Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
- Thread starter
-
- #81
Kwenye global exchange uko sahihi.Namaanisha kwenye exchange. Nimesema kwenye reserve tushamaliza kama USD ni mbaya haina tija na mashiko basi hiyo China ambayo ndio ina mbadala iachane na USD kwanza ili wafuasi waiache na wao.
Kwenye exchange China ni ya ngapi, sijajua kuanzia February ila last time I checked tumeanza mwaka 2023 Yuan ikiwa ya saba au ya nane kwenye global exchange. Yani ikija kufikia Pound Sterling sio leo, achana na Euro na usiwaze kuhusu USD.
Thamani ya Yuan yenyewe inapangwa na serikali ya China, haipangwi na market forces.Dollar bado Ina nguvu na foreign investors wengi wameinvest kwenye dollar , mzunguko wa yuan ni ndogo hata kama watauza bidhaa zake kupitia yuan na kuiforce nchi zingine zinunue yuan Ili zinunue bidhaa za China still sera ya kiuchumi ya China ndo inaiangusha, wairekebishe.
Thamani ya yuan ikiwa kubwa , vitu vya kichina vitakuwa expensive, hivyo kupunguza demand ya bidhaa, jambo ambalo imeifanya Serikali ya China kuingilia Kati mara nyingiKwa logic yako wengine akiwemo US hawajawekeza kwenye dollar kama China kwahio hawajui nguvu ya Dollar ?
Hivi unajua huenda Wachina hawafurahii hii hali wala wao hawapendi kabisa thamani ya Pesa yao iwe kubwa ?
Kweli kabisa, uko on point.Thamani ya Yuan yenyewe inapangwa na serikali ya China, haipangwi na market forces.
Hilo pekee linaifanya Yuan kuwa na tatizo kubwa ikilinganishwa na US dollar.
Pale world bank( wb) na IMF pana mchezo wa makusudi unaofanya na wayahudi wamarekan wanafanya mataifa mengine kuwa maskini.Nawaza tu!
Kwamba haya mawazo uliyoyatoa ww ina maaana china hawana wataalamu kama ww ili watekeleze na sarafu yao itawale.
Mtu kaleta taarifa ya kiuchumi kama ilivyoandikwa huko,ikionesha jinsi pesa ya uchina ikiipiku pesa ya USA wewe badala ya kuichambua kama ilivyoletwa una mtaka mleta taarifa achague kuishi china au Marekani.Wewe akili kisoda umeshindwa kuelewa maana ya nlichoandika.
Elewa concept ya substance over form
Aiseee!Always kuna msemo "Bet against Uncle Sam at your own risk "
Wanaobet against dollar Kuna kitu hawaelewi ,they will soon be in for a rude awakening
Hebu nifahamisheNa ili hilo lifanyika lazima tujiulize kabla dolar haijawa reserve currency ilikuwa GOLD ndio Standard na Ili Yuan ichukue nafasi ya Dola kwanza duniani lazima irudi kwenye GOLD Standard Kisha baada ya hapo ndio sandakalawe ianze upya.Lakini Pia lazima tujiulize ni kwa nini USD na Sio Pound wala EURO na wala Yuan.?Hapa inahitaji turudi katika historia tuangalie ni nini kilitokea katika uchumi mpaka ikapelekea shift kutoka Gold Standard na Kwenda kwenye Dollar.
Sidhan km kuna taifa hapa dunian ambalo lina demokrasia na kujal kuhusu haki za binaadamUmetoa ushauri mkali Sana [emoji38] naamin eeleweka China siyo taifa la kushabikia Wala kuwaegemeaa Ni watu wapuuz mno ,wanyonyaji ,Hana democracy Wala kujali haki za binadamu nashangazwa kuona watu wanawashabikia wachina na kuwacha wazungu , nashangazwa pia kuona watu wakisema wazungu ni wanyonyaji ,HV niulize Kuna mtu mnyonyaji kama mchina na muhindi
furha yake mwambie marekani ndio nchi inayoongoza kwa democrasia uone atakavo kusifia na kucheka cheka kama fisi ...Sidhan km kuna taifa hapa dunian ambalo lina demokrasia na kujal kuhusu haki za binaadam
Utajihidi kumuelewesha lakini hata elewa sababu kilichojaa kwenye fikra zao ni chuki dhidi ya US.Thamani ya yuan ikiwa kubwa , vitu vya kichina vitakuwa expensive, hivyo kupunguza demand ya bidhaa, jambo ambalo imeifanya Serikali ya China kuingilia Kati mara nyingi
Ha ha haHebu nifahamishe
Ili pesa iwe gold standard inamaana wanabandika kajidhahab kadogo kwenye noti husika au wanafanyafanyaje ili iwe na vigezo hivyo
Hiyo inaitwa usiyempenda kaja no wayHaya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota.
Euro hata Pound Ina value kubwa kuliko dollar lakini bado haijawa reserve currenciesNi kweli mkuu lakini hii ni ishara kuwa Yuan inazidi kuimarika.
Una taarifa kuwa kwa sasa Yuan has surpassed the Euro in global trade invoicing
Sijakuelewa mkuuEuro hata Pound Ina value kubwa kuliko dollar lakini bado haijawa reserve currencies
Bora uwaambie vijana hawana wanachoelewa zaidi ya kubeti tuuu. Bidhaaa izi zinatoka USA na ndio matumizi ya dollars yanapoanzia ARV, Condoms, Dawa za uzazi wa mpango, Chanjo za magonjwa ya Tuberculosis (TB), Surua, Android, IOS, Chanjo za magonjwa ya INI, Window Operating system, Wikipedia, tweeters, Instagram, Facebook, Shazam, Java, Microchip, ATM system, banking system.Hivi unajua nchi yako haina uwezo wa kusambaza condom achilia mbali ARV? Chanjo tu ni shida achilia miradi kama tokomeza TB na Malaria.
Kwa mfumo wa maisha uliopo hili jambo la wadhamini kufa ili tuanze upya linatakiwa liende taratibu sana otherwise utawaonea huruma hao wananchi wa kawaida kwa utakayoshuhudia.