Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

Watanzania kulalamika Ndio zao

Hata ukiwapa chakula watasema hakina chumvi
Wewevuna kazi kweli ndugu, yani una porojo kweli kweli kila uzi upo mbele kuitetea ccm, pole sana. Waambie hayo mafisi wenzako waache uchaguzi uwe huru kila mtu asimamie anachokiamiani.
 
Kwahiyo iliyoharibika ni CV ya Jaffo au ya CCM?!
Nchi nzima kuna kipindi viongozi wetu hawataheshimika duniani kama tulivyokuwa huko. Viongozi wanaopatikana Kwa njia hii ni wwnafanana au wako sawa na wale wanaopatikana Kwa njia za mapinduzi Kwa njia ya mtutu, hawaheshiki
 
Kwahiyo iliyoharibika ni CV ya Jaffo au ya CCM?!
Kwa bahati mbaya Mh. Jaffo na CCM wote hawana raha na ushindi wa uchaguzi huu unaofanana Sana zile zilizosababisha ASP ishike mapanga dhidi ya mwarabu
 
Suala la kupiga kura ni la kitaifa. Ulitaka asemeje?
 
Tangu 1995 wimbo ni huu huu. Haipendwi, Haipendwi Ila wao ndo bado wanaongoza halafu 2020 dalili ni ndogo sana za kushindwa kuendelea kuongoza.
 
Tabutupu,
Endelea kuota mkuu. Tena sema asilimia mia kabisa, lakini ujue kwamba baada ya tarehe 24/11/2019 vitongoji, vijiji na mitaa asilimia mia itakuwa chini ya CCM.
 
Habari za jumapili Watanzania wenzangu.Nimefatilia taarifa ya habari mchana TBC habari kinara ni taarifa ya mkuu nchi kupokea gawio toka mashirika ya umma.

Kuhusu uchaguzi wa leo wamerejea taarifa ya Jafo ya jana akiwahimiza Watanzania kujitokeza na kufuata sheria na kanuni uchaguzi , Sehemu ya habari pia shehe mmoja kada wa ccm huko Singida akitoa mawaidha siku za nyuma "... tuwaache wanasiasa waliojitoa kwani hawataki kuchaguliwa..." Akahojiwa muumini mmoja pia kada..." mwisho wa taarifa ya uchaguzi.

Nilitarajia taarifa za foleni na misururu ya wapiga kura, na kwa uwezo na kasi ya TBC kurusha live pasingetosha! Rai yangu msiwashurutishe tbc ku edit clip za zamani kwa onyesho lililo buma.

Hongereni Watanzania somo limefika kwa watawala wakoloni weusi na maamluki wao bila kuwasahau viongozi wa dini wanafiki mfano rais wa TEC.
 
Yeah, then waje watuonyeshe maendeleo! Maana wimbo wao ni kwamba wapinzani wanakwamisha shughuli za maendeleo
Endelea kuota mkuu. Tena sema asilimia mia kabisa, lakini ujue kwamba baada ya tarehe 24/11/2019 vitongoji, vijiji na mitaa asilimia mia itakuwa chini ya CCM.
 
Vyama vilivyoshiriki uchaguzi ni TLP na CCM

Ndukiii[emoji125][emoji125][emoji125]
 
CCM imetangazwa Kushinda bila uchaguzi kwenye mikoa ya Yanga, Katavi Na Ruvuma.

Hapo Ulipo Hali ikoje?
Tiririka
 
Yeah, then waje watuonyeshe maendeleo! Maana wimbo wao ni kwamba wapinzani wanakwamisha shughuli za maendeleo
Wala hilo usijali. Nanukuu msemo wa DC wa Gairo, watawaletea, "MAENDELEO FASTA KWA MWENDO MDUNDO"!
 
Tabutupu, Chadema hii hii iliosema lowasa mwizi alafu baadae ikamsafisha na kusema sio mwizi?
 
Hawa viongozi wanajiona ni miungu watu,wekeni mazingira sawa kwa vyama vyote kufanya siasa,wananchi ndio waamuzi,kama ccm inafanya vizuri figisu za nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…