Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

Yap ni Kama tu Kenya ilivyo Mombasa,Lamu ,Malindi kwingine kote ni christians.

Ndio maana Akina aisha jumwa au junet mohamed nao wanatinga kanisani maana hao ndio majority yaani uislamu east africa kiukweli haukuenea sana. Toka ukoloni na sample ni hizo
 
Wala hauna sababu ya kampeni anza hivi kabila lenye watu wengi tanzania ni wasukuma wanacover mikoa karibu mitano, halafu kabila linalofuata kwa idadi ya watu ni waha hawa ni sababu ya kuzaliana sana , haya njoo makabila ya mikoa mingine utanipa jibu ya uislamu na ukristo wako kwa sample ndogo hiyo
Waha umewaonea kwa kweli
 
Bado na tafakari mawaziri wetu kupitwa kura na Dkt Kasheku Musukuma. Hoi ni bahati mbaya au Kuna kitu kinaatengenezwa
Hapana kwanza hao akina Makamba basi tu pamoja na kupigiwa kura lakini unaona kabisa ushawishi wao unazidi kudorora pia wanachi hawataki kabisa kusikia ujinga wao na huu uchaguzi ni ujumbe tosha kwao kuwa hata wanachama hawaridhishwi na mambo yao!
 
LEO HAZISIKIKI KELELE ZA UDINI 🙂 🙂 🙂
ZIPIGE MBONA UNA MDOMO tena MKUBWA
20220813_230747.jpg
 
Waha umewaonea kwa kweli
Wewe acha uongo hao Waha wawazidi Wahaya,Wachaga na Wanyakyusa kwa wingi au unatumia takwimu gani? Likini pia naona hakuna Muha hata mmoja aliye shinda! Baruani Muhuza wa azam amefurukuta lakini kaangikia poa! Mnaongea sana Waha ndo maana wengi wenu ni machawa!
 
Bashungwa kua mkatoliki na waziri mwandamizi na kutuliza kwake kichwa na kutokua na mambo mengi anafaa kua waziri mkuu 2025 hadi 2030 , naamini mamlaka zinaona zenyewe
 
Vunja bei kapata kura 15,anafikiri ustar wa.instagram ndo kwa wajumbe.
Watu wa insta na YouTube channels walimjaza ujinga...eti wanamwita very smart ...kazungukwa na mediocre...akihojiwa akajibu simple question wanasifia Hatari.,..I think now kapata lesson ambayo nina uhakika kailipia pesa mingi ili ajue nafasi yake katika jamii ambyo ni kuwa mchuuzi wa kimataifa...aende china anunue pamba iliyochakatwa na alete Kariakoo auze mpaka siku atakayoweza kupereka Pamba china na kurudi na jeans...aje tena kujaribu...as for now aendelee TU na uchuuzi
 
Leo kimyaaaa !! kumetulia kama maji mtungini , Si kama wiki iliyopita kwenye matokeo ya uvccm

Waliopitishwa kwenda Halmashauri kuu hawa hapa, Sipati picha ingekuwa ni kinyume

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Ankoli umeshupalia kinomanoma
Umeanzisha uzi na hujaridhika bado unataka kuharibu uzi wa mwenzako![emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Bashungwa akiwa waziri mkuu, makamu wa rais au Rais, sitashangaa

Yule kanda ya ziwa magharibi anakubalika anzia kigoma kwa watani zake, usukumani kwa mama yake hadi kagera kwa Baba yake, na ni mseminari mtulivu sana hana papara binafsi hua namuona ni kiongozi alituliza akili na kutumikia wizara nyingi tayari ni mwandamizi na yuko royal kwa viongozi wake wakuu tena sio kuigiza na hana makundi
 
Back
Top Bottom