Yap ni Kama tu Kenya ilivyo Mombasa,Lamu ,Malindi kwingine kote ni christians.
Kazidiwa na Dauda ambaye kapata 200+Vunja bei kapata kura 15,anafikiri ustar wa.instagram ndo kwa wajumbe.
Waha umewaonea kwa kweliWala hauna sababu ya kampeni anza hivi kabila lenye watu wengi tanzania ni wasukuma wanacover mikoa karibu mitano, halafu kabila linalofuata kwa idadi ya watu ni waha hawa ni sababu ya kuzaliana sana , haya njoo makabila ya mikoa mingine utanipa jibu ya uislamu na ukristo wako kwa sample ndogo hiyo
Na sikumbuki mhaya ambaye amegombea urais in my lifetime na nimeshuhudia chaguzi sio pungufu ya 6Lini Nyerere alikataa Rais Mhaya?
Hapana kwanza hao akina Makamba basi tu pamoja na kupigiwa kura lakini unaona kabisa ushawishi wao unazidi kudorora pia wanachi hawataki kabisa kusikia ujinga wao na huu uchaguzi ni ujumbe tosha kwao kuwa hata wanachama hawaridhishwi na mambo yao!Bado na tafakari mawaziri wetu kupitwa kura na Dkt Kasheku Musukuma. Hoi ni bahati mbaya au Kuna kitu kinaatengenezwa
Mwalimu alikua mbinafsi pia hawa waliopo madarakani mbona wabinafsi na sio wa kabila tajwa?Rais Mhaya Nyerere Alisha kataa hawachelewi kuishi asili yao.
Waha umewaonea kwa kweli
ZIPIGE MBONA UNA MDOMO tena MKUBWALEO HAZISIKIKI KELELE ZA UDINI 🙂 🙂 🙂
Wewe acha uongo hao Waha wawazidi Wahaya,Wachaga na Wanyakyusa kwa wingi au unatumia takwimu gani? Likini pia naona hakuna Muha hata mmoja aliye shinda! Baruani Muhuza wa azam amefurukuta lakini kaangikia poa! Mnaongea sana Waha ndo maana wengi wenu ni machawa!Waha umewaonea kwa kweli
FDR!?Bashungwa +ukatoliki wake. Nahisi kuna nafasi ya juu zaidi anaandaliwa.
Watu wa insta na YouTube channels walimjaza ujinga...eti wanamwita very smart ...kazungukwa na mediocre...akihojiwa akajibu simple question wanasifia Hatari.,..I think now kapata lesson ambayo nina uhakika kailipia pesa mingi ili ajue nafasi yake katika jamii ambyo ni kuwa mchuuzi wa kimataifa...aende china anunue pamba iliyochakatwa na alete Kariakoo auze mpaka siku atakayoweza kupereka Pamba china na kurudi na jeans...aje tena kujaribu...as for now aendelee TU na uchuuziVunja bei kapata kura 15,anafikiri ustar wa.instagram ndo kwa wajumbe.
Mumeanza kashfa tena, kwani umemuumba wewe?Na domo lake lile?
Bashungwa akiwa waziri mkuu, makamu wa rais au Rais, sitashangaaBashungwa kua mkatoliki na waziri mwandamizi na kutuliza kwake kichwa na kutokua na mambo mengi anafaa kua waziri mkuu 2025 hadi 2030 , naamini mamlaka zinaona zenyewe
Kwani Mwinyi junior alikuwa lipo cha ziada alifanya!? Mbona kawa!?Ana kipi Exceptional? Kwa nini mnahadaiwa kiurahisi hivyo? Huyo Bashungwa ana lipi alilowahi fanya?
Vunjabei huyu huyu anaevimba insta na kutukana vijana wenzake wasiokua na pesa za kuonga madem kua ni malofa? AuVunjabei sio kijana wa hovyo kuliko niliowataja.
Ankoli umeshupalia kinomanomaLeo kimyaaaa !! kumetulia kama maji mtungini , Si kama wiki iliyopita kwenye matokeo ya uvccm
Waliopitishwa kwenda Halmashauri kuu hawa hapa, Sipati picha ingekuwa ni kinyume
Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730
Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428
Bashungwa akiwa waziri mkuu, makamu wa rais au Rais, sitashangaa