Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
ni bahati mbaya wote waliosaini ni wazanzibarWenye nchi zanzibae, bali hakuna wenye nchi Tanganyika? You are crazy (sorry rafiki, sina maana ya tusi)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni bahati mbaya wote waliosaini ni wazanzibarWenye nchi zanzibae, bali hakuna wenye nchi Tanganyika? You are crazy (sorry rafiki, sina maana ya tusi)
Kwanza umesema hoja mbili halafu naona kwenye maswali zimekuwa tatu.Nimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)
1. Kama mkataba una manufaa , kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)
2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?
3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu
Kwahiyo wewe unaweza kumlazimisha muwekezaji akwekeze sehemu ambayo haina maslahi kwake ila ina maslahi kwako???Acha kutembelea nyota ya member mwenzako, jitegemee. Yaani mwekezaji asilazimishwe kwa jambo la maslahi la taifa? Kwa hiyo asilazimishwe kuajiri baadhi ya wafanyakazi wazawa kwa kazi wanazoziweza, hata akiamua kuja na vibarua waarabu iwe sawa tu?
Ndio, asipotaka atakuja mwingine, na wala sio lazima muwekezaji aje, mahitaji yake ya hela ndio yanamleta. Kwani ardhi inaoza?Kwahiyo wewe unaweza kumlazimisha muwekezaji akwekeze sehemu ambayo haina maslahi kwake ila ina maslahi kwako???
Dan Zwangendaba tafadhali ikiliza clip hii halafu unipe maoni yakoMkataba hauna shida yoyote. Twenye shida sisi wasomaji wa mkataba. Wewe unadhani DPW wataendeza kila Bandari kama mnavyoaminishwa na akila TL? Yaani akajenge Bandari kisorya au Lindi?? Kwani wanaosema maeneo ya kipaumbele unadhani ni yepi? Ushasikia popote duniani DPW anaendeleza na kuendesha Bandari za kuvulia dagaa tonge? Unajua baadhi ya mambo inabidi mtumie akili zenu hata za kuzaliwa basi! Believe me, tunaaminishana ujinga mkubwa sana mitaani kuliko uhalisia wa jambo lilivyo.
HayaNdio, asipotaka atakuja mwingine, na wala sio lazima muwekezaji aje, mahitaji yake ya hela ndio yanamleta. Kwani ardhi inaoza?
Nimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)
1. Kama mkataba una manufaa , kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)
2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?
3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu
Ngoja na mimi nisubiri majibu yakeNimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)
1. Kama mkataba una manufaa , kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)
2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?
3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu
Uteuziii tu katiba haitaki CAG ...apewe cheo kingine chochote ....hakuna hakuna ....kuna ulaji unatengenezwa hapo ....HakunaProfesa Njaa huyo
achana naye
Wamekubaliana wapi na lini na kwa utaratibu upi. Katiba iko wazi kwenye namna ya kuondoa mambo ya muungano. Ni jambo linalofanyika bungeni kwa kura theluthi mbili kutoka Zanzibar na Tanganyika kukubali. Sasa hilo limefanyika lini kuliondoa jambo la bandari katika mambo ya muungano?Kuhusu bandari za zanzibar Makamo wa pili wa Raisi wa Zanzibar mhe Hemed anasema wamekubaliana masula ya Bandari kila upande usimamie Bandari zake ndio maana zanzibar wana ZPC yaani Zanzibar port coparation na huko bara wana TPA Tanzania port Athority
Hapana.Profesa Njaa huyo
achana naye
Mnampiga gubu profesa wa watu.. ana watoto mjue😀😀😀😀alisifiwa sana and he was very professional! alisthili sifa hizo, Leo kwa sababu mama ni mzanzibar, akili imekufa
Nimeona wasomi wanasaliti taaluma zao ili wapate vyeo. Njaa ni laanaHapana.
Katika jambo hili inaonekana wazi kwamba ni zaidi ya "njaa" inayowasukuma baadhi ya watu kufunga akili zao upande fulani.
Hili lipo wazi tokea mwanzo, na lipo kwa muda mrefu.
Kwa baadhi ya watu, ukiweka kwenye mizani na kupima uTanzania wao na dini zao wanazoziamini wao, dini zinakuwa ni kila kitu kwao, na kusahau kwamba Tanzania ipo siyo kwa manufaa ya dini yoyote bali kwa waTanzania wote.
Kama ni mungu wanayemwamini ndiye aliyeiweka hapo Tanzania na kuwaweka wengine wote waliomo humo na kuwapenda, wao hilo hawalioni kabisa.
Huu ni upumbavu mkubwa sana, bila kujali kiwango cha usomi alionao mhusika.
Nimesoma andiko lako kuwa watu HAWANA UELEWA ndiyo maana wanakataa mkataba wa DP World. Nomba kwa manufaa ya wengi ujibu hoja hizi mbili tu. Kumbuka wewe ni "national Figure" in academics, tamko lako linaamsha maswali)
1. Kama mkataba una manufaa , kwanini bandari za Zanzibar hazipo? (kizuri kweli uache kula na ndugu zako Zanzibar, uwape jirani?)
2. Wewe si mwanasheria (unaweza ukawa na uelewa kidogo wa sheria za uhasibu and the like). sasa authority ya kusema akina Shivji, Lugemeleza, Lisu, Mwabukusi, Madeleka na wengine hawana uelewa katika International treaties unaitoa wapi?
3. Mbona hujajibu hoja kwa hoja ambazo hao niliowataja hapo juu wanazilalamikia? Umetoa blanket answers kama za Joseph Kasheku Msukuma, Kitenge, Wasira na watu kama hao. Kama msomi you need to be specific when answering questions...kama ilivyokuwa ukiwataka wanafunzi wako wajibu
Ninakubali, yote mawili yanaenda sambamba, "njaa", na hilo la uluvi wa imani zao.Nimeona wasomi wanasaliti taaluma zao ili wapate vyeo. Njaa ni laana
Mlungula unazeesha akiliMzee anaanza kuzeeka vibaya
Na wewe leta ya Nape spaceMariaspace?!Unategemea nini kitoke huko?