Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Kama ni mtaalamu wa namba na udadavuzi wa takwimu namba 8,9 na 11,12 lazima utie shaka uhalisia wake...zote zinapishana kwa 2 na haziendani na mtiririko wa matokeo ni kama zimepachikwa hivi...
 
Wassira atawafaa sana kwenye mipango yao. Si Lukuvi.

Ni sawa na paka kumtunzia panya karanga, ili badae aje amuuzie.
 
Labda ataondolowewa ukatibu mkuu msaidizi.
Kuwasaidieni, katika Sekeritariat, head wa department katika CCM lazima uwe mjumbe wa NEC aidha kwa kuteuliwa au kuchaguliwa. Hivyo anahalalisha ule aliopewa wakati huo
 
kabisa yaani ila hapa tujifunze kitu kwahawa ndugu zetu ikiwa kwao sawa ikiwa kwa wengine shida
 
Nimecheka mno hii mkuu😀
😀😀
 
Only ni kwasababu waislamu hawana kawaida ya kupiga kura kidini. Ni wajenzi kamili wa amani na ustarabu kidogo unaouona Tanzania.
Ndio maana kwenye jumuia kila kikao lazima atokee mmoja amtaje MAMA kwa ubayaaaaaa!¡!!! nilikuwa sijastuka, hasa nikikumbuka tulivyokuwa tumebanwa na mkatoliki 'yule' lkn sasa imekuwa ghafla ni ati alikuwa bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…