Nimeona nakala ya Polepole akipongeza chama chake kwamba kimeshinda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa asilimia 90.[emoji3]
Nimecheka sana, na sababu ya kucheka ni kwamba walio shiriki uchaguzi ni asilimia hata 20 haikufika, wakachukua mamluki baadhi ya vituo kupiga kura zaidi ya Mara moja, na kuwafukuza mawakala hata wale walio jitia hashuo la kushiriki eti ni wapinzani.
Kipimo cha haraka ni kuwa upinzani umeshinda uchaguzi, ispokuwa tume ya uchaguzi ikapora huo ushindi na kuwapa ccm. Yaani hata walio dhani ni wanachama wa ccm hawakushiriki uchaguzi.
2020 Oct ndio mtalia sana ccm, maana wananchi wapo upande wa haki na hawatakuwa tayari kuporwa ushindi wao, kupora haki zao za kugombea hata kupiga kura.
Shame on you CCM na tume ya uchafuzi.[emoji3][emoji3]