Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

Msanii,
Tupeni mrejesho kwa vyama vilivyoshiriki na kwenye uchafuzi kati ya CCM,ADC(walioweka wagombea 80 nchi nzima) na TLP(walioweka wagombea 10 nchi nzima),vyama vingine vilivyoshiriki uchafuzi hawana wagombea ila hawajajitoa.
 
Member wa miaka mingi sana! I use to see your comments! since then leo ndio ninakuona tena! Either umeadimika ama mimi nimekuwa sio mfuatiliaji. Happy to see you here mkuu[emoji2]
Awamu hii unaweza ukajikuta upo na chatu wa CHATTLE au Msitu wa Mabwepande lazima uende mdogo mdogo.
 
Atajifunza na kuwaelewa watanzania kuwa uvumilivu una mwisho wake
 
Kwa heading hiyo hapo juu tunga au ongea chochote ili mradi usitukane.
 
Naona na Magufuli leo ametua Chamwino kupiga kura uchaguzi serikali za mitaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…