Back
Top Bottom