Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Nani alikudanganya kuwa bara Wakiristo ni wengi kuliko Waislamu?-Kwanza hizi kura Zanzibar wanapigiwa peke yao na Bara pia peke yao.Ni logic maana Bara wakristo ni wengi kuliko waislam.Huko zenj wote ni waislam.
Enzi hizo zimepitwa na muda alimukataa kikweta akawa rais,akakataa kabila kubwa la wasukuma kutawala nchi magufuli akawa rais so husijidanganye!??!!! Na mawazo mfu.Rais Mhaya Nyerere Alisha kataa hawachelewi kuishi asili yao.
Moderator please remove this thread from the forumTayari umeshaanzisha udini halafu unataka usingizie wengine.
Hongera kwa Macha amejitahidi kupenya katikati ya vigogo.
Huo ndo ukweli.Nani alikudanganya kuwa bara Wakiristo ni wengi kuliko Waislamu?-
Nani alikudanganya kuwa bara Wakiristo ni wengi kuliko Waislamu?-
Huo ndo ukweli.
Yaani Tanganyika ni kama Kenya tu.Wakristo ni wengi kuliko waislamu.Wakristo bara ni wengi kuliko waislamu bado unabisha tu
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Pesa imeongea hapo. Waitara hana chake.Huyu ndo kuna kipindi aliingia mgogoro na Mwita Waitara?Kisa Mwita alijua Wambura ana mpango wa kugombea ubunge Tarime. Hata hivyo 2025 jamaa atagombea.Mwita ajiandae kulia.
Waislamu walivyotaka tuhesabiwe kidini kwenye sensa wakristo mlipinga sanaaaa,Yaani Tanganyika ni kama Kenya tu.Wakristo ni wengi kuliko waislamu.
What a Stupid Comment. Sasa huku bara ni logic kabisa hapo wakristo kuwa wengi.Hapo Wagalatia mioyo imetuliaa, Mioyo kwatu!, maana wanadhani wako entitled kuwa juu ya wengine!
Kusukuma biashara.Pesa imeongea hapo. Waitara hana chake.
Ila bado nashangaa kwanini ajiingize kwenye siasa wakati ana kila kitu?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yaani Tanganyika ni kama Kenya tu.Wakristo ni wengi kuliko waislamu.
Aisee mi nikishabeba hela za maana siwezi kuwa mwanasiasa.Kusukuma biashara.
Mimi nayatunza sidharau...mbona chizi fresh alipewa kiti?Endelea kudharau