Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Wakivunje tu hiki chama...we are tired...
 
Huyu ndo kuna kipindi aliingia mgogoro na Mwita Waitara?Kisa Mwita alijua Wambura ana mpango wa kugombea ubunge Tarime. Hata hivyo 2025 jamaa atagombea.Mwita ajiandae kulia.
Pesa imeongea hapo. Waitara hana chake.

Ila bado nashangaa kwanini ajiingize kwenye siasa wakati ana kila kitu?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Yaani Tanganyika ni kama Kenya tu.Wakristo ni wengi kuliko waislamu.

Tanga, mtwara, Lindi, pwani, ( hapo majority ni muslimus) Dar wako karibu nusu kwa nusu mikoa mingine yote majority ni wakristo yaani uislamu utaukuta either wilaya moja tu mfano tabora ni mjini, kigoma ni mjini, lakini ukweli ni huo na njoo kwenye sensa uone hiyo mikoa ambayo majority wakristo utapata jibu rahisi tu.
 
Back
Top Bottom