Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara


Hili ni baraza la mawaziri au?
 
Kwani hii Katiba ya CCM ipo Vipi Mndeme si Katibu Mkuu msaidizi wa CCM sasa inakuaje anagombania nafasi ya u CC-ukiwa mtendaji si direct unakiwa mjumbe?
Hili na Mimi limenishangaza... Yaani Katibu Mkuu Msaidizi, anagombea tena NEC....
 
Hakunaga no bodies CCM, mwambie tena.
 
Le
List ya zanzibar leta nayo tuone
 
Hata mimi ninamkubali huyu waziri.
 
"Namuona mtu wa UPANDE huu,mnyenyekevu, inteligent, patriotic,calm and visionary atakaefanikisha next stage"!
Tumia akili
 
Wakristo bara ni wengi kuliko waislamu, dominance ya waislamu ni chache mkipiga kura kwa dini wakristo watashinda kila siku
Only ni kwasababu waislamu hawana kawaida ya kupiga kura kidini. Ni wajenzi kamili wa amani na ustarabu kidogo unaouona Tanzania.
 
Sio January na Mwugulu wanautaka Urais tu wao,sio patriotic kabisa hawa wawili hawa.
Hao hamna!hao ni wabwekaji na wafanya KAZI chafu za maboss wao Ili kufanikisha missions fulani hawajaandaliwa kuwa hata jk anawadanganya tu!

Huwezi mweka kipara na madeluu kuwa,hawana sifa hata haiba wanafaa KWA mission town za WAKUBWA tu kama ununuzi wa mtambo mpya wa UMEME KWA mchongo wa mgao!
 
Tofautisha kupitishwa na kupigiwa kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…