Maswali ya kuudhi - Umeoa? Umeolewa? Unao/olewa lini? Una watoto wangapi?

Hiyo ni sawa, ninaowaongelea hapa ni wale watu wanaulizaga tuu bila hata mpango. Tena wengi wanaoulizwa ni wanawake na wengi wanaouliza ni wanawake.
Hicho cha wewe kuniuliza mimi mbona mbona fresh sanaaaa
 
Hiyo ni sawa, ninaowaongelea hapa ni wale watu wanaulizaga tuu bila hata mpango. Tena wengi wanaoulizwa ni wanawake na wengi wanaouliza ni wanawake.
Hicho cha wewe kuniuliza mimi mbona mbona fresh sanaaaa
Hapo sawa.
 
Umeandika vizuri sana!
 
Kwa mtu ambaye anauwezo mkubwa wa kujua hisia za wengine huwaga hauliZi maswali hayo unless mpo kwenye interview na hata kwenye interview ni maswali ya kijinga kama kaZi haihusiani na status ya mtu ya mahusiano


Hayo tukaulizwe kwenye form ya kupata bima ya afya[emoji853][emoji853][emoji853]..

She is right kabisa but you have to be sensitive enough kujua swali hilo ni la kijinga...

Mbona umenenepa/umekonda?
 
Haya masuali yanaudhi sana, kule visiwa vya karafuu ndio yamekaa kitako, kwa siku unaweza kujibu hili swali mara mia moja aidha umeoa hujaoa na kwanini hujaoa utaoa lini kwanini huoi tu. Na sasa ukija kufanya hiyo nusra ya kuoa sasa maswali yanahamia kwenye mtoto, una watoto wangapi, ushapata mtoto, mkeo ni mjamzito ama vipi yaani saa zote ni ujinga kama huu.

Watu wanashindwa kufahamu hii ndoa ili mtu aoe kwa sisi waislamu inakuwaje, kuna masharti gani lakini hali gani ya kimaisha kwenda kumchukua mtoto wa watu kwao anakula na kuvaa vizuri kwa babake na mamake muda wote.

Kuna wakati ukichelewa sanaa kuoa wanaweza kusema ah huyu ni mkono wa shati au sampuli kama hizo
 

Sijui huwa wanauliza ili wapate nini
 
Hahaha dawa wakikuuliza kwanini hujazaa na wewe waulize kama wanataka uzae nao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sina shida na maswali ya namna hiyo, najibu tu bila shida japo itataegemea anayeuliza ana ujaribu gani na mimi.
 
Kwaiyo bado hujaolewa?
unangoja nini sasa..[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…