Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Kwahiyo kwa list hii huwezi kuwasikia wale wafia dini waliokuwa wakisema kuhusu uchaguzi wa uvccm kuwa Kuna udini...
Tanzania ni yetu sote...majina yasiwe sababu ya kuamsha mihemko yetu..
 
Waislamu walivyotaka tuhesabiwe kidini kwenye sensa wakristo mlipinga sanaaaa,
Hizo data mmetoa wapi?
Ukweli waislamu ni 80% ukibisha mchawi

Wala jilishe upepo tu ni vile nchi haina dini lakini angalia majority ya waislamu kwa Zanzibar haifiki milioni mbili, hiyo iwe sample kwa mikoa yote uone kama idadi ipi ni wengi
 
Kelele za udini tuachane nazo kabisa zitatugawa ni kawaida kila kiongozi kuweka watu anaoona wanamfaa kama magu alivojaza lakezone kwenye nafasi nyingi
 
WANAUME NEC BARA

1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Matokeo yanafikirisha sana. Kuna kitu nakiona kwa jicho la tatu kwenye siasa za CCM
 
Tanga, mtwara, Lindi, pwani, ( hapo majority ni muslimus) Dar wako karibu nusu kwa nusu mikoa mingine yote majority ni wakristo yaani uislamu utaukuta either wilaya moja tu mfano tabora ni mjini, kigoma ni mjini, lakini ukweli ni huo na njoo kwenye sensa uone hiyo mikoa ambayo majority wakristo utapata jibu rahisi tu.
Yap ni Kama tu Kenya ilivyo Mombasa,Lamu ,Malindi kwingine kote ni christians.
 
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Pigo kwa sukuma group( gang)
 
Hans Macha
Mwenye Bureau zakutosha hapa mjini.
Mwenye Hisa 1.3%CRDB kapitishwa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Duh! Kumbe macha ni tajiri. Kampuni zake zinaitwaje?

Wafukua mafaili akina bagamoyo na kikosi chako tunawategemea mtuletee mafaili yote na video za hao watu wote wa nec ambao sio maarufu ila wana HELA 🙏🙏🙏
 
Aisee mi nikishabeba hela za maana siwezi kuwa mwanasiasa.
Labda anafanya hivyo kwa ajili ya ulinzi zaidi, kuheshimiwa zaidi, kujulikana zaidi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tajiri wa kweli haridhiki. Si unakumbuka enzi zile Diallo ?Alivyokosa nafasi serikalini biashara zikayumba.Kuna raha yake kuwa tajiri na huku una vyeo vya kisiasa. NEC unakaa kikao na Rais ,hata ukiwa na jambo lako unaweza muambia ana kwa ana.
 
Walivyoteuliwa waislam wengi majuzi mijadala mikali ililetwa humu JF na huyu mdini sana mwenye chuki dhidi ya waislam bwana technically akasema ule ulikua ni udini
Sasa leo yametoka haya majina hata hajalalamika hii inaonyesha dhahiri shahiri kwamba humu jf kuna watu wana chuki sana dhidi ya uislam

Wao kwa akili zao fupi fupi hivi wanadhani kuuchukia uislam na waislam itasaidia?Wajuwe watakufa wakiiacha hii dini ikikua kwa kasi duniani

Tuacheni udini na ukabila hauna faida yoyote humu duniani

Haya majina ndo haya mbona hawajafungua vinywa vyao?
Wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Naona lengo limetimia....haijawa hivi kwa bahati mbaya...na the fact kwamba mnajadili hili jambo, ma master planners wanafurahi sana...manake now Ngoma Draw...sasa sikilizia muziki huko mbeleni...mtafurahi na roho zenu za kuabudu.
 
Back
Top Bottom